Author: Jamhuri
Serikali, mashirika yasiyo ya kiserikali mambo mazuri
Na WMJJWM, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imesema inaendelea kuweka mazingira wezeshi kwa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali ‘NGOs’ ili kutekeleza majukumu yake na mchango wake kwa jamii. Hayo yamebainishwa na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. Dorothy…
Waitaka Serikali kurejea makubaliano ya hatimiliki ya somo la dini ya kiislamu
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia Jumuiya na Taasisi za Kislaam Tanzania Islamic Education Panel, imetaka Serikali kuepuka hujuma na uvunjifu wa katiba unaofanywa na baadhi ya watendaji wake wachache katika suala la mitaala. Akizungumza na wanahabari Amir Jumuiya na Taasisi za…
NMB yatoa vifaa vya mil. 40/- kwa shule, zahanati, Hospitali Mafia
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mafia BENKI ya NMB, imekabidhi misaada mbalimbali yenye thamani ya Shilingi Milioni 40 kwa Hospitali ya Wilaya ya Mafia, zahanati tano na shule moja ya sekondari wilayani humo, ikiwa ni sehemu ya Programu ya Uwekezaji kwa Jamii…
Chalamila akutana na wadau wa mazingira na kuweka mikakati ya kukabiliana na mvua za El Nino
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila leo Septemba 26,2023 amekutana na wakandarasi wanaosafisha mito katika maeneo mbalimbali ya Mkoa huo, Wenyeviti wa mitaa, wasafishaji wadogo wa mito na wachimbaji wa madini mchanga, wataalam…
Zaidi ya mbwa, paka 4000 kuchanjwa Kibaha
Na Byarugaba Innocent, JamhuriMedia, Kibaha Mbwa na Paka 4400 wanatarajiwa kuchanjwa dhidi ya ugonjwa wa kichaa cha Mbwa kwenye Halmashauri ya Mji Kibaha kuanzia Septemba 28,2023 ambapo hafla ya uzinduzi wa maadhimisho itafanyikia kwenye Ofisi ya Serikali ya Mtaa wa…