JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Dkt.Mwinyi:Imarisheni mipango ya maendeleo kukuza haki za kiuchumi kwa wanawake

Na Mwandishi Wetu JAMHURI MEDIA, Dar es Salaam Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Alli Mwinyi amewataka mawaziri wa fedha na jinsia kwa nchi za Afrika kuimarisha mipango ya maendeleo ili kukuza haki za kiuchumi…

Ziara ya Rais Samia Morocco na Saudi Arabia kunufaisha Sekta za Uvuvi nishati ajira na uwekezaji

Na Mwandishi Wetu JAMHURI MEDIA Dar es Salaam Ziara za Rais wa Jamhuri ya Muungano waTanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan katika nchi za Morocco na Saudia Arabia zimeleta manufaa na tija kubwa nchini katika sekta mbalimbali ikiwemo  mifugo, nishati, ajira…

ICTC kujenga vituo nane vya TEHAMA Tanzania

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Lindi Serikali inakusudia kujenga vituo nane (one-stop centres) nchini vya ubunifu wa teknolojia vitakayowezesha vijana na wananchi kwa ujumla kuvitumia kuboresha kazi zao za kibunifu. Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Tehama (ICTC), Dkt. Nkundwe Mwasaga, ameyasema…

Kiwango cha upatikanaji chakula chapaa Umasikini wa chakula ukipungua

Na Mwandishi Wetu JAMHURI MEDIA Dar es Salaam.Naibu Waziri wa Fedha Hamad Hassan Chande amesema kwa sasa Tanzania kiwango chaupatikanaji wa chakula kimeongezeka na hali ya umaskini wa chakula imepungua. Amesema ahueni hiyo ni kutokana na mchango wa Benki ya…

Malalamiko ya wananchi Msimbati yamuondoa meneja mawasiliano TPDC, katika ziara ya Dk Biteko

📌Aagiza Mkurugenzi wa Huduma kwa wateja Tanesco kuondolewa 📌Asisitiza miradi ya mafuta ya Gesi Asilia kubadilisha maisha ya wananchi Msimbati – Mtwara Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameagiza kuondolewa kwa Meneja Mawasiliano wa Shirika…

Waziri Mkuu mgeni Rasmi kilele cha Siku ya UKIMWI

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa anatarajiwa kuwa mgeni rasmi Siku ya Kilele cha Maadhimisho ya UKIMWI Duniani itakayofanyika kitaifa December 1 mwaka huu mkoani Morogogo. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu,Sera,…