Author: Jamhuri
Rais Samia apokea gawio la bil.45.4/- kutoka NMB
Baadhi ya viongozi wa serikali, wafanyakazi wa Benki ya NMB, viongozi wa dini pamoja wateja wa Benki ya NMB wakiwa katika katika hafla ya kuadhimisha miaka 25 ya Mafanikio ya Benki ya NMB iliyofanyika leo tarehe 17/6/2023 katika Ukumbi wa…
Chongolo: Tukichezea vyanzo vya maji, tunachezea uhai wetu
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo amesema viongozi wa ngazi mbalimbali wakiwemo wakuu wa Wilaya, wenye viti wa Serikali za mitaa na watendaji wa vijiji kuhakikisha wanashiriki kikamilifu katika kutunza vyanzo vya maji na uhifadhi wa mazingira….
TANROADS yaweka historia, yasaini mikataba saba ya trillion 3.7/-
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma. Serikaki kupitia Wakala wa Barabara (TANROADS)imesaini Mikataba saba ya ujenzi wa barabara itakayo tekelezwa kwa miaka minne yenye thamani ya shilingi Trillion 3.7 yenye urefu wa kilometa 2035 kwa kiwango cha lami. Mikataba hiyo imehusisha…
Polisi Arusha wakamata ng’ombe 319 walioibiwa
Na Mwandishi wetu Jeshi la Polisi Jeshi la Polisi kupitia kikosi cha kupambana na kuzuia wizi wa mifugo nchini limesema kuwa katika kipindi cha mwezi juni mwaka huu limefanikiwa kukamata mifugo 319 iliyokuwa imeibiwa maeneo mbalimbali hapa nchini. Akitoa taarifa…