JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Mifuko ya plastiki yapigwa marufuku kuingia Muhimbili

Uongozi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili umepiga marufuku matumizi ya mifuko ya plastiki kwa watoa huduma na ndugu wa wagonjwa katika mazingira ya hospitali (Upanga na Mloganzila) ikiwemo wodini na maeneo mbalimbali ya kutolea huduma. Kwa mujibu wa taarifa kwa…

DP World kuleta mageuzi makubwa bandari ya Dar es Salaam

* Iko kwenye nchi karibu 50 duniani, ikiwemo nchi 10 za Afrika * Inaendesha bandari kwenye mataifa makubwa duniani, ikiwemo Marekani, China, Ujerumani, Ufaransa na Canada * Kwa Afrika, wapo Nigeria, Afrika Kusini, Rwanda, Misri, Msumbiji na nchi nyingine Na…

CWT hali tete, Kamati ya Tendaji yamtaka Katibu Mkuu kutojihusisha na shughuli za chama

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma. Kamati ya utendaji ya Chama cha Walimu Tanzania CWT)Taifa,imeazimia kwa pamoja kuweka zuio kwa Katibu Mkuu wa Chama hicho Japhet Maganga kuendesha shughuli zozote za Chama hicho hasa katika masuala ya fedha na utawala. Hatua…

Bajeti ya Wizzra ya Maliasili na Utalii yapitishwa

Makadirio ya Bajeti ya Wizara ya Maliasili na Utalii imepitishwa hivi leo bungeni ikiwa na mikakati madhubuti ya kuendeleza, kuimarisha shughuli za Uhifadhi na Utalii. Akijibu hoja za Bajeti ya Wizara ya Maliasili na Utalii,Mohamed Mchengerwa (MB) alisema “Niwahakikishie wabunge…

Tunduru yaanza msako wagonjwa wa kifua kikuu waliokatisha dozi

Hospitali ya Wilaya Tunduru mkoani Ruvuma kupitia kitengo cha kifua kikuu na ukoma,imeanza msako wa kuwatafuta watu wote waliobainika kuwa na maambukizi ya ugonjwa kifua kikuu ambao wameacha kuendelea na matibabu na hawajulikani walipo. Msako huo unawahusisha wataalam wa kitengo…