Author: Jamhuri
Sekta ya Posta bado ni huduma muhimu – Waziri Nape
Na Immaculate Makilika –MAELEZO Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye amesema kuwa Sekta ya Posta ni huduma muhimu barani Afrika inayohitaji kuboreshwa zaidi ili iendeelee kutoa huduma kulingana na mazingira ya sasa. Akizungumza leo jijini…
Wizara ya ardhi yaja na mabadiliko makubwa ya kimfumo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi imesema inaendelea kufanya maboresho makubwa ya kimfumo na muundo kwa lengo la kuewezesha mambo mengi ya wizara hiyo kufanyika kimfumo, Hayo yamebainishwa leo Agosti 31, 2023 na Katibu…
Rais Dk. Samia azindua tawi la 230 NMB, Kizimkazi Festival yatikisika
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, jana Agosti 30, amezindua Tawi la Benki ya NMB Paje, Mkoa wa Kusini Unguja, hapa Zanzibar, uzinduzi unaoendelea kupanua mtandao wa matawi ya benki…
Polisi:Mnaomiliki silaha haramu zisalimisheni
Tanzania miongoni mwa nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa zilizosaini na kuridhia mikataba, Itifaki, Maazimio na Makubaliano mbalimbali ya kuzuia uzagaaji wa silaha ndogo na nyepesi. Moja ya makubaliano hayo ni yaliyofanyika mwezi Julai 2018 kuhusu udhibiti wa uzagaaji wa…