JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Jafo: Tumeendelea kupata mafanikio makubwa kupitia muungano

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Dkt. Selemani Jafo amesema mafanikio makubwa ya maendeleo ya kijamii na kiuchumi yameendelea kupatikana kufuatia kupatikana kwa ufumbuzi wa hoja za Muungano katika vikao…

DC Ubungo azitaka shule kuweka mifumo madhubuti ya usalama wa wanafunzi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Hashim Komba, amempongeza Mkurugenzi wa shule za St Anne Marie, Dk. Jasson Rweikiza kwa uwekezaji mkubwa alioufanya kwenye elimu na kutengeneza nafasi za ajira. Ametoa pongezi hizo mwishoni mwa wiki…

Serikali yaridhia uamuzi wa Indonesia kukufua shughuli za kituo cha FARTC Morogoro

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameridhia uamuzi wa Serikali ya Indonesia wa kufufua shughuli za Kituo cha Mafunzo ya Kilimo kwa Wakulima Vijini (FARTC) kilichopo Mkindo mkoani Morogoro. Rais Samia amesema hayo leo akiwa na…

Dk Mpango awataka Ma-RC,RAS kufuata maadili na nidhamu ya kazi

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiweka Saini katika kitabu cha wageni wakati alipowasili katika Shule ya Uongozi ya Mwalimu Nyerere – Kibaha Mkoani Pwani kufungua Mafunzo ya Uongozi kwa Wakuu wa Mikoa…

NMB yadhamini CDF Trophy 2023 kwa Mil. 30/-

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar BENKI ya NMB, imetangaza udhamini wa Sh. Milioni 30 wa Mashindano ya Gofu ya Mkuu wa Majeshi Tanzania (NMB CDF Trophy 2023), yanayotumika kuadhimisha miaka 59 ya Jeshi la Ulinzi wa Wananchi Tanzania (JWTZ). Huu…