JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Soko la mabilioni kuchochea uchumi Tarime

Na Immaculate Makilika- MAELEZO Mkurugenzi Mtendaji wa Mji Tarime, Gimbana Ntavyo anasema kuwa ujenzi wa soko la kisasa unaoendelea mkoani Mara katika halmashauri yake utasaidia kuchochea biashara katika Mji wa Tarime pamoja na kutoa fursa ya kufanya biashara na nchi…

Waziri Mabula aipongeza Wizara ya Habari kwa kubuni NAPA

Na Jacquiline Mrisho – MAELEZO Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dkt. Angeline Mabula, ameipongeza Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari kwa kubuni mfumo wa NAPA (National Physical Addressing System) ambao umewezesha kupatikana kwa taarifa zinazotumika…

Afrika yashauriwa kujenga mfumo imara wa ugavi wa kilimo

Wajumbe katika mkutano  wa Uongozi wa Bara la Afrika wamezitaka nchi za Afrika kujenga mfumo imara wa ugavi wa thamani kwa kilimo kwa sababu sekta hiyo inatoa fursa bora ya kuongezeka kwa biashara ndani ya Afrika. Viongozi na washiriki wengine…

Kifo cha mwanamuziki nguli wa Kimarekeni Tina Turner chawaliza wengi

Mwanamziki nguli wa Kimarekani, Tina Turner aliyeutumbuiza ulimwengu kwa miongo mingi amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 83.nyumbani kwake Zurich Switzerland. Turner ambaye alifahamika kama Malkia wa muziki wa Rock and Roll, alifariki jana nyumbani kwake karibu na mji…

Jumuiya ,Taasisi za Kiislamu zataka sheria ya ndoa izungumzwe ngazi ya jamii

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania zimeshauri swala la sheria ya ndoa lisifikishwe bungeni na badala yake libaki kwenye majadiliano ngazi ya jamii kwa kuwa linagusa Imani za dini na sio la kisiasa. Katibu wa…

Waliohitimu kidato cha sita 2023 waitwa JKT

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limewataka wahitimu wa kidato cha sita waliohitimu elimu ya Sekondari kwa mwaka 2023 kutoka shule zote za Tanzania Bara kuhudhuria mafunzo ya JKT kwa Mujibu wa Sheria kwa mwaka 2023….