JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Kibamba: Wanahabari msione aibu kusimamia haki zenu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Deodatus Balile amewashauri waandishi wa habari nchini kutumia uhuru ulioongezeka kwa kuwajibika na kuzingatia sheria. Akizungumza mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam wakati wa majadaliano ya Sheria ya…

Uwanja wa Amaan Zanzibar wakaguliwa maandalizi ya AFCON 2027

Na Eleuteri Mangi, WUSM, Zanzibar Timu ya Wakaguzi ya utayari wa nchi za Kenya Uganda na Tanzania kuhusu utayari wao wa kuwa wenyeji AFCON 2027, leo hii Julai 31, 2023 wapo Zanzibar ambapo wamekagua Uwanja wa Amaan, hospitali ya Mnazi…

Kinana: Wapinzani jengeni hoja, acheni kejeli kwa Rais

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahaman Kinanaa amewashauri na kuwakumbusha wanaiasa wa upinzani kuheshimu fursa ya maridhiano ya kisiasa iliyotolewa na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan. Amesema lugha za matusi, kejeli na dharau dhidi kiongozi wa nchi zinapaswa…

Mlipuko waua zaidi ya watu 40 nchini Pakistan

Mlipuko katika jimbo la kaskazini magharibi mwa Pakistan la Khyber Pakhtunkwa umeua zaidi ya watu 40, maafisa wamesema. Mlipuko huo ulitokea katika mji wa Khar unaokaliwa na kabila la Wabajaur, ambao uko karibu na mpaka kati ya Pakistan na Afghanistan….