Author: Jamhuri
Dkt.Tax asaini kitabu cha maombolezo ubalozi wa Uturuki
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Stergomena Tax amesaini kitabu cha maombolezo Ubalozi wa Uturuki Jijini Dar es Salaam, kufuatia tetemeko la ardhi lililotokea Uturuki tarehe 6 Februari, 2023. Baada ya kusaini kitabu cha maombolezo,…
Byabato:Mradi wa bomba la mafuta unaendelea kutekelezwa
Naibu Waziri wa Nishati, Wakili Stephen Byabato amesema kuwa, utekelezaji wa mradi Bomba la Mafuta Ghafi kutoka Uganda hadi Tanzania (EACOP) unaendelea kutekelezwa na kwamba shughuli mbalimbali zinaendelea kufanyika nchini Tanzania na Uganda. Naibu Waziri amesema hayo Februari 10, 2023…
Serikali kuunda Tume kufuatilia madawati ya jinsia vyuoni
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wanawake na Makundi maalum, Mwanaidi Ali Khamis amesema Serikali imedhamilia kuondoa Ukatili wa Kijinsia Nchini Kwa kuja na Mpango kazi unaotekelezeka ikiwemo Uanzishaji wa Madawati ya Kijinsia Kwenye Vyuo Vikuu na Vyuo vya kati….
Tunduru kuwatoza faini wafugaji wanaoishi kiholela
Serikali ya Wilaya Tunduru mkoani Ruvuma imesema,itawakamata na kuwatoza faini wafugaji wote wanaoishi kiholela na kuchunga mifugo nje ya maeneo yaliyotengwa(vitalu). Kauli hiyo imetolewa jana na mkuu wa wilaya hiyo Julius Mtatiro,wakati akizungumza na wafugaji wakati wa ufunguzi wa nyumba…
Serikali yadhamiria kutekeleza mradi wa Liganga,Mchuchuma kwa manufaa ya Taifa
Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt.Ashatu Kijaji ameihakikishia Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira kuwa Serikali imedhamiria kutekeleza Mradi wa Kimkakati wa Liganga na Mchuchuma kwa manufaa ya Taifa kwa ujumla. Aidha, Dkt.Kijaji amewahakikishia wajumbe…
Sagini: Madereva acheni kuzimaliza roho za Watanzania
Na Hyasinta Kissima,JamhuriMedia Naibu Waziri Mambo ya Ndani ya Nchi, Jumanne Sagini, amewatala Makamanda wa mikoa kuwafutia na kuwanyang’anya leseni madereva hatarishi ambao wamekuwa hawafuatia na kuzingatia sheria za usalama barabarani na kusababisha vifo na ulemavu licha ya elimu ya…