Author: Jamhuri
Kampasi ya Chuo Kikuu Dar kujengwa Kagera
Na Mathias Canal,JamhuriMedia,Kagera Katika kuboresha huduma za upatikanaji wa elimu kwa wanafunzi nchini Serikali imepanga kujenga Kampasi ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Mkoani Kagera. Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia amesema hayo mbele ya mgeni rasmi Rais…
Tanzania, Zambia zakubaliana kumaliza migomo ya madereva mpakani
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Zambia zimekubaliana kuimarisha mifumo ya utendaji kazi ili kumaliza changamoto ya migomo ya madereva katika mpaka wa Tunduma – Nakonde unaozitenganisha nchi hizo mbili. Makubaliano hayo yamefikiwa leo tarehe 14…
Rais Samia azipa kibarua TAKUKURU,ZAECA
Rais wa Samia Suluhu Hassan ameziagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania (TAKUKURU) na Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na Uhujumu Uchumi Zanzibar (ZAECA) kufuatilia miradi ya maendeleo iliyobainika kuwa na dosari. Rais Samia ametoa agizo hilo leo kwenye…
TRA yatoa ufafanuzi tuhuma za kukusanya kodi kimabavu
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imetolea ufafanuzi tuhuma zilizoandikwa kwenye mtandao wa kijamii wa Twitter kuhusu ukusanyaji wa kodi kwa kutumia mabavu na kufafanua kwamba kilichokuwa kinafanyika, ilikuwa ni kukamata shehena ya vitenge vilivyoingizwa nchini kwa njia ya magendo. Taarifa…
Mwalimu Nyerere alivyohubiri maendeleo, Umoja wa Kitaifa
Na Mwalimu Samson Sombi,JamhuriMedia Imetimia miaka 23 tangu kutokea kwa kifo cha Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, katika Hospitali ya Mt. Thomas jiji la London nchini Uingereza Octoba 14, 1999. Mwalimu Julias Kambarage Nyerere alizaliwa mwaka 1922 Kijijini…