Author: Jamhuri
Prof.Lipumba:Mfumuko wa bei ya vyakula unawatesa wananchi
Na Mussa Augustine,JamhuriMedia Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi (CUF),Profesa Ibrahim Lipumba amelitaka Baraza Kuu la Uongozi Taifa la chama hicho kujadili na kuweka mapendekezo yenye tija ya namna ya kudhibiti hali ya mfumuko wa bei ya vyakula nchini. Profesa Lipumba…
Robertinho katika mtego wa Zlatko Jangwani
Na Mwandishi wetu. Oktoba 4 mwaka 2020 Yanga walitangaza kuachana na kocha wao mserbia, Zlatko Krmpotic, ikiwa ni siku 37 toka aajiriwe kwa wanajangwani hao. Uamuzi huo ulitangazwa na Yanga SC ikiwa ni baada ya kumaliza mechi yao kwa ushindi…
Waziri Mkuu wa Uingereza atozwa faini kwa kutokufunga mkanda
Waziri Mkuu wa Uingereza Rishi Sunak amepigwa faini kwa kutokufunga mkanda akiwa ndani ya gari lililokuwa katika mwendo. Waziri Mkuu huyo ametozwa faini mara baada ya kujirekodi video akiwa ndani ya gari bila kufunga mkanda na kuituma katika ukurasa wake…
‘Kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi si jukumu la wizara pekee’
Mkuu wa Mkoa wa Tabora Balozi Dkt.Batilda Burian amesema suala la kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi na watoto wachanga sio jukumu la wizara ya Afya pekee hivyo ni muhimu kila sekta kuweka mikakati ya pamoja. Balozi Burian amebainisha hayo mkoani…
CCM yatoa wiki moja walimu
wote wapate vishikwambi
Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimetoa wiki moja kwa Wizara ya Elimu kuanzia leo Januari 20, 2023, kuhakikisha vishikwambi vilivyotolewa na Serikali kwa ajili ya walimu vinawafikia walengwa. CCM Imesema imepokea malalamiko ya kutotekelezwa kikamilifu kwa maelekezo ya Waziri Mkuu, Kassim…
Baraza la biashara Kibaha laonyesha mwanga wa mafanikio
Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Kibaha Wawekezaji na wafanyabiashara wameaswa kuwa wazalendo kwa kulipa Kodi na kuwasilisha taarifa sahihi za biashara zao ili kuiwezesha Wilaya kupata Mapato yatakayotumika kujenga miundombinu na Maendeleo mengine Kisekta Rai hiyo imetolewa Muhammad Tundia ambaye ni Mwenyekiti za…