JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Rais amtengua Mkurugenzi Jiji la Mwanza

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Bw. Sekiete Yahaya Selemani, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza kuanzia tarehe 16 Aprili, 2023. Zuhura YunusMkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu

Mabula: Zingatieni masharti ya hati miliki za ardhi

Na Munir Shemweta, JamhuriMedia,Mwanza Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula amewataka wananchi wanaokabidhiwa hati milki za ardhi kuhakikisha wanazingatia masharti yaliyopo kwenye hati sambamba na kufuata mipango kabambe ya maeneo husika. Dkt Mabula amesema hayo…

Tanzania kuwa kitovu cha uzalishaji na uchimbaji madini

Na Immaculate Makilika – MAELEZO Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan alisema kuwa Serikali imefikia uamuzi wake wa kuingia makubaliano na kampuni zenye uwezo wa kuchimba na kuchakata madini nchini ili nchi iweze kunufaika na…

Serikali yafanya mageuzi makubwa shirika la TTCL

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dodoma Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imefanya mageuzi makubwa katika Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) kwa kuhamishia shughuli zote za miundombinu ya Mkongo wa Taifa…

TANROADS ipo kazini kunusuru barabara ya Kimange-Chalinze

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia,Kibaha Mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali mkoani Pwani zimesababisha kumomonyoka kwa kingo za kalavati na barabara ya Kimange-Chalinze upande wa kutokea Dar es Salaam. Kutokana na athari hiyo kumesababisha miundombinu hiyo ya barabara kutokuwa salama kwa…