Author: Jamhuri
Chalinze yapokea gari la zimamoto
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia,Chalinze Halmashauri ya Chalinze , mkoani Pwani imepokea gari la Zimamoto na Uokoaji litakalosaidia wakati yanapotokea majanga ,kutoka kwa Mrakibu Mwandamizi wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji ( SSF) Jenifa Shirima. Akiongea kwa niaba ya wananchi wa…
Zouzoua aonyesha kipaji chake
……………………………………………. Klabuya Yanga imefanikiwa kuondoka na alama tatu kwa kuweza kuinyuka KMC FC 5-0, kwenye mchezo wa ligi Kuu NBC uliopigwa kwenye dimba la Azam Complex Jijini Dar es Salaam. Katika Mchezo huo Yanga iliwaanzisha baadhi ya nyota wao akiwemo…
Chana: Kiswahili ni bidhaa inayoitangazaTanzania
Kamati ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo chini ya Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mussa Sima amepongeza Mkakati uliopo wa Kutangaza na kubidhaisha lugha ya Kiswahili Kimataifa. Akiwasilisha mkakati huo wa kutangaza Kiswahili Kimataifa kwenye kamati hiyo leo Agosti…





