Author: Jamhuri
Viongozi wa dini wasisitiza amani nchini Kenya
Viongozi wa dini nchini Kenya wamewataka wanasiasa wanaolumbana kuafikia amani kufuatia ghasia iliyomalizika huku kanisa na majengo yaliyounganishwa na msikiti kushambuliwa jijini Nairobi. Katika maandamano yaliyofanyika Siku ya Jumatatu, yaliyoitishwa na kiongozi wa upinzani Raila Odinga yalisababisha polisi kukabiliana na…
LHRC:Umri wa kuolewa kwa mtoto wa kike miaka 18
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Kituo Cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimeendelea kupendekeza umri wa kuolewa kwa mtoto wa kike kuwa miaka 18 huku wakiiomba Serikali kurekebisha vifungu vya 13 na 17 vya sheria ya ndoa vinavyoruhusu mtoto kuolewa akiwa…
Benki ya Dunia kushirikiana na Tanzania kutekeleza PPP
Na Farida Ramadhani, WFM, Dodoma Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru amesema Serikali inafanya majadiliano ya kimkakati na Benki ya Dunia (WB) namna ya kuiwezesha sekta binafsi kushiriki katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo kupitia…
Jaji Warioba azindua mashine ya kisasa ya kuchakata mazao ya misitu
Mkuu wa chuo cha Sokoine cha Kilimo (SUA) Jaji Joseph Sinde Warioba amezindua rasmi mashine ya kisasa ya kuchakata mazao ya misitu ijulikanayo kama Slidetec Sawmill 2020 yenye thamani ya shs 200 milioni. Aidha uzinduzi huo umefanyika leo katika kampasi…
DC Jokate azuru Afrika Kusni kutangaza zao la mkonge
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Mkuu wa Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga Jokate Mwegelo amezuru nchini Afrika kusini wiki hii kutangaza umuhimu wa Vijana wa Afrika kushiriki katika Ujenzi wa Afrika. Lengo kuu la ziara hiyo ni kutangaza zao la Mkonge na…
Simba kuwafata Raja leo
Na Tatu Saad,JAMHURI MEDIA Kikosi cha klabu wa wekundu wa msimbazi ‘Simba SC’ kinatarajia kuondoka mchana wa leo kuelekea nchini Morocco, kwa akili ya mchezo wa mwisho wa kundi C LIGI ya Mabingwa Afrika dhidi ya Raja Casablanca. Meneja wa…





