JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Waliohesabiwa wafikia asilimia 99.93

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dodoma Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) imesema kuwa asilimia 99.9 ya watanzania wamehesabiwa katika sensa ya watu na makazi iliyoanza Agosti 23,mwaka huu. Hayo yameelezwa leo Agosti 31,2022 na Mtakwimu Mkuu wa Serikali Dkt Albina Chuwa…

Serikali kutoa mikopo kwa wavuvi na wakuzaji viumbe maji

Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki amesema kuwa serikali imeandaa mpango wa kuwawezesha wavuvi na wakuzaji viumbe maji kwa kuwapatia mitaji ili waweze kuboresha shughuli zao Hayo ameyasea leo Agosti 30,2022 wakati wa hafla ya kusaini mkataba wa utekelezaji…

Polisi, LATRA Manyara wabaini madudu mabasi ya wanafunzi

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Manyara Mkuu wa Kitengo cha Usalama Barabarani wa Jeshi la polisi Mkoa wa Manyara Mrakibu Mwandamizi wa Polisi SP Georgina Richard Matagi amewaagiza wamiliki na watumiaji wa magari yanayotumika kubeba wanafunzi kuzingatia sheria za usalama barabarani. Ameyasema hayo…

Dkt.Kiruswa aihakikishia Korea Kusini fursa za uwekezaji sekta ya madini

Naibu Waziri wa Madini Dkt. Steven Kiruswa ameihakikishia Nchi ya Korea Kusini kuhusu uwepo wa fursa nyingi za uwekezaji katika Sekta ya Madini. Dkt. Kiruswa ametoa wito huo wakati akifungua mkutano wa kitaalamu wa African Minerals Geosciences Initiative (AMGI) uliolenga…

Serikali yaongeza bajeti ya matengenezo ya miundombinu ya umeme

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dodoma SERIKALI imeongeza bajeti ya matengezo ya miundombinu ya umeme kutoka shilingi bilioni 197.61 kwa mwaka 2021/2022 hadi shilingi bilioni 211.56 kwa mwaka 2022/2023 ili kuimarisha hali ya upatikanaji umeme nchini. Hayo yameelezwa bungeni, jijini Dodoma wakati Wizara…