Author: Jamhuri
Messi na ukurasa wa mwisho Camp Nou
DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Kila zama na kitabu chake. Kila nabii na kitabu chake. Hii ni misemo maarufu katika jamii na hutumika mara kwa mara. Messi naye ana kitabu chake katika Klabu ya Barcelona na soka kwa ujumla…
JOSEPHINE ‘JOLLY BEBE’ Maadili ya Kiafrika lazima yatunzwe
TABORA Na Moshy Kiyungi Unenguaji ni chachu na kivutio katika muziki wa dansi na hata muziki wa Injili. Huenda mwaka 1973 ndiyo ilikuwa mara ya kwanza Tanzania kushuhudia umahiri wa unenguaji jukwaani. Wakati huo TP OK Jazz ya DRC chini…
Mahabusu alalamika kwa DPP kubambikiwa dawa za kulevya
Ndugu mhariri, mimi mahabusu Said Mbaraka, ninaomba kufikisha malalamiko yangu ya kubambikiwa kesi ya kukutwa na gramu 41 za dawa za kulevya aina ya Heroin kwa Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP), Sylvester Mwakitalu. Kesi hiyo (EC. No 07/202) iliyopo Mahakama ya…
Wazee wa kimila Mbeya waibukia kilimo
MBEYA Na Mwandishi Wetu Mapinduzi katika kilimo yanayoendelea nchini yameungwa mkono na wazee wa kimila mkoani Mbeya, wakiamini kuwa sasa taifa limo katika mwelekeo sahihi. Mbali na kilimo, mapinduzi hayo yamegusa pia sekta za uvuvi na ufugaji kwa miaka mitano…
Fitina za siasa zinavyoitafuna Afrika Kusini
DAR ES SALAAM Na Mwalimu Samsom Simbi Kufikia mwaka 1960 baadhi ya nchi za Afrika zilikuwa zimepata uhuru na kuanza kujitawala zikiwa na jukumu kubwa la kutoa mchango wa hali na mali katika ukombozi wa Bara zima la Afrika. Pamoja…
Katiba 2025 itamke kama ni Ujamaa au la!
BAGAMOYO Na Marie binti Shaba Katika hotuba yake kwa taifa kupitia wanawake, Rais Samia Suluhu Hassan, aligusia mambo yaliyojaa busara. Binafsi niliguswa na mbinu aliyoitumia kuelezea kwamba binadamu wote tuna nguvu sawa mithili ya pande mbili za sarafu moja. Samia…