Author: Jamhuri
Wadau watambua nia nzuri ya Serikali ya maboresho ya sheria ya habari
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Wadau wa habari pamoja na asasi za kiraia wametambua hatua nzuri iliyofanywa na Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt.Samia Suluhu Hasssan ya mabadiliko ya sheria mbalimbali zinazolalamikiwa. Hayo yamebainika kwenye kongamano la siku mbili…
Kesi ya aliyekuwa bosi PSSSF, hukumu haijakamilika
Na Mwandishi Wetu, JAMHURI MEDIA Mahakama ya Wilaya ya Ilala imesema bado haijakamilisha kuandaa hukumu katika kesi inayowakabili Meneja wa Mfuko wa Pensheni kwa watumishi wa Umma(PSSSF) Kanda ya Arusha,Rajabu Kinande na wenzake wanne Washtakiwa hao wanakabiliwa na shtaka la…
Rais mpya wa Nigeria aenda Uingereza ‘kupumzika’
Rais mteule wa Nigeria Bola Tinubu amesafiri hadi Ufaransa na Uingereza “kupumzika” na kupanga mpango wa mpito kabla ya kuapishwa kwake Mei 29. Tunde Rahman, msemaji wa Bw Tinubu, katika taarifa yake Jumatano alisema kuwa mteule aliondoka nchini Jumanne. Kwa…
Marekani yaipongeza Tanzania kwa kutoa taarifa za ugonjwa Marburg
Balozi wa Marekani nchini Tanzania Dkt. Michael Battle ameipongeza Tanzania kwa uwazi na utoaji wa haraka wa Taarifa kwa umma kuhusiana na ugonjwa wa Marburg mkoani Kagera. Ameyasema hayo jana jijini Dodoma alipokutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Afya…
Taifa Stars ipo tayari kwenda AFCON
Na Tatu Saad, JAMHURI MEDIA Baada ya kuweka kambi huko nchini Misri na kuanza mazoezi kwajili ya mchezo wa mzunguko watatu wa kundi F,kuwania kufuzu fainali za Mataifa ya Afrika ‘AFCON 2023’, Kocha wa Taifa Stars, Adel Amrouche ameeleza namna…
Geita Gold yaitaka Yena
Tatu Saad, JAMHURI MEDIA Klabu ya Geita Gold imetangaza nia ya kushiriki katika michuano ya Kimataifa msimu wa 2023/24 kwa ubora mkubwa zaidi kwa kuweka mikakati mbalimbali itakayowasaidia katika kufikia malengo hayo. Katibu mtendaji wa Geita Gold, Simon Shija amesema…





