Author: Jamhuri
Bibi afariki baada ya kuruka kutoka ghorofani
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Unguja Rehema Chande (70),ambaye ni mkazi wa Unguja, Zanzibar, amefariki dunia baada ya kuruka kutoka ghorofa ya pili nyumba anayoishi wakati akijiokoa dhidi ya moto uliowaka ndani ya nyumba hiyo. Kamanda wa Kikosi cha Zimamoto Zanzibar, Rashid Mzee…
Ruvuma wapokea wawekezaji kutoka Misri
MILANGO ya uwekezaji mkoani Ruvuma imefunguka baada ya wawekezaji kwenye sekta ya kilimo kutoka nchini Misri kuwasili mkoani Ruvuma. Wawekezaji hao wanatarajia kuwekeza katika zao la mahindi ya njano ambapo kwa mwaka wanahitaji mahindi ya njano zaidi ya tani milioni…
Makinda:Asilimia 93.45 za kaya Tanzania zimehesabiwa
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar Kamisaa wa Sensa ya Watu na Makazi 2022, Anne Makinda amesema hadi kufikia Jumatatu ya Agosti 29, 2022,asilimia 93.45 ya kaya zote Tanzania zimehesabiwa huku taarifa zilizokwishakusanywa zikionesha kuwa ni asilimia 6.55 za kaya bado hazijahesabiwa. Makinda…