JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Matokeo ya darasa la saba yatangazwa, vituo 24 vyafungiwa

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA), limetangaza matokeo ya darasa la saba ya mwaka huu ambapo watahiniwa milioni 1.07 wamefaulu kwa kupata madaraja A na B na C. Akitangaza matokeo hayo leo Desemba 1, 2022 Kaimu Katibu Mtendaji…

Tuache siasa, bandari yetu ni dhahabu

Na Deodatus Balile,JamhuriMedia,Dubai Wiki iliyopita nimepata fursa ya kusafiri kwenda Dubai. Nimetembelea maeneo kadhaa, ila moja ya maeneo hayo ni bandari tatu zinazoendeshwa na Kampuni ya DP World. Kampuni hii inamilikiwa na familia ya mfalme anayetawala Dubai. Kwa Dubai, kampuni…

Afrika yaandika rekodi kombe la Dunia Qatar 2022

Nchi za Afrika kwa ujumla wake zimefanikiwa kupata ushindi kwa zaidi ya mechi 3 katika hatua ya makundi ya Kombe la Dunia ambapo katika Michuano ya Kombe la Dunia inayoendelea nchini Qatar nchi za Afrika zimepata ushindi katika mechi 4.  …

Morocco kuongeza idadi ya timu za Afrika 16 bora kombe la Dunia?

Na mwandishi wetu Saa 12:00 jioni ya leo waafrika wengi watakuwa mbele ya televisheni zao wakiangalia mechi ya Kombe la Dunia kati ya Morocco na Canada kwa matumaini makubwa ya kuona timu nyingine toka Afrika ikifuzu hatua ya 16 Bora…

Rais Samia awapa maagizo Vyuo vikuu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, ametoa wito kwa Vyuo Vikuu kupitia mitaala yake ili ijikite katika kutoa elimu ambayo inakidhi mahitaji ya jamii. Rais Samia ametoa wito huo leo mara baada ya kutunukiwa Shahada…