Author: Jamhuri
Mfuko wa dunia watoa bil.17/- kuboresha huduma za wajawazito
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Tanga SERIKALI ya Tanzania kupitia Wizara ya Afya imepata ufadhili wa Shilingi Bilioni 17 kutoka Mfuko wa Dunia wa Ufadhiliwa Huduma za Afya kwa ajili ya kuboresha huduma za wajawazito na watoto wachanga nchini ili kupunguza vifo vya…
Magu yatafuta mwarobaini changamoto ya wafugaji hifadhi ya Sayaka
Mkuu wa Wilaya ya Magu, Mhe. Salum Kali amekutana na viongozi wa Chama na Serikali wa Wilaya hiyo kujadili mikakati ya kutatua changamoto ya wafugaji katika Hifadhi ya Sayaka Wilaya ya Magu. Kikao hicho kimefanyika leo katika Ofisi ya Mkuu…