JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

RC Ruvuma aagiza kukamatwa wazazi ambao watoto wao hawajaripoti shuleni

Na Albano Midelo,JamhuriMedia, Ruvuma Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Laban Thomas amewaagiza wakuu wa Wilaya,wakurugenzi na viongozi ngazi ya kata na vijiji kuwakamata wazazi wote ambao hadi Jumatatu ijayo watakuwa hawajawapeleka watoto wao shule. Ametoa agizo hilo baada ya…

Kifo cha utata, Polisi Pwani yamshikilia mume

Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Pwani Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Michael anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani kutokana na utata wa kifo cha anayedaiwa kuwa mke wake Primrose Matsambire (39) raia wa Zimbabwe . Primrose amefariki katika Hospitali ya…

Majaliwa:Miradi 215 yasajiliwa katika kipindi cha miaka miwili Zanzibar

……………………………………………………………………………………………………………………… Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema katika kipindi cha miaka miwili ya uongozi wa wa Mheshimiwa Rais wa awamu ya nane wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi jumla ya miradi 215 imesajiliwa kupitia Mamlaka…

Rais Mstaafu Kikwete awapata kibarua watafiti kuhusiana na eneo la Tendaguru

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Tendaguru Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne,Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amewataka watafiti wa masuala ya Malikale kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na Wizara ya Maliasili na Utalii kupitia Taasisi ya Makumbusho ya Taifa la Tanzania kushirikiana…

Ummy:Serikali kuwalinda wazalishaji dawa ili kuongeza ukuaji uchumi

Na Englibert Kayombo,JamhuriMedia,Dar Serikali kupitia Wizara ya Afya imesema itaendelea kutoa kipaumbele na kuwalinda wazalishaji wa dawa na vifaa tiba waliopo hapa nchini ili kuongeza uzalishaji pamoja na ukuaji wa uchumi. Hayo yamesemwa na Waziri wa Afya Ummy Mwalimu leo…

Serikali yabainisha vipaumbele vyake vya mwaka 2023

Na Mwandishi Wetu Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeanisha vipaumbele vyake vya mwaka 2023 kwa Mabalozi na Wawakilishi wa Mashirika ya Kimataifa wanaoziwakilisha nchi zao nchini. Vipaombele hivyo vimeainishwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika…