JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

‘Sensa ya Makazi itapunguza migogoro ya ardhi’

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Ilemela Wananchi wametakiwa kushiriki na kutoa taarifa sahihi za Makazi na umiliki wake wakati wa zoezi la Sensa ya Watu na Makazi itakayofanyika mapema mwezi Agosti 23, mwaka huu, ili kupunguza migogoro ya ardhi inayoepukika. Rai hiyo imetolewa…

Mkenda autaka uongozi Rungwe kujenga chuo cha ufundi

Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia Prof Adolf Mkenda ameutaka uongozi wa Wilaya ya Rungwe kutafuta eneo la zaidi ya Hekari 20 kwa ajili ya kuanza ujenzi wa chuo cha ufundi stadi-VETA. Waziri Mkenda ameyasema hayo leo tarehe 7 Agosti 2022…

Waziri Masanja afunga mafunzo ya kukabiliana na usafirishaji haramu wanyamapori

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii,Mary Masanja (Mb) amefunga mafunzo ya siku tano ya kukabiliana na ujangili na usafirishaji haramu wa mazao ya wanyamapori na mimea ndani na nje ya Bara la Afrika uliofanyika leo jijini Dar es Salaam. Akizungumza…

Chongolo ahitimisha ziara kwa kutoa maelekezo 10 Serikalini

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi, (CCM) Ndugu Daniel Chongolo amehitimisha ziara ya siku nne mkoani Kilimanjaro, katika Wilaya ya Same, amehitimisha ziara, ambapo katika ziara hiyo pamoja na kuhamasisha Sensa ya Watu na Makazi, Uhai na uimara wa Chama…

Funza wa vitumba mdudu tishio kwa mazao duniani

Na Mwandishi Wetu,JamhuruMedia, Mbeya Imeelezwa kuwa funza wa vitumba ni tishio kwa mazao mengi kutokana na kwamba anaanza kushambulia mazao pale yanapoanza kutoa maua. Hayo yamesemwa na Mtafiti wa Wadudu waharibifu kutoka Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) Ukiriguru,…