Author: Jamhuri
Ndalichako awataka vijana kuchangamkia fursa
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Kasulu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu- Kazi,Vijana,Ajira na Wenye Ulemavu, Prof.Joyce Ndalichako amewataka vijana kuchangamkia fursa zinazotolewa na Serikali kupitia Programu ya Taifa Taifa ya Kukuza Ujuzi ili kuweza kupata ujuzi na stadi za kazi stahiki…
Balile:Kuna matumaini mapendekezo ya mabadiliko ya sheria ya habari
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Taasisi 10 zimeandikiwa wito wa kuhudhuria mjadala wa kupitisha sheria za habari zinazolalamikiwa kuhusiana na mabadiliko ya vifungu mbalimbali vya habari ambayo wadau wanavipigia kelele kwamba, vinaminya uhuru wa habari nchini. Hatua hiyo inatokana na uamuzi wa…
Mtoto ajiua baada ya baba yake kumfokea
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Njombe JESHI la Polisi mkoani Njombe limewaomba viongozi wa makanisa na misikiti kutoa mafunzo mema ya dini kwa watoto ili kupunguza matukio ya vijana ama watoto kujichukulia sheria mkononi kwa kujiua. Akizungumza na waandishi wa habari…
Chongolo azitaka TAMISEMI,Wizara kumaliza haraka ujenzi wa stendi Moshi
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM),Daniel Chongolo ameziagiza Wizara ya Fedha na Wizara ya Tawala za mikoa na Serikali za mitaa (TAMISEMI) kukutana kumaliza ujenzi wa stendi ya kisasa ya Ngangamfumini Manispaa ya Moshi. Chongolo ametoa agizo hilo jana…
Prof. Mbarawa: Serikali inafanya uboreshaji wa bandari
Serikali kupitia Mamlaka ya Bandari Tanzania imeendelea kusimamia bandari za mwambao na maziwa makuu kwa kufanya uboreshaji ikiwemo kuongeza kina kikubwa ili kuweza kuruhusu Meli za Kisasa kuingia. Akizungumza na jijini Dar es salaam Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Profesa…