Author: Jamhuri
Wazee wa CCM Z’Bar wafunguka kupanda kwa pensheni
Na IS-HAKA OMAR,Zanzibar. Baeaza la Wazee wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Zanzibar, limeeleza kuridhishwa na kasi kubwa ya utendaji wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi,kwa kuendeleza kwa vitendo azma na malengo ya Mapinduzi ya…
Makalla ampongeza Rais Samia kutoa bil.950/ za ujenzi Hospitali ya Magereza Ukonga
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla ameweka jiwe la msingi kwenye jengo la dharura kwenye Hospital ya Jeshi la Magereza Ukonga ambayo inatoa huduma za afya kwa Jeshi la Magereza na wananchi zaidi ya 900,000 wa Jimbo…
Jenerali Mabeyo:Tuongeze jitihada za kufanya utafiti wa kutokomeza mimea vamizi
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa NCAA Jenerali Venance Mabeyo (mstaafu) ametoa rai kwa wataalam wa masuala ya uhifadhi kuongeza jitihada na mbinu mbalimbali za kiutafiti zitakazosaidia kupunguza changamoto za mimea vamizi katika maeneo ya hifadhi. Jenerali Mabeyo ametoa rai…
AZAKI za Afrika Mashariki zijikite kuinua uchumi wa wananchi wa chini
Na Zulfa Mfinanga, JamhuriMedia,Arusha Serikali imesema itaendelea kukuza ushirikiano na mashirika yasiyokuwa ya kiserikali kwa kutunga sera ambazo zitakuwa chachu ya ukuaji wa uchumi katika ukanda wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC). Aidha Jumuiya ya Mashirika yasiyokuwa ya kiserikali ukanda…
Mji wa Kherson watangaza amri ya kutotembea nje kwa saa 58
Mji wa Kherson ulioko karibu na eneo la mapambano kusini mwa Ukraine, umetangaza amri ya kutotoka nje kwa saa 58 kuanzia Ijumaa jioni. Hayo yameelezwa leo na mkuu wa utawala wa kijeshi wa Kherson, Oleksandr Prokudin, wakati ambapo vikosi vya…





