Author: Jamhuri
Kinana, Shaka watua Katavi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Katavi Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana amewasili mkoani Katavi kwa ajili ya kuanza ziara ya kikazi itakayokwenda sambambamba na kupokea taarifa na kukagua miradi ya maendeleo. Katika ziara hiyo ya…
TAMISEMI kufanya uchunguzi miradi yenye upungufu
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Kilwa Naibu Katibu Mkuu (Afya) Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) Dkt. Grace Magembe amesema hajaridhishwa na kasi ya utekelezaji wa ujenzi wa miundombinu ya kutolea huduma za afya unaotekelezwa katika Halmashauri ya…
Uongozi Yanga: Manara hakutendewa haki
Baada ya Kamati ya Maadili ya TFF kumkuta na hatia Haji Manara na kumfungia miaka miwili kutojihusisha na soka ndani na nje ya nchi na faini ya sh. milioni 20 kwa makosa ya kumvunjia heshima Rais wa TFF, Wallace Karia,…
IGP Wambura :Watakaovunja sheria kushughulikiwa
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Arusha Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP) Camilus Wambura amewataka wananchi wa jiji la Arusha kuendelea kutunza amani iliyopo na kutokujiingiza kwenye vitendo vya uvunjifu wa amani hasa kipindi hiki ambapo kuna mkutano mkubwa wa Maras…