Author: Jamhuri
Lumumba azikwa kishujaa baada ya miaka 61
Na Nizar K Visram Hatimaye wananchi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) wamemzika rasmi Waziri Mkuu wao wa kwanza, Patrice Lumumba, aliyeuawa mwaka 1961. Wakoloni na vibaraka wao walimuua kisha wakakatakata mwili wake na kuuyeyusha katika tindikali. Kilichobaki ni…
Azimio watumia hasira za Ruto kumdhoofisha
MOMBASA NA DUKULE INJENI Kampeni za kisiasa nchini Kenya kuelekea Uchaguzi Mkuu utakaofanyika mapema mwezi ujao zinaingia hatua za lala salama huku kila upande ukitumia vema majukwaa ya siasa kupigana vijembe badala ya kuuza sera. Licha ya uwapo wa wagombea…
Chana:Wadau wa utalii changamkieni fursa onesho la SITE
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Arusha Wadau wa utalii wa ndani na nje ya nchi hususan Wakala wa Biashara za Utalii, watoa huduma za malazi, Wakala wa Safari na waongoza watalii wametakiwa kuchangamkia fursa za kiuchumi na kijamii zitakazotokana na Onesho la _Swahili…
Serikali yabaini chanzo cha ugonjwa usiojulikana Lindi
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Ruangwa Waziri wa Afya Mheshimiwa Ummy Mwalimu amesema kuwa upimaji wa sampuli za wagonjwa waliokuwa wakiugua ugonjwa usiojulikana katika Wilaya ya Ruangwa katika Mkoa wa Lindi umethibitisha mlipuko huu kuwa wa ugonjwa wa Leptospirosis, Field Fever kwa lugha…
Makamba:Mradi wa Rusumo kuongeza uhakika wa umeme
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Imeelezwa kuwa, kukamilika kwa mradi wa umeme wa Rusumo wa megawati 80 kutaimarisha hali ya upatikanaji umeme katika mikoa ya Kanda ya Ziwa ambapo kumekuwa na changamoto ya kuwepo kwa umeme pungufu na usio wa uhakika na…
Mapya yaibuka Mkuu wa Gereza
*Ni yule anayetuhumiwa kwa mauaji ya mfungwa Liwale *Adaiwa kupelekewa kitanda cha futi tano kwa sita alalie gerezani *Askari magereza walalamika kulazimishwa kumpigia saluti wakati ni mahabusu Na Mwandishi Wetu Dar es Salaam Mkuu wa Gereza la Wilaya ya Liwale,…