JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Waziri Mkuu akutana na Katibu Mkuu kiongozi Balozi Dk Kusiluka

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba akisalimiana na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Dkt. Moses Kusiluka kwenye Ofisi Ndogo ya Waziri Mkuu, Magogoni jijini Dar es salam, Januari 9, 2026. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

CAG aipongeza TARURA kwa ujenzi wa miundombinu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma‎ ‎Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ndg. Charles Kichere, leo Januari 9, 2026 ametembelea Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) na kufanya kikao na Menejimenti ya Wakala huyo katika ukumbi…

Watumishi wa umma watakiwa kutambua wajibu wao ili kuboresha utendajikazi

Na Antonia Mbwambo – Manyara Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Regina Qwaray amewataka watumishi wa Umma kutambua wajibu wao katika kutekeleza majukumu ya kila siku ili kufanya kazi kwa uwezo, maarifa…

Silinde: Wakandarasi wazawa hakikisheni kunakuwa na tija katika miradi ya umwagiliaji

📍 Bariadi- Simiyu Serikali imewataka wakandarasi wazawa wanaotekeleza miradi ya Umwagiliaji nchini kuhakikisha miradi hiyo inaleta tija kwa wakulima na taifa kwa ujumla, ikisisitiza kuwa uzembe au kuchelewesha utekelezaji kutaibua hatua kali za kisheria dhidi yao. Rai hiyo imetolewa na…

Serikali yaweka mwongozo kuwabana mawakala wa ajira nje ya nchi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMediaDar es Salam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Deo Sangu, ametoa mwongozo rasmi kwa mawakala wote wanaowatafutia Watanzania ajira nje ya nchi. Hatua hii inalenga kuondoa mawakala wasio halali waliokuwa…