JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Mkutano Jukwaa la Uziduaji kufanyika Dodoma wiki ijayo

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar Mkutano wa Jukwaa la Kitaifa la Uziduaji unatarajiwa kufanyika jijini Dodoma kati ya Novemba 24 hadi 25, 2022. Kwa mujibu wa Mkurugenzi Mkuu wa HakiRasilimali, Adam Anthony, mkutano huo wanauandaa ili kutoa fursa kwa wadau wa sekta…

TRA, KCMC zapimana nguvu michuano ya SHIMUTA

………………………………………………………….. Timu za Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA),mabingwa watetezi kwa upande wa mpira wa miguu na Hospitali ya Rufaa KCMC ya Kilimanjaro zimetoshana nguvu baada ya kufungana bao 1-1, katika michuano ya Shimuta inayoendelea Jijini Tanga. Mchezo huo ambao umefanyika…

Serikali yakiri mgonjwa wa homa kunyweshwa dawa ya upele

Gazeti la JAMHURI Toleo namba 581 la Novemba 15-21, 2022 lilichapisha taarifa yenye kichwa cha habari kilichosomeka “Mgonjwa wa homa ‘anyweshwa’ dawa ya upele”. Habari hiyo ilimuhusu mwanamke (50) aliyekwenda kutibiwa homa katika Hospitali ya Misheni Bwagala iliyoko Turiani, Mvomero…

TMA: Wadau fuatilieni taarifa ya hali ya hewa hasa kipindi hiki

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi,Profesa Makame Mnyaa Mbarawa (MB) ametembelea banda la Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) lililopo katika maonesho yaliyoandaliwa na Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi kwa lengo la kutangaza kazi za taasisi mbalimbali zilizopo chini ya…

Uzinduzi sera ya ubia utaongeza kasi ya maendeleo NHC,Taifa

Na Stella Aron, JamhuriMedia Serikali imeliagiza Shirika la Nyumba la Taifa (NHC),kusimamia imara miradi itakayoingia ubia na wawekezaji ili kutekelezwa kwa ufanisi na tija ili miradi itakayotekelezwa, itekelezwe kwa ufanisi na tija kwa taifa na mwekezaji husika. Hayo yamesemwa na…

Jafo:Waliovamia vyanzo vya maji waondoke haraka

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Dkt. Selemani Jafo (Mb) amewataka wananchi wote waliovamia bonde la Ihefu ambalo ni chanzo cha mto Ruaha Mkuu kuondoka mara moja ili kuondokana na athari zilizopelekea mto Ruaha Mkuu…