Author: Jamhuri
Mkutano wa nane wa wakuu wa nchi na Serikali wa TICAD
Mkutano wa 8 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Kimataifa kuhusu Maendeleo ya Japan na Afrika (Tokyo International Conference on African Development – TICAD 8 Summit) umeanza kufanyika leo tarehe 27 Agosti 2022 mjini Tunis, Tunisia. Hii ni mara…
Waziri Aweso amuondoa meneja RUWASA Kondoa
Waziri wa Maji Jumaa Aweso amemuondosha katika nafasi ya Meneja wa RUWASA Wilaya Kondoa Mhandisi Falaura Suleiman Kikusa kwa kushindwa kumudu majukumu yake kikamilifu. Waziri Aweso akiwa Wilayani Kondoa amebaini kuwa Meneja huyo wa Maji Vijijini Wilaya amefanya usanifu wa…
Babu miaka 92, afaulu mtihani wa hesabu
Mwanamume mkongwe wa miaka 92 anayeaminika kuwa mtu mzee zaidi nchini Uingereza kufanya mtihani wa GCSE amefaulu mtihani wake wa somo la hesabu darasa la tano – kwa alama ya juu zaidi. Derek Skipper,kutoka Orwell huko Cambridgeshire, alifanya mtihani baada…
Watoto wanne wafariki kwa kuungua moto uliowashwa na mganga wa kienyeji
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Tabora JESHI la Polisi linamshikilia mganga wa kienyeji anayetuhumiwa kuwasha moto kisha kusababisha watoto wanne wa familia moja kufariki huku saba wakilazwa. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Richard Abwao amethibitisha kutokea kwa tukio hilo ambalo limetokea usiku…