Author: Jamhuri
Watoto 11,000 huzaliwa na seli mundu kila mwaka nchini
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma. WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa amezindua huduma za upandikizaji uloto Katika Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH)huku akieleza kuwa Serikali imewekeza shilingi bilioni 2.7 kwenye huduma hiyo kwa lengo la kuwasaidia…
Tume ya Haki za binadamu kuchunguza upya utata wa kifo cha Mwanafunzi wa UDOM.
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Kufuatia taharuki inayoendelea kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vya habari kuhusu kifo cha aliyekuwa Mwanafunzi wa Chuo kikuu cha Dodoma (UDOM) Nusura Hassan Abdalla,Tume ya haki za binadamu na utawala bora imeazimia kufanya uchunguzi …
Makondo aongoza timu ya utoaji misaada ya kisheria vuzuizini Kondoa na Chemba.
Na Mwandishi Wetu JAMHURI MEDIA Katibu Mkuu wa Katiba na Sheria Bi. Mary Makondo ameongoza timu ya wataalam kutoka taasisi mbalimbali wanaoshiriki katika kampeni ya utoaji wa msaada na huduma za kisheria inayoitwa Mama Samia Legal Aid Campaign iliyotembelea maeneo ya vizuizi…
Makamba afanya mazungumzo na kampuni zitakazotekeleza mradi wa LNG
Na Mwandishi Wetu,JAMHURI MEDIA. Dodoma Waziri wa Nishati, January Makamba amekutana na kufanya mazungumzo na Viongozi wa Kampuni zitakazotekeleza Mradi wa kuchakata na kusindika Gesi ya Asilia (LNG). Makamba amekutana na viongozi hao ambao ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya…
FCS yaja na mradi wa ‘Uraia Wetu’ kuchagiza mchakato katiba mpya
Mkurugenzi Mtendaji wa FCS, Bw. Francis Kiwanga (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari katika hafla ya uzinduzi wa mradi wa “Uraia Wetu” kwaajili ya kukuza uwezo wa AZAKi na kuongeza hamasa na wigo wa ushiriki wa wananchi katika machakato wa…





