Author: Jamhuri
Wizara yaanza kampeni mkoa kwa mkoa kupambana na ukatili
Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum kwa kushirikiana na Wizara za Kisekta na wadau wa Maendeleo imeanza Kampeni maalum ya Mkoa kwa mkoa kupambana na vitendo vya ukatili. Akizungumza wakati wa Kilele cha Kampeni ya kupinga…
Arusha yaanza kuchukua tahadhari mlipuko wa Ebola
Mkoa wa Arusha umeanza kuchukua tahadhari ya kukabiliana na mlipuko wa ugonjwa wa Ebola kutokana na kuwa na muingiliano mkubwa wa wageni kutoka nchini Uganda kulikoripotiwa kuwa na ugonjwa huo. Akizungumza na kamati ya afya ya msingi katika kuweka utayari…
TPA yadhamiria kuziboresha bandari kuwa za kisasa
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Bagamoyo Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA),imedhamiria kufanikisha maono ya Rais Samia Suluhu Hassan ya kufanya mageuzi makubwa ya uchumi wa nchi kutoka daraja la tatu kwenda kwenye nchi zenye uchumi wa daraja la pili. Hayo yamebainishwa…
Kinana ataja mambo manne ambayo hayati Nyerere alikuwa akiyasimamia
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Kibaha Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi ( CCM) Tanzania Bara Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana ametaja mambo manne ambayo Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere alikuwa akiyasimamia enzi ya uhai wake kwa ajili ya maendeleo ya Watanzania….





