JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Waziri Maryprisca atoa siku saba kwa meneja RUWASA Handeni

Naibu Waziri wa Maji Marry Prisca Mahundi ametoa siku saba kwa Meneja wa RUWASA Wilaya ya Handeni Mhandisi Hosea Joseph kuhakikisha anamsimamia mkandarasi wa Kampuni ya Mponela Dicksona Mwipoo anayetekeleza mradi wa maji katika Kijiji cha Msomera wilayani humo kuhakikisha…

Simba Queens watinga nusu fainali CECAFA

TIMU ya Wanawake ya Simba Queens ambayo ni sehemu ya Wekundu wa Msimbazi ya jijini Dar es Salaam imetinga Nusu Fainali ya Michuano ya Klabu Bingwa Afrika kwenye Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati (CECAFA). Ni kutokana na ushindi wa…

TANESCO yasitisha matengenezo ya LUKU

MATENGENEZO kwenye kanzidata ya mfumo wa Luku yaliyokuwa yaanze Agosti 22 hadi 25, kuanzia saa 4 usiku hadi saa 1 asubuhi yamesitishwa. Hatua hiyo imekuja baada ya muda mchache Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kutangaza matengenezo kwenye kanzidata ya mfumo…

Shaka aagiza kuchukuliwa hatua mtendaji wa kijiji Kaliua

KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka ameagiza Ofisi ya Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Kaliua Mkoani Tabora kumchukulia hatua aliyekuwa Mtendaji wa Kijiji cha Ibambo kata ya Mwongozo Adam Muyaga…

‘Sheria inakwaza vyombo vya habari na kuzidi kusinyaa’

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia MJUMBE wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), na katibu mstaafu wa jukwaa hilo Neville Meena amesema kuwa bado kuna ukakasi kwenye sheria ya vyombo vya habari ya mwaka 2016. Ameyasema hayo wakati akizungumza na Kituo cha Radio…