JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

TPA yafunga mtambo wa kisasa wa kufundishia Chuo cha Bandari

Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania imekamilisha kazi ya kufunga mitambo miwili ya kisasa ya kufundishia kwa vitendo (Full Mission Crane Training Simulator) katika Chuo chake cha Bandari kilichopo Wilaya ya Temeke, katika Mtaa wa Mahunda. Mitambo hiyo ambayo imeanza…

Ndugu Rais, upanga una makali kuwili

Ndugu Rais, wako waliosema dunia hadaa, ulimwengu shujaa. Kwa muoga huenda kicheko, na kwa shujaa huenda kilio. Waliosikia walibadilika na kuwa wema na hivyo wakaponyoka adhabu yake, lakini vimbulu walingojea mpaka wakaangamia kwa mateso makali! Unajitengenezea aina ya kifo mwenyewe…

Unyanyapaa kwa WAVIU ni ubaguzi, dhuluma, dhambi

Wiki iliyopita Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai, kwa kushirikiana na Baraza la Taifa la Watu Wanaoishi na Virusi vya Ukimwi (NACOPHA), aliwaalika viongozi wa dini kushiriki katika kikao kazi baina yao na Bunge/NACOPHA katika…

Ajira mbaya kwa watoto yaitesa Arusha

Jiji la Arusha linakabiliwa na wimbi kubwa la watoto wanaojihusisha na shughuli za kubeba mizigo katika masoko mbalimbali, jambo ambalo limesababisha wengi wao kukatisha masomo pamoja na kujiingiza katika vitendo vya kihalifu. Watoto hao wanafanya biashara za kubeba mizigo ya…

Je, mpangaji anaruhusiwa kumpangisha mwingine?

Upangaji una mambo mengi sana. Hii ndiyo sababu suala hili nalo limeguswa na sheria na kuwekewa taratibu aake mahususi. Kila mtu anajua kuwa upangaji si lazima uwe wa nyumba ya kuishi tu. Hata maeneo ya biashara na shughuli nyingine pia…

Jifunze kushukuru katika maisha (2)

Katika sehemu ya kwanza ya makala hii wiki iliyopita tuliona umuhimu wa mtu kutimiza wajibu wake kwa kutoa shukrani.  Tuliona msemo wa mwandishi Fred De Witt Van Amburgh anayetukumbusha: “Shukrani ni fedha ambayo tunaweza kujitengenezea sisi wenyewe na kuitumia bila…