JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Barnaba ni almasi iliyong’arishwa THT (3)

Wiki iliyopita makala hii iliishia pale ambapo Barnaba Classic anasimulia jinsi alivyokutana na Ruge Mutahaba Tanzania House of Talents (THT) alipokwenda kufanyiwa majaribio ya kufuzu kuingia katika jumba la kukuza vipaji. Barnaba ni mmoja wa wasanii wachache wanaopenda kuongea huku wakicheka hasa pale…

Wachezaji Stars lazima mjiongeze

Kinachoendelea katika Jiji la New York au Moscow ndani ya dakika hii, kinaweza kujulikana duniani kote ndani ya saa moja. Teknolojia imerahisisha sana maisha na katika sehemu nyingine za ulimwengu huu, watu wengi wanajikuta wakikosa ajira kwa sababu kazi zao…

Profesa Tibaijuka atema mil. 1,600/- za Rugemalira

Mbunge wa Muleba Kusini, Profesa Anna Tibaijuka (69), yuko tayari kurejesha Sh bilioni 1.6 alizopewa na James Rugemalira ili zimsaidie mfanyabiashara huyo atoke rumande. Profesa Tibaijuka alikuwa miongoni mwa wanufaika wa mabilioni ya shilingi ‘yaliyomwagwa’ na Rugemalira aliyezipata kutoka kwenye…

DED amaliza mgogoro wa ardhi Pugu

Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala, Jumanne Shauri, ametoa uamuzi juu ya mgogoro wa ardhi unaoendelea katika eneo la Pugu Bombani, Dar es Salaam na kuwapa ushindi wafanyabiashara ndogo ndogo. Mkurugenzi Shauri ameliambia JAMHURI kuwa mgogoro huo tayari wameumaliza na eneo…

Kesi ya Luwongo wiki ijayo

Kesi inayomkabili mfanyabiashara, Khamis Said, maarufu Meshack (38), anayetuhumiwa kumuua mkewe, Naomi Marijani, imepigwa tarehe hadi Oktoba 7, mwaka huu kutokana na kutokamilika kwa upelelezi.  Wakili Mwandamizi wa Serikali, Wankyo Simon, amemweleza Hakimu Mkazi, Salum Ally, mbele ya mahakama kuwa…

Serikali yaongeza vifaa tiba MOI

Hospitali ya Taifa Muhimbili kitengo cha magonjwa ya mifupa (MOI) kinatarajia kufungua maabara kubwa ya kisasa kwa ajili ya upasuaji wa mishipa ya ubongo. Kitaalamu maabara hiyo inafahamika kama ANGIO-SUITE, itakayogharimu Sh bilioni 7.9. Mkurugenzi wa hospitali hiyo, Dk. Respicious…