JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Tanzania, Finland zaendelea kuimarisha ushirikiano

Serikali za Tanzania na Finland zimeahidi kuendelea kuimarisha ushirikiano katika sekta zenye maslahi mapana ya kiuchumi kwa wananchi wa nchi hizi mbili ikiwemo biashara, utalii na uwekezaji. Ahadi hiyo ilitolewa katika mazungumzo baina ya Waziri wa Mambo ya Nje na…

MO aendelea kuburuza Afrika mashariki na Kati

Mfanyabiashra Mohamed Dewji ‘Mo’ ameendelea kung’ang’ania kwenye orodha ya matajiri Barani Afrika iliyotolewa na Jarida maarufu la Forbes, ambapo ameshika nafasi ya 13 huku maarufu Aliko Dangote akishika nafasi ya kwanza. Katika orodha hiyo iliyotolewa na jarida la Forbes linalofuatilia…

Eneo la Kitaraka kutumika kimkakati kuzalisha mifugo Manyoni

Na Mbaraka Kambona,JamhuriMedia,Singida Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi,Abdallah Ulega (Mb) amesema kuwa Serikali imedhamiria kulitumia eneo la kupumzishia mifugo la Kitaraka lililopo wilayani Manyoni, Singida liweze kutumiwa na vijana watakao hitimu mafunzo katika vituo atamizi kwa ajili ya kufanya…

Serikali yatoa mikopo ya bil.165/- kwa wakulima

Na Farida Ramadhani,WFM, Dodoma Serikali kupitia Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imetoa mkopo wa shillingi billioni 164.9 kwa Sekta ya Benki na Taasisi za Fedha nchini uliowanufausha wakulima wadogo 5,385 na Vyama vya Ushirika na Masoko (AMCOS) 21. Hayo yameelezwa…

Rais azindua Tume ya Kuangalia Jinsi ya Kuimarisha Taasisi za Haki Jinai

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Samia Suluhu Hassan amezitaka Taasisi za Haki Jinai kuendesha na kusimamia haki jinai kwa kuzingatia misingi ya sheria, weledi, usawa, uadilifu pamoja na mila na desturi zetu. Rais Samia amesema hayo leo wakati akizundua…