Author: Jamhuri
HATUPANGI KUSHINDWA, TUNASHINDWA KUPANGA (2)
Weka pamba masikioni usisikilize maneno yanayoua mawazo mapya Mawazo ni muhimu katika kupanga. “Kupata wazo jipya lazima kuwe kama kukalia pini; lazima likufanye uruke na kufanya kitu fulani,” alisema E. L. Simpson. Jambo kubwa linaanza likiwa wazo dogo. Jogoo wanaowika…
Tusiache viwanja vya Jangwani vitoweke
Uwanja wa Jangwani jijini Dar es Salaam umebeba historia muhimu katika taifa letu. Mikutano kadhaa kipindi kile cha harakati za kudai Uhuru ilifanyika hapo. Jangwani imeendelea kujizoea umaarufu hata baada ya Uhuru. Mikutano mingi mikubwa imeendeshwa Jangwani. Mikutano ya kisiasa…
Tuwe macho katika uchumi wetu
Kuna njama za kuhujumu utu wa mtu na uchumi wa Mkoa wa Morogoro. Njama ambazo zinatekelezwa usiku na mchana na baadhi ya watumishi wa umma wakishirikiana na vibeberu uchwara waliomo mkoani humo. Mkoa wa Morogoro una ardhi ya rutuba kwa…
Yah: Urasimu kwa wasomi ni pigo
Kwanza napenda kuwashukuru wote waliotupatia pole ya msiba wa kijana aliyetoweka katika ulimwengu wa habari, mwenye nguvu ya kazi na mweledi wa kile alichokuwa akifanya. Mwenyezi Mungu alimpenda zaidi na hatuna namna nyingine zaidi ya kushukuru kwa kila jambo. Katika…
Mafanikio katika akili yangu (3)
Toleo lililopita katika sehemu ya pili tuliishia aya isemayo: “‘Dah! Biashara hii sasa mbona inaendelea kufilisika?’ aliwaza kichwa kikawa na msongo wa mawazo. Siku hiyo ilikuwa ngumu kwa Mama Noel kutengeneza pombe nyingine, kwa kuwa hakuwa na pesa hata senti moja….
Barnaba ni almasi iliyong’arishwa THT (2)
Wiki iliyopita makala hii iliishia pale ambapo Barnaba Classic anakumbuka kwamba baba yake hakuwahi kumkubali katika kazi yake ya muziki hadi siku alipopata mwaliko wa kwenda Ikulu na kwenda na baba yake, hapo mambo yakaanza kubadilika ndani ya familia. Endelea…