Author: Jamhuri
Rais Samia aipongeza Serengeti Girls,yaibamiza Les Bleues 2-1
Rais Samia Suluhu Hassan ameipongeza timu ya Serengeti Girls kwa kuibamiza Les Bleues ya Ufaransa mabao 2-1 katika michuano ya Kombe la Dunia kwa Wasichana chini ya Umri wa Miaka 17 (U17) katika mchezo wa Kundi D Uwanja wa Jawaharlal…
Kila la heri Yanga, Simba na Azam kesho
Bodi ya Ligi imezitakia kila heri timu za Azam FC, Simba na Yanga katika mechi zao za marudiano michuano ya Afrika kesho. Ni Simba pekee yenye matumaini makubwa ya kusonga mbele baada ya ushindi wa 3-1 ugenini dhidi ya Primiero…
Madereva wa bajaji wapewa mwongozo wa utendajikazi Arusha
Na Abel Paul,JamhuriMedia,Arusha Uongozi wa Wilaya ya Arusha umewaka waenda Pikipiki za mataili matatu maarufu bajaji kufuata utaratibu na kuweka mipango mathubuti wa uendeshaji wa shughuli zao katika jiji la Arusha ambapo wametakiwa kujisajili na kuweka uongozi imara ili kuondoa…





