JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Mwanza patamu!

*Yanga safiii… ila Simba mmh! DAR ES SALAAM Na Andrew Peter “Mwanza oooh Mwanzaaa! Mwanza mji mzuri. Mwanzaaaa!” Maneno ya Dk. Ramadhan Remmy Ongala ‘Mbele kwa Mbele’. Hakuna anayebisha kuhusu uzuri wa Jiji la Mwanza maarufu kama ‘Rocky City’ kutokana…

Miaka 26 baada ya ajali ya MV Bukoba…

Mwezi kama huu takriban miaka 26 iliyopita Tanzania ilikumbwa na msiba mkubwa wa kihistoria kuwahi kutokea baada ya meli ya abiria iliyokuwa ikitoka Bukoba, Kagera kuelekea Mwanza kupinduka na kuzama kwenye Ziwa Victoria. Ingawa hakuna idadi kamili iliyotolewa, lakini kwa…

Brela ikabidhiwe kazi ya kutoa leseni zote

Na Deodatus Balile, Morogoro Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (Brela) umetoa taarifa muhimu kwa maendeleo ya biashara nchini katika mkutano na Jukwaa la Wahariri Tanzania.  Mtendaji Mkuu wa Brela, Godfrey Nyaisa, ameeleza mfumo wa kusajili biashara kupitia mtandaoni…

WAGOMBEA WENZA: Ni uteuzi wa kimkakati

MOMBASA Na Dukule Injeni Hatimaye wagombea urais, hususan wa muungano wa Azimio la Umoja One, Kenya Alliance na Kenya Kwanza wameteua wagombea wenza siku chache tu kabla ya Mei 16, mwaka huu, iliyotengwa na Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka…

Ni mshikemshike Liverpool, Real Madrid

PARIS, UFARANSA Liverpool inalitaka taji la saba la Ulaya pamoja na kulipa kisasi cha fainali ya Ligi ya Mabingwa 2018 dhidi ya Real Madrid inayosaka kombe lake la 14 la mashindano hayo makubwa zaidi kwa klabu barani humo. Liverpool watakuwa…

Ni kilimo cha ‘kufa’ tu au ‘kufa na kupona’?

Na Joe Beda Rupia Nimewahi kuhoji katika safu hii miezi kadhaa iliyopita iwapo kilimo bado ni uti wa mgongo wa taifa letu. Hakukuwa na majibu ya moja kwa moja. Kilimo. Kilimo. Kilimo. Kimekuwa kikiambatana na kaulimbiu mbalimbali, lakini kwa hakika…