JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

JWTZ kiboko

Dar es Salaam Na Aziza Nangwa Mkuu wa Majeshiya UlinziTanzania,Jenerali Venance Mabeyo, ameyataja mafanikio ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) liliyoyapata tangu lianzishwe Septemba Mosi, 1964. Mafanikio hayo ameyataja mjini hapa wiki iliyopita akitoa taarifa ya changamoto na mwelekeo…

Mnyukano Jiji, TARURA

DAR ES SALAAM NA DENNIS LUAMBANO Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam imeingia kwenye mvutano mkali wa kimasilahi na Wakala wa Barabara Vijijini na Mijini (TARURA) Mkoa wa Dar es Salaam kuhusu ukusanyaji wa tozo za maegesho batili (wrong…

Chama ni Okwi mwingine katika soka letu

DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Mwanasoka maaarufu nchini raia wa Zambia, Cletous Chama, ameondoka nchini miezi mitatu tu iliyopita lakini taarifa zake za kurejea nchini zinavuma kwa wingi kuliko hata kile anachokifanya akiwa uwanjani huko aliko sasa. Hali hii…

Benki yazidisha uonevu kwa wafanyakazi

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Baada ya gazeti hili la uchunguzi kuchapisha taarifa za benki moja nchini zinazoeleza kuwa Afisa Mtendaji Mkuu wa benki hiyo ana dharau, ananyanyasa na kufukuza wafanyakazi hovyo bila kuheshimu sheria za kazi wiki mbili…

Iwe shuruti kuufanya ukimwi kuwa historia

Kesho ni Desemba Mosi, siku ambayo imetengwa na kufahamika kimataifa kama ‘Siku ya Ukimwi Duniani’ ambapo kwa Tanzania maadhimisho hayo huratibiwa na Tume ya Kudhibiti Ukimwi (TACAIDS). TACAIDS ilianzishwa Desemba 1, 2000 na Rais wa Tatu wa Tanzania, Benjamin Mkapa,…

MIAKA 60 YA UHURU Tubadili fikra, tusichukie biashara

Na Deodatus Balile, Nzega Wiki iliyopita nilipata fursa ya kumsikiliza Rais Samia Suluhu Hassan wakati anafunga kongamano la wafanyabiashara wa Tanzania na Uganda lililofanyika Dar es Salaam.  Rais Samia ameeleza umuhimu wa serikali kufanya kazi na wafanyabiashara kwa kushirikiana. Rais…