Author: Jamhuri
Bandari safisha wahalifu
Kwa muda wa miaka minne sasa gazeti hili la JAMHURI limekuwa likiandika habari za uozo katika Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA). Katika maandishi hayo tumebainisha suala la upotevu wa makontena, vibarua hewa, usitishaji wa matumizi ya flow meter za mafuta,…
Madini yatishia amani Morogoro
Wananchi wa Kitongoji cha Epanko ‘A’, Wilaya ya Ulanga, mkoani Morogoro, wamelazimika kuyakimbia makazi yao, huku wakilalamikia utekelezaji wa mradi wa uchimbaji wa madini ya graphite kwamba haukuzingatia mambo mengi yanayohusu maisha ya walengwa. Baadhi ya wananchi wa kitongoji hicho…
Changamoto za kufufua meli zinatisha
Pamoja na Serikali kuonesha nia njema ya kutaka kurudisha huduma za usafiri majini katika maziwa makuu, kwa kutumia vyombo vya umma yaani kuifufua Marine Services Company Limited (MSCL), tatizo bado lipo. Serikali inategemea kutoa fedha kwa ajili ya kufufua meli…
Dk. Jane: Mtafiti aliyeipaisha Gombe
Umewahi kuwaza kuhusu binti wa miaka 26, kutoka katika nchi na bara lake na kwenda bara jingine katika kile kinachoitwa kutimiza ndoto zake? Ukikutana na Dk. Jane Goodall na kumuuliza swali hilo, jibu lake ni rahisi sana, ndiyo. Ni siku…
Upanuzi airport umeleta majanga
Habari Mhariri, Mimi ni mkazi wa Pugu, mmoja ya wapenzi wakubwa wa gazeti la Jamhuri linaloanzia wengine wanapoishia, naamini ni kwenye uwezo ndio maana sahihi ya kauli hii (uwezo wenu ni zaidi ya wale). Napenda kuwasilisha kilio changu, na…
Ndugu Rais, kwa neno lako nitatupa wavu
Ndugu Rais, sasa siyo tena kwa kificho, ni jambo lililowazi kuwa matumaini yaliyorejewa sasa yanaanza kuyeyuka. Kadri siku zinavyozidi kwenda ndivyo giza linavyozidi kuingia. Watu japo kwa kunong’ona wanaanza kuulizana; tulichodhani ndicho, ndicho? Muhula wetu ni miaka mitano. Na huu…