Author: Jamhuri
Tanzania na Qatar zajadili ajira wakati wa Kombe la Dunia
Tanzania imeihakikishia Qatar kuwa ipo tayari kutoa vijana watakaoweza kufanya kazi nchini humo, hususan katika kipindi hiki ambacho mahitaji ya nguvukazi ni makubwa kutokana na nchi hiyo kuwa mwenyeji wa Mashindano ya Mpira wa Miguu wa Kombe la Dunia yatakayochezwa…
LIVE:Mkutano wa NHIF na wadau Geita
Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) umekutana na wadau wake nchini kote kwa lengo la kuwasikiliza, kushauriana na kujadiliana namna ya kuboresha huduma mbalimbali wanazotoa ili ziweze kuwafikia kwa ufanisi. NHIF imejipanga kutoa huduma bora za matibabu kwa…
Tanzania, Israel kushirikiana kwenye ujuzi wa uzalishaji mbegu
Nchi za Tanzania na Israel zimeanzisha mazungumzo kuelekea katika makubaliano ya kushirikiana katika maeneo ya uzalishaji wa mbegu na kilimo cha umwagiliaji kwa kutumia teknolojia ya kisasa. Hayo yamezungumzwa jana Jijini Tel Aviv,Israel wakati wa mkutano baina ya Waziri wa…
‘Taarifa za utoaji habari za watoto zina kasoro nyingi’
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia BADO kuna changamoto za utoaji taarifa kuhusiana na vitendo mbalimbali wanavyofanyiwa watoto nchini na kuchangia matukio ya ukatili kuendelea kutokea. Hayo yamebainishwa katika mafunzo kwa wakuu wa vitengo vinavyosimamia wanafunzi wa uandishi wa habari katika vyuo mbalimbali…
Rais Samia:Nawapongeza wanangu Simba Queens kutwaa ubingwa CECAFA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan ameipongeza timu ya Simba Queens kwa kutwaa taji la Klabu ya Wanawake Afrika Mashariki na Kati jana. “Nawapongeza wanangu Simba Queens SC kwa ubingwa wa Afrika Mashariki wa CECAFA…





