JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Machozi… Albamu iliyompaisha Lady Jaydee

TABORA Na Moshy Kiyungi Judith Wambura, maarufu kama Lady Jaydee, Jide, Komandoo au Binti Machozi ni miongoni mwa wasanii wakongwe wa kike nchini. Msanii huyu ana kipaji na uwezo mkubwa wa kutunga na kuimba nyimbo zenye ujumbe mzito kwa jamii…

Amuua mama, atoweka na mtoto

SHINYANGA Na Antony Sollo Mtu mmoja anayefahamika kwa jina la Rahim Mwita mkazi wa Sarawe mkoani hapa, anadaiwa kumuua mkewe, Monica Lucas, kisha kutokomea kusikojulikana na mtoto wa mama huyo ajulikanaye kwa jina la Prince. Ndugu wa mama huyo, Mabula…

Makabwela wengi wanaumia mahabusu bila kuwa na hatia

Mfanyabiashara James Rugemalira ameachiwa huru baada ya kuwekwa rumande kwa miaka zaidi ya minne akikabiliwa na mashitaka ya uhujumu uchumi na mengine kadhaa yaliyokosa ushahidi. Kuachiwa kwake kumefufua mjadala miongoni mwa Watanzania, hasa wanaokerwa na mfumo wa ucheleweshwaji wa mashauri…

Kilichowaponza mawaziri

*Baadhi waliacha kazi wakawaza urais 2025, Kalemani bei ya mafuta yamponza *Rais Samia aanza kufumua mtandao masilahi, apanga watumishi wa wananchi  *Shibuda: Rais amepata gari la tani 100, magari ya tani tano yampishe *ACT Wazalendo: ‘Rais Samia Suluhu amechelewa kufanya…

NIDA inavyoliwa

*Yakwama kutoa Vitambulisho vya Taifa kwa wakati *Mabilioni ya fedha za tozo yaachwa bila kukusanywa   *Ukarabati wa magari, mitambo haujafanyika bila sababu *Mkuu Kitengo cha Mawasiliano asema: ‘Hatuna majibu’ DAR ES SALAAM NA DENNIS LUAMBANO Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa…

PENTAGON Wizara ya Ulinzi Marekani iliyopitia  misukosuko mbalimbali ya kigaidi

• Ni jengo lenye ofisi nyingi kuliko lolote duniani • Limeenea kwenye eneo la hekta 29 • Hutoa huduma za simu zipatazo maili 100,000 • Posta za jengo hilo hupokea barua zaidi ya 100,000 kila siku  • Ni jengo lenye…