JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Sakata kesi ya ‘unga’ lachukua sura mpya

Wiki moja tangu kuchapwa kwa habari ya malalamiko ya Watuhumiwa wa kesi ya dawa za kulevya ‘unga’ aina ya heroin kuhusu kucheleweshwa kwa shauri wakidai linachukua muda mrefu kusikilizwa, limefumua mambo mengine. Taarifa zinasema kwamba shauri hilo lilitoka Mahakama ya…

Utata kifo cha Ofisa Uhamiaji

Kifo cha Ofisa wa Idara ya Uhamiaji, Mkoa wa Rukwa, Chris Kanyama kimeibua utata na uhasama ndani ya idara hiyo nyeti nchini. Vyanzo vya habari kutoka idara hiyo vinasema kwamba Kanyama kabla ya kifo chake kulikuwa na mlolongo wa matukio…

‘Dk. Magufuli fanya haya tanzanite isiende Kenya’

Haya ni maajabu ya dunia! Licha ya nchi ya Kenya kutokuwa na chembe ya shimo la tanzanite, ndiyo inayojulikana kuwa msafirishaji mkuu wa madini hayo duniani ikifuatiwa na India na Afrika Kusini. Haya yametokea si kwa bahati mbaya, isipokuwa ni…

Kuuza ardhi ni kuuza uhuru (2)

Wiki iliyopita, mchambuzi na mwandishi wa masuala ya uhusiano wa kimataifa na kikanda anazungumzia Jumuiya ya Afrika Mashariki EAC), akisema Umoja huu wa sasa ni ulaghai mtupu. Alichambua akisema kama baada ya miaka 50 ya Uhuru, Wakenya siyo wamoja; Wauganda…

Walimu wanadai milioni 700 Nyerere University

Wafanyakazi na Wahadhiri wa Chuo Kikuu Cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere (MNMA), wameingia katika mgogoro na uongozi wa taasisi kwa kushindwa kuwalipa zaidi ya Sh. milioni 700 ikiwa ni malimbikizo ya mishahara na posho. Pamoja na Serikali kupinga kwa nguvu…

Mawaziri wa JPM na mbio za sakafuni

Kasi ya mawaziri wa Serikali ya Awamu ya Tano chini Rais Dk. John Pombe Magufuli inatia shaka. Bila shaka, baadhi yao wanaonekana kutafuta sifa ambazo hawastahili. Hawa wanaongozwa na hofu ya kutimuliwa kazi. Tangu walipoapishwa Desemba 12, mwaka huu, mawaziri…