Author: Jamhuri
Putin: Tunashinda vita vya haki nchini Ukraine
Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema siku ya Jumatatu kuwa vikosi vya Urusi vinapata ushindi katika kile alichokiita “vita vya haki” nchini Ukraine. Putin alisema hayo kwenye video iliyochapishwa katika tovuti ya Ikulu ya Kremlin na kuongeza kuwa wapiganaji na…
Rais wa Madagascar aivunja serikali yake
Rais wa Madagascar Andry Rajoelina ameivunja serikali yake jana Jumatatu baada ya siku kadhaa za machafuko makubwa ambayo Umoja wa Mataifa umesema yalisababisha vifo vya watu 22. Rais Rajoelina alisema alipolihutubia taifa kwa njia ya televisheni kwamba ameamua kusitisha shughuli…
Mgombea ubunge Jimbo la Morogoro awashauri wananchi kuichagua CUF ili kupata haki za kiuchumi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Nyambi Athuman ambaye ni mgombea ubunge wa Jimbo la Morogoro Mjini kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), ambapo CUF inaamini katika falsafa ya ‘Haki Sawa kwa Wote’ itahakikisha kila mwananchi anapata haki zake za…
Polisi waeleza kwa kina mwanafunzi aliyetekwa na kunyongwa, watekaji wataka mamilioni
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya SEPTEMBA 14, 2025 liliripotiwa tukio la kutekwa nyara kwa Shyrose Michael Mabula (21) aliyekuwa mwanachuo mwaka wa kwanza katika Chuo Kikuu cha Mzumbe ndaki ya Mbeya Kitivo cha Sheria na watu wasiofahamika, ambapo Septemba 16,…
Mgombea urais CCM ahaidi kufungua ukanda wa kaskazini kiuchumi, kukamilisha miradi ya kimkakati
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi kukamilisha ujenzi wa daraja la Pangani na barabara ya Bagamoyo–Saadani–Pangani–Tanga, akisisitiza kuwa miradi hiyo ni ya kimkakati kwa kufungua ukanda wa…