Author: Jamhuri
Tuendelee kumuunga mkono Rais kwa kubuni vyanzo vipya vya mapato – โRAS Mnyema
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Katika juhudi za kuimarisha maendeleo na kuongeza mapato ya ndani, Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani, Pili Mnyema, ametoa rai kwa watendaji wa Manispaa na Halmashauri kuwa wabunifu katika kusimamia miradi ya maendeleo, akisema hilo…
Kaya 3,255 kunufaika na majiko ya gesi ya ruzuku Wilaya ya Mlele
๐Wananchi waipongeza Serikali kwa makati huo Wananchi Kijiji cha Usevya Wilaya ya Mlele Mkoani Katavi wamepongeza hatua zinazochukuliwa na Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) katika kuhakikisha wanafikiwa na nishati safi ya kupikia kwa bei ya ruzuku. Wametoa pongezi…
Watanzania tusikubali uchaguzi utugawe- Dk Biteko
๐ Asema Kuna Maisha baada ya Uchaguzi ๐ Amwakilisha Rais Samia,miaka 40 Kanisa Anglikana Dayosisi ya Kagera ๐ Rais Samia achangia Tsh. Milioni 50 Ujenzi wa Kanisa Dayosisi ya Kagera ๐ Anglikana Waishukuru Serikali, washirika wa maendeleo Na Ofisi ya…
Rais Samia azungumza na viongozi wa TUCTA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na viongozi wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) Ikulu jijini Dar es Salaam, tarehe 12 Agosti, 2025. Viongozi hao wamempongeza na kumshukuru Rais Dkt. Samia…
Ukombozi wa kiuchumi ni safari ndefu, SADC yakumbushwa
Nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) zimekumbushwa kuwa ukombozi wa kiuchumi ni safari ndefu na ili kuifikia nchi hizo zinahitaji mtangamano wenye nguvu na usioyumbishwa katika utekelezaji wa malengo waliyojiwekea. Hayo yamesemwa na Waziri wa Mambo ya…