Author: Jamhuri
Dkt. Mataragio: Serikali haitasita kuwachukulia hatua kali wanaoficha mafuta
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam SERIKALI imetoa onyo kali kwa wafanyabiashara wanaojihusisha na vitendo vya kuficha mafuta kwa lengo la kuyauza kwa bei ya juu baadaye, ikisisitiza kuwa haitasita kuchukua hatua kali kwa watakaobainika kuvuruga utaratibu wa soko….
Iran: Hatuna nia ya kufanya mazungumzo na Marekani
Iran imetupilia mbali mpango wa Marekani wa kusitisha vita huko Mashariki ya Kati huku ikiendeleza mashambulizi zaidi dhidi ya Israel na nchi za Ghuba. Tehran hata hivyo imesema inalipitia tena pendekezo hilo lakini Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran…
Makaburi zaidi ya 3,000 yahamishwa kupisha mradi wa biashara za machinga Bukoba
…………………………………………….. Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera imekamilisha zoezi la kuhamisha makaburi zaidi ya elfu tatu kutoka eneo la Kishenge kwenda Kata ya Buhembe, ikiwa ni maandalizi ya kupisha ujenzi wa jengo la kitega uchumi kwa ajili ya wafanyabiashara wadogo maarufu…
Baraza jipya la wafanyakazi laagizwa kuzingatia vipaumbele vya ofisi
Na OWM- KAM – Dodoma Baraza jipya la Wafanyakazi wa Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano limeagizwa kuzingatia misingi ya mahusiano mazuri mahali pa kazi, uwajibikaji na uadilifu ili kuongeza ufanisi na ustawi kazini. Akizindua Baraza hilo…
Kikwete ateuliwa kuwa mwakilishi ngazi ya juu wa Mwenyekiti wa Kamisheni AU
Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AUC), Mahmoud Ali Youssouf, amemteua Rais Mstaafu wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, kuwa Mwakilishi wa Ngazi ya Juu wa Mwenyekiti wa AUC katika eneo la Pembe ya Afrika na Bahari ya Shamu….
Watatu washikiliwa kwa tuhuma za ‘kuchakachua’ mbolea Makambako
Na Mwandishi Wetu Polisi mkoani Njombe inawashikilia watu watu akiwemo James Elias Nziku (41), Ahmed Abdalah Gunda (21) na Seleman Lameck Msiani (37) wakazi wa Makambako mkoani Njombe baada ya kukutwa katika ghala la mfanyabiashara wa pemebejeo anaejulikana kwa jina…





