JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Serikali yaridhishwa na maandalizi ya NHIF kuelekea AFCON

Serikali imeutaka Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) kujipanga kikamilifu katika maandalizi ya mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027, hususan katika kuhakikisha wageni watakaofika nchini wanapata huduma bora za matibabu bila vikwazo. Agizo hilo limetolewa…

Serikali imepiga hatua kubwa kuimarisha mifumo ya utakatashaji fedha haramu

Na Benny Mwaipaja, Kigali, Rwanda Waziri wa Fedha wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb) amesema kuwa Serikali imepiga hatua kubwa kuimarisha mifumo ya kuthibiti utakasishaji fedha haramu, ufadhili wa ugaidi, na ufadhili…

Viongozi vyuo vikuu wakubali kuboresha udahii na ubora wa elimu

Dodoma WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, ameitaka Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) kuhakikisha inaweka mfumo bora na wenye ufanisi wa udahili na usajili wa wanafunzi wanaojiunga na elimu ya juu, ili kuepusha vyuo kupokea wanafunzi…

Makamu wa Rais ashiriki misa ya kuwekwa wakfu Askofu Msaidizi wa Jimbo Katoliki Dar es Salaam

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Deogratius Ndejembi ameshiriki Adhimisho la Misa Takatifu ya kuwekwa Wakfu Mhashamu Vincent Mpwaji, kuwa Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam, iliyofanyika katika Viwanja vya Msimbazi Center –…

Dk Mwigulu : Kila kijiji kuwa na sekondari

Aelekeza fedha zinazookolewa kwenye kubana matumizi zielekezwe kwenye huduma za wananchiAagiza magari ya kubeba wagonjwa yawe na mafuta, aonya wanaowachangisha wagonjwaAmpongeza Afisa Elimu aliyesimamia shule kuongoza kitaifa WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema Serikali imejipanga kufanya mageuzi makubwa katika sekta…

Tanzania yakabidhi DRC msada wa tani 52 za dawa na vifaa tiba kupambana na Ebola

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeikabidhi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) tani 52 za dawa na vifaa tiba zenye thamani ya shilingi milioni 220, sawa na takribani dola 88,000 za Kimarekani, kusaidia mapambano dhidi ya mlipuko wa…