JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Serikali itaendelea kufanya mageuzi sekta ya kilimo – Majaliwa

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali imedhamiria kuendelea kufanya mageuzi katika sekta ya kilimo ili kuhakikisha Tanzania inaendelea kuwa kitovu cha uzalishaji wa chakula katika ukanda wa Afrika Mashariki. Amesema lengo la Serikali ni kuendelea kuimarisha usalama wa chakula,…

Serikali yaendelea kuwezesha wananchi kupata hati milki za ardhi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Serikali kupitia Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi imeendelea kuwawezesha wananchi kupata hati milki za ardhi ili kuongeza kasi ya umilikishaji katika maeneo mbalimbali nchini. Uwezeshaji huo unafanyika kupitia mazoezi ya urasimishaji makazi…

Serikali yaahidi sheria rafiki kwa wawekezaji kufanikisha Dira 2050

Na Mwandishi wa OMH, Kibaha Serikali imeeleza dhamira yake ya kutengeneza sheria rafiki za uwekezaji zitakazoiwezesha kufikia uchumi wa kati wa juu kama ilivyobainishwa kwenye Dira 2050. Moja ya shabaha za Dira 2050 ni kuchochea ukuaji wa Pato la Taifa…

Mapessa Intertrade yapambania ujenzi viwanda vya uchenjuaji, kemikali Chunya

Si Lazima Uchimbe: Mapessa Yafungua Macho kwa Fursa Ndani ya Sekta ya Madini Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Chunya Kampuni ya Uuzaji wa Vifaa na Kemikali za Uchenjuaji Madini Chunya, MAPESSA Intertrade Ltd imeiomba Serikali kuendelea kuhamasisha wadau na Wawekezaji kuanzisha…

Tume ya Madini yajipanga upya kuiboresha sekta ya madini nchini

Na MwandishinWetu, JamhuriMedia, Tanga Tume ya Madini inaendelea na kikao kazi cha menejimenti jijini Tanga chenye lengo la kutathmini utekelezaji wa majukumu yake na kuweka mikakati mipya ya kuimarisha Sekta ya Madini nchini. Kikao hicho kinahusisha Makamishna wa Tume ya…