Author: Jamhuri
Utalii wa Kijiolojia Dodoma; Yoderite na mageuzi ya Kongwa kuwa urithi wa dunia
✅️ Tanzania yaendelea kujijengea nafasi ya kipekee duniani kama kitovu cha tafiti za miamba ya shinikizo la juu na utalii wa kijiolojia. ✅️ Profesa Abdulkarim Mruma Ahusika na Kuendeleza Urithi wa Tafiti za Mautia Hill 📍Kongwa – Dodoma Katika eneo…
Mradi wa njia ya umeme Chalinze – Dodoma wafikia asilimia 89
📌 Njia ya kV 400 yenye urefu wa km 345 kukamilika Agosti 21, 2026; kubeba umeme wa JNHPP na kuongeza uwezo wa Gridi ya Taifa. Mradi wa ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme ya msongo wa kilovoti 400 kutoka Chalinze…
Waziri Mkuu: Wakandarasi warejee site
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba ameelekeza wakandarasi waliokuwa wamesimamisha kazi katika miradi mbalimbali ya ujenzi wa barabara mkoani Mara kurejea maeneo ya kazi mara moja, huku Serikali ikiendelea kuwalipa ili kuhakikisha miradi hiyo inakamilika kwa wakati. Akizungumza na wananchi katika…
Serikali yaanza enzi mpya ya usafi wa mazingira kupitia mkakati wa huduma jumuishi
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Katika hatua mpya ya kuimarisha uhifadhi wa mazingira na kujenga taifa lenye afya, Serikali imezindua Mkakati wa Huduma Jumuishi za Usafi wa Mazingira, ukilenga kuimarisha usimamizi wa taka, majitaka na huduma za usafi nchini ili…
Watanzania watakiwa kulinda amani
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, amesema ulinzi nausalama wa Tanzania ni wajibu wa kila mwananchi, akisisitiza kuwa kilaMtanzania anatakiwa kushiriki katika kulinda amani, umoja wa kitaifana mali za umma…
Makusanyo ya kodi yaendane na kasi ya ukuajia uchumi – Waziri wa Fedha
Dar es Salaam Waziri wa Fedha Mhe. Balozi Hassan Mussa Omar ameielekeza Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuhakikisha inaongeza makusanyo ya kodi ili kuendana na hali ya ukuaji wa uchumi unaoendelea kushuhudiwa nchini. Amezungumza hayo wakati akitembelea banda la TRA…





