Author: Jamhuri
Walimu bora wa Dodoma waenda Korea Kusini kusaka maarifa mapya
Na Mwandishi Wetu UJUMBE wa walimu na viongozi wa elimu kutoka Mkoa wa Dodoma wapatao 40 umeondoka kwenda Korea Kusini kujifunza, namna ya kufundisha, kusimamia shule na kutumia teknolojia katika elimu. Ujumbe huo unatarajiwa kushiriki programu ya mafunzo na ziara…
Israel yashambulia kusini mwa Lebanon licha ya makubaliano
Israel imeshambulia Jumamosi kusini mwa Lebanon, ikiwa ni siku moja baada ya nchi hizo mbili kusaini mpango wa kudumisha usalama uliosimamiwa na Marekani. Mpango huo unalenga kupunguza mvutano katika eneo la mpakani baada ya miezi kadhaa ya uhasama. Shirika la…
Rais Samia kufungua mkutano mkubwa wa madini Novemba 2026
-▪️Ni Mkutano mkubwa wa Madini na Uwekezaji ▪️Washiriki 2000 kutoka mataifa 50 Duniani kushiriki ▪️Kauli Mbiu ya Mkutano inalenga kuongeza thamani madini kwa maendelezo ya Viwanda ▪️Serikali na Sekta Binafsi kushirikiana kuandaa mkutano huo ▪️Waziri Mavunde azindua rasmi maandalizi ya…
Tanzania na Japan zasaini hati ya makubaliano ya biashara ya kaboni
Serikali ya Tanzania imeingia makubaliano na kampuni mbili kutoka Japan kwa ajili ya kufungua fursa za soko la biashara ya kaboni kupitia mpango wa Uratibu wa Pamoja wa Mikopo (JCM), hatua inayolenga kuongeza mchango wa sekta binafsi katika kufanikisha dira…
Rais Samia mgeni rasmi tuzo za Vijana Uchumi Challenge 2026
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi Julai 6, 2026 katika hafla ya kuwatunuku washindi 10 bora wa mashindano ya Vijana Uchumi Challenge 2025/2026, itakayofanyika katika Ukumbi…
Mbio za miaka 30 ya TRA , Eliona asisitiza ulipaji kodi kwa hiari
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Pwani imeungana na mikoa mingine kufanya mbio na matembezi ya shukrani kwa walipakodi ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 30 huku ikisisitiza ulipaji kodi kwa hiari na…





