Author: Jamhuri
Benki ya Dunia yaeleza imani kwa mustakabali wa Tanzania na ajenda ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050
Tarehe 18 Mei, 2026, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, alimpokea Ikulu jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia anayemaliza muda wake, Bw. Nathan Belete, aliyefika kumuaga Mheshimiwa Rais na kumtambulisha…
Trump: Hatuna haraka ya kufikia makubaliano na Iran
Rais wa Marekani amesema kuwa mazungumzo yanaendelea “kwa utaratibu na kwa njia yenye kujenga,” na kusisitiza kuwa hana haraka ya kufikia makubaliano ya kuvimaliza vita baina yake na Iran. Trump amesema siku ya Jumapili kupitia mtandao wa Truth Social kwamba…
Mlipuko wa Ebola Kongo, watu zaidi ya 200 wafariki
Serikali ya Kongo imetangaza kuwa idadi ya vifo kutokana na mlipuko wa Ebola katika eneo la Kaskazini mashariki mwa nchi hiyo inaendelea kuongezeka na kufikia 204 . Tangu kuanza kwa mlipuko huo, jumla ya visa 867 vinavyoshukiwa kuwa vya Ebola…
Programu ya Mageuzi ya Mazingira kuzinduliwa Juni 5, 2026
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Ofisi ya Makamu wa Rais inatarajiwa kuzindua Programu ya Kitaifa ya Mageuzi ya Kimkakati ya Mazingira Endelevu Tanzania katika kilele cha Siku ya Mazingira Duniani (WED) ambapo kitaifa itafanyika jijini Dodoma, Juni 5, 2026. Akizungumza…
Chuo Kikuu chenye hadhi ya juu duniani kutua Tanzania kwa Maonesho ya Elimu Malaysia
…….Kinaungana na vingine 9 vya nchini humo kwenye maonesho ya elimu Dar Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Tanzania inatarajiwa kupokea ujumbe mkubwa wa viongozi wa elimu ya juu kutoka Malaysia, wakiwemo viongozi kutoka Wizara ya Elimu ya Malaysia, Education…
TTB yamkaribisha bingwa wa masumbwi duniani Terence kwa ziara ya utalii wa mchezo
Mkurugenzi wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), Ephraim Mafuru, amemkaribisha nchini kwa mara ya kwanza bingwa wa masumbwi duniani, Terence Crawford, ambaye katika historia yake hajawahi kupoteza pambano lolote. Ziara hiyo ya wiki moja nchini imeandaliwa kwa ushirikiano kati ya…





