JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

TBS yashika nafasi ya juu kitaifa kwa utoaji huduma bora za umma

SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limeendelea kuonesha ubora wa huduma zake kwa wananchi kupitia ushiriki wake katika Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayoendelea jijini Dodoma, huku mamia ya wananchi na wafanyabiashara wakifurika katika banda la taasisi hiyo kupata…

Wizara yasisitiza ushirikiano kufikia asilimia 80 ya matumizi ya nishati safi ya kupikia

Dar es Salaam Wizara ya Nishati imesisitiza umuhimu wa ushirikiano kati ya Serikali, sekta binafsi na wadau wa maendeleo katika kufanikisha lengo la Taifa la kufikia asilimia 80 ya matumizi ya nishati safi ya kupikia ifikapo mwaka 2034. Wito huo…

Mbaroni kwa tuhuma za kumuua baba yake

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia Juma Ramadhan (21), tuhuma za kumuua baba yake mzazi Ramadhan Muna (47) na kumfukia ndani ya chumba chake alipokuwa akiishi maeneo ya Mbezi…

Miaka 30 ya TRA, Rais Samia alivyojenga msingi wa uhusiano mzuri kati ya mlipakodi na mamlaka

Na Dk Reuben Lumbagala Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ni chombo muhimu nchini katika kuhakikisha mipango na mikakati ya maendeleo inatimizwa kikamilifu. Hii inatokana na ukweli kuwa mipango mingi ya maendeleo kama uboreshaji wa sekta za elimu, afya, maji, masoko,…

Mafanikio ya usambazaji umeme, Mramba apongeza REA na TANESCO

📌Wakandarasi wa umeme wakaribishwa Zambia kutekeleza miradi Dar es Salaam Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba, amesema Tanzania imepiga hatua kubwa katika upatikanaji wa huduma ya umeme, kutoka hatua ya kusambaza umeme kwenye mikoa hadi kufikia ngazi…

Ili kufikia umeme wa megawati 8,000 ifikapo 2030 Ndejembi ataja vyanzo

Waziri wa Nishati, Mhe.Deogratius Ndejembi, amesema Serikali imejipanga kuongeza uzalishaji wa umeme kutoka megawati 4,300 za sasa hadi kufikia megawati 8,000 ifikapo mwaka 2030 kupitia utekelezaji wa miradi mbalimbali mikubwa ya uzalishaji wa umeme nchini. Amesema hayo akichangia Makadirio ya…