JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Ziara ya Rais Samia Urusi imethibitisha hatufungamani upande wowote -Wasira

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, amesema ziara ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan inathibitisha dhamira CCM nchi kutofungamana na upande wowote. Amesema waasisi wa taifa wakiongozwa na Mwalimu Julius Nyerere, waliitaka Tanzania kuwa katikati…

Bandari za Tanzania zashuhudia ukuaji mkubwa wa mizigo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mfumo wa bandari za Tanzania umeingia katika hatua mpya ya ukuaji wa biashara baada ya takwimu za hivi karibuni kuonesha ongezeko kubwa la Shehena za magari, makontena na mizigo ya kichele inayopitishwa bandarini….

Finland, Tanzania waongeza ushirikiano wa misitu kupitia jukwaa la biashara na uwekezaji

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Ubalozi wa Finland nchini Tanzania, kwa ushirikiano na Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) Tanzania kupitia Mpango wa Ubunifu wa FUNGUO, wameadhimisha Siku ya Misitu ya Finland 2026 yenye kaulimbiu ya…