Author: Jamhuri
Mkutano wa Africa 50 kukuza fursa za uwekezaji na miundombinu Tanzania
Na Saidina Msangi, WF, Dar es Salaam. Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Africa50 Bw. Alain Ebobisse, amebainisha kuwa Mkutano Mkuu wa Wanahisa wa Taasisi ya Africa50 (Africa50 General Shareholders’ Meeting – GSM) pamoja na Jukwaa la Miundombinu Afrika (Infra…
Mzumbe yabadili sura ya elimu ya juu, wanafunzi wafikia 17,955 baada ya uwekezaji wa Sh bilioni 15.6
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Wanafunzi wa Chuo Kikuu Mzumbe wameongezeka kwa 4,881 ndani ya miaka minne, kutoka 13,074 mwaka wa masomo 2021/22 hadi kufikia 17,955 mwaka 2025/26, huku chuo hicho kikieleza kuwa ongezeko hilo limechochewa na uwekezaji mkubwa katika…
Waziri Kombo amuaga Balozi wa Umoja wa Ulaya nchini
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mheshimiwa Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), amekutana na kuagana na Balozi wa Umoja wa Ulaya nchini Christine Grau, kufuatia kukamilika kwa muda wake wa uwakilishi nchini. Katika mazungumzo yao, Mheshimiwa…
Mmuya azindua jengo la milioni 35/- Ruangwa, wananchi waondolewa kero ya kukesha hospitali
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Ruangwa Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Ruangwa, Kaspar Mmuya, amezindua rasmi jengo la kupumzikia ndugu wa wagonjwa katika Hospitali ya Wilaya ya Ruangwa, mradi uliogharimu…
Viongozi wa vitongoji na vijiji watakaokutwa na mashamba ya bangi kufyeka wenyewe
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imeteketeza hekari 3,117.9 za mashamba ya bangi na kukamata watuhumiwa 12 katika operesheni maalum ya siku 16 iliyofanyika katika vijiji vinne vya Kata ya Kandawale na Kipatimo, Wilaya ya Kilwa,…
Asante Rais Samia kwa kusimamia Katiba mpya
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wiki hii mjadala wa Katiba Mpya umepata afya mpya baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kukutana na vyama 18 vya siasa nchini. Mkutano huu, ukiuangalia kwa umakini, ni mwendelezo wa njia aliyoahidi kuifuata…





