Author: Jamhuri
Wizara ya Nishati yaendelea kutumia nishati safi Expo kutoa elimu kwa wananchi
Dar es Salaam Wizara ya Nishati inaendelea kutoa elimu ya nishati safi ya kupikia kwa wananchi mbalimbali wanaoshiriki Kongamano la Nishati Safi Expo 2026 linaloendelea jijini Dar es Salaam hatua inayolenga kuimarisha afya za wananchi, kuhifadhi mazingira na kuboresha ustawi…
FCC yaongeza uhamasishaji kuelekea Siku ya Udhibiti wa Bidhaa Bandia
Tume ya Ushindani Tanzania (FCC) imeendelea kuimarisha kampeni ya utoaji elimu kwa umma kuhusu madhara ya biashara ya bidhaa bandia, ikisisitiza kuwa utengenezaji, usambazaji na uuzaji wa bidhaa hizo ni kosa la jinai linaloadhibiwa kwa mujibu wa sheria za nchi….
Tanzania yalenga kuvutia dola bilioni 4 za uwekezaji binafsi kuimarisha sekta ya nishati
London, Uingereza Serikali ya Tanzania imeeleza dhamira yake ya kuimarisha ushiriki wa sekta binafsi katika maendeleo ya miundombinu ya usafirishaji wa umeme ili kukidhi ongezeko la mahitaji ya umeme na kuharakisha ukuaji wa uchumi wa taifa. Akizungumza katika kikao cha…
REA yaing’arisha nishati safi EXPO 2026 Dar es Salaam
📌Washiriki Nishati Safi expo wafurahishwa na miradi ya REA Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umeshiriki Maonesho na Kongamano la Nishati Safi expo 2026 yanayofanyika katika ukumbi wa Ubungo EACLC jijini Dar es Salaam ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Naibu Waziri…
Vijana 100 kuwania milioni 50 za shindano la uchumi Challenge
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani VIJANA 100 kati ya 7,852 waliojitokeza kushiriki mashindano ya Vijana Uchumi Challenge 2025/2026 wameingia kambini katika Shule ya Uongozi ya Mwalimu Nyerere, Kwa Mfipa, Kibaha mkoani Pwani kuwania kitita cha Sh milioni 50 kwa mshindi…
Ujumbe wa Namibia wavutiwa na Teknolojia Hospitali ya Kairuki
Na Mwandishi Wetu UJUMBE kutoka Wizara ya Afya ya Namibia pamoja na wafanyabiashara walioambatana na Rais wa Namibia katika ziara yake ya hivi karibuni umetembelea Hospitali ya Kairuki na kujionea maendeleo ya huduma za afya, elimu ya tiba na uzalishaji…





