Author: Jamhuri
Ajira zaidi ya 420 zazalishwa kupitia ujenzi wa kituo cha EACOP PS4 Mbogwe
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Geita Zaidi ya wananchi 420 wamepata ajira zisizo za ujuzi kupitia utekelezaji wa ujenzi wa Kituo cha Kuongeza Msukumo wa Mafuta (PS4) cha Mbogwe, kinachotekelezwa chini ya Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki…
EACOP yafadhili vijana 17 kusomea ufundi stadi VETA
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kilimanjaro Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP), kwa kushirikiana na mkandarasi wake EITS, umefadhili vijana 17 wa Kitanzania kusomea mafunzo ya Ufundi Stadi Ngazi ya III katika Chuo cha Ufundi Stadi (VETA)…
Serikali yaelekeza bilioni 300/- kuchochea tija ya kilimo nchini
Serikali imeongeza uwekezaji katika sekta za kilimo, mifugo na uvuvi kwa kupanua upatikanaji wa mikopo kwa vijana, wanawake na wajasiriamali, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuongeza tija katika minyororo ya thamani ya sekta hizo. Hatua hiyo imebainishwa leo katika…
Mwitikio dhidi ya tahadhari kujikinga na Ebola waendelea kuimarishwa nchini
Na Cletus Sanga, WAF – Arusha WIZARA ya Afya kwa kushirikiana na Ofisi ya waziri Mkuu – TAMISEMI na CIHEB Tanzania chini ya Mradi wa Usalama wa Afya Duniani unaofadhiliwa na serikali ya Marekani imeendelea kuimarisha mwitikio dhidi ya ugonjwa…
Ngasongwa atoa elimu ya ushindani, awaasa wananchi kujihadhari na bidhaa bandia
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani (FCC), Bi. Khadija Ngasongwa, ameshiriki kilele cha Maonesho ya 33 ya Kimataifa ya Kilimo ya Nane Nane, yaliyofanyika katika viwanja vya Dkt.John Malecela Nzunguni Jijini Dodoma yakilenga kuimarisha tija,…
Rais Samia: Tutaendelea kuimarisha mitaji kupitia TADB
RAIS Samia Suluhu Hassan amesema Serikali itaendelea kuimarisha upatikanaji wa mitaji kwa wadau wa sekta ya kilimo kupitia Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB), huku mtaji wa benki hiyo ukiongezeka kutoka Sh bilioni 60 mwaka 2020/21 hadi Sh bilioni…





