JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

JKCI yang’ara Sabasaba, yatunukiwa tuzo ya huduma bora kwa wananchi

Na Mwandishi Wetu, Jamhuri MediaDar es salaam Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) imetunukiwa tuzo ya Huduma Bora kwa Wateja katika Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara (Sabasaba), ikiwa ni kutambua mchango wake wa kutoa huduma za afya…

Wanaswa kwa tuhuma za kupanga kutapelo benki

Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora JESHI la Polisi Mkoani Tabora limekamata watuhumiwa watatu kwa tuhuma za kupanga njama ya kufanya utapeli katika benki za CRDB na NMB zilizoko Mjini Tabora. Kamanda wa Polisi Mkoani hapa ACP Twaha Lulengelule amethibitisha kukamatwa…

Waziri Ulega asifu uchapakazi wa mbunge Dk Kellen- Rose Rwakatare

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kilombero WAZIRI wa Ujenzi, Abdalah Ulega amempongeza Mbunge wa Mlimba (CCM), Dk Kellen- Rose Rwakatare kwa namna ambavyo amekuwa akiwasilisha kero za wananchi wa jimbo hilo kwenye mamlaka ili zipate ufumbuzi. Alitoa pongezi hizo jana wakati…

Watu 8,000 wapatiwa matibabu ya bure Arusha

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Zaidi ya wananchi 8,000 kutoka Mkoa wa Arusha na maeneo mengine nchini wamepata huduma za uchunguzi na matibabu bila malipo katika siku mbili za kwanza za kambi maalumu ya afya inayofanyika jijini Arusha. Kambi hiyo…

UDSM Yaingia kwenye orodha ya QS World University Rankings (QS WUR) 2027

Na Mwandishi Wetu Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kimeandika historia mpya baada ya kuingia kwa mara ya kwanza katika orodha ya QS World University Rankings (QS WUR) 2027, hatua inayokitambulisha rasmi miongoni mwa vyuo vikuu bora duniani na…

Lindi kueneza elimu ya nishati safi ya kupikia kwa wote

📌 Majiko banifu 5,776 kusambazwa mkoani Lindi 📍 Lindi Katibu Tawala wa Mkoa wa Lindi, Bi. Zuwena Omary, amesema Mkoa wa Lindi umeanza kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia ikiwa ni sehemu ya juhudi za kufikia lengo la kitaifa…