Author: Jamhuri
Masauni ataka kila Mtanzania awe mlinzi wa mazingira
*Kongamano la mazingira kushirikisha watu zaidi ya 1,000 Na Mwandishi Wetu RAIS Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye kilele cha siku ya mazingira duniani yatakayofanyika Juni 5 katika ukumbi wa Jakaya Kikwete mkoani Dodoma. Hayo yalisemwa jana jijini…
Marekani yatangaza vikwazo kwa wanaoisaidia Iran
Serikali ya Marekani imetangaza vikwazo dhidi ya watu watatu na makampuni tisa kwa kusaidia usafirishaji wa mafuta ya Iran kuelekea China. Kampuni nne zina makao yake Hong Kong na nne nyengine ziko katika Falme za Kiarabu kwa huku kampuni ya…
Tusiiache njia ya maridhiano
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Naandika makala hii nikiwa safarini kuelekea Kilimanjaro, kushiriki mazishi ya Baba Mzazi wa Ndugu yetu, kijana na rafiki yetu, Neville Meena, mzee Mwalimu Meena. Baba huyu ametutoka na Mungu amlaze mahala pema peponi….
Mfumo ufuatiliaji uchafuzi mazingira mbioni kukamilika
Na Mwandishi Wetu SERIKALI inakamilisha ufungaji wa mfumo wa kisasa wa ufuatiliaji wa uchafuzi wa mazingira utakaowezesha kufuatilia viwango vya uchafuzi kwa wakati na kuchukua hatua za haraka dhidi ya wanaokiuka Sheria. Hayo yalisemwa na Naibu Waziri Ofisi ya Makamu…
Kamati yaipongeza Serikali hatua za kuiinua MSD
Kamati imeipongeza Serikali kwa hatua mbalimbali zinazoendelea kuchukuliwa kuiimarisha Bohari Kuu ya Dawa (MSD), ikiwemo ujenzi wa maghala makubwa pamoja na juhudi za kupunguza madeni yanayoikabili taasisi hiyo muhimu katika sekta ya afya nchini. Kwa mujibu wa taarifa iliyowasilishwa bungeni,…





