JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

WFP kuendelea kushirikiana na Serikali katika masuala ya usimamizi wa maafa nchini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula la Duniani (World Food Programme -WFP) limesema litaendeleza mashirikiano na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika kuhakikisha masuala ya menejimenti ya maafa yanaendelea kutekelezwa…

Safari za Shirika la Ndege la Brussels Airlines kutoka Brussels – KIA zazinduliwa rasmi

Tanzania imeandika historia mpya katika sekta ya usafiri wa anga na utalii baada ya Shirika la Ndege la Brussels Airlines kuzindua rasmi safari zake za moja kwa moja kati ya Brussels, Ubelgiji na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro…

FCC yawashauri wananchi kutoa taarifa ya bidhaa feki

Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Denis Londo, ametembelea banda la Tume ya Ushindani Tanzania (FCC) katika Maonesho ya Kimataifa ya Mbeya City Expo 2026 yanayoendelea katika viwanja vya Uhindini, jijini Mbeya, ambapo alipata fursa ya kujionea shughuli mbalimbali…