Author: Jamhuri
TOL Gases yaweka wazi uwezo wa Tanzania kuzalisha oksijeni ya tiba
Na Mwandishi Wetu SERIKALI imeombwa kuzipa kipaumbele kampuni binafsi zenye uwezo wa kuzalisha oksijeni ya tiba kwa ajili ya matumizi hospitalini, badala ya kuwekeza zaidi katika uzalishaji wake, ili kutumia kikamilifu uwezo uliopo nchini. Ombi hilo limetolewa jijini Dar es…
Hemed: CRDB Marathon yaendelea kuokoa maisha ya Watanzania
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdulla, ameongoza Mbio za Hisani za CRDB Bank International Marathon zilizofanyika katika Viwanja vya Posta Kijitonyama, Dar es Salaam, kwa lengo la kusaidia…
Dawasa yawasisitizia wanawake nafasi yao katika ulinzi wa huduma za maji
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es salaam (DAWASA) imewakumbusha Jamii juu ya umuhimu wa kulinda miundonbinu ya Maji ili kujenga jumuiya inayothamini huduma ya Maji kwa vizazi vya sasa na vizazi vijavyo. Hayo yamesemwa kwenye tukio la…
Tanzania yalenga kuwa kinara kimataifa katika uhifadhi wa mazingira
Na Benny Mwaipaja, Kizimkazi-Zanzibar Safari ya mageuzi ya kiuchumi kuelekea Dira ya Taifa 2050 imeanza kushika kasi, huku mijadala kuhusu vichocheo vya uchumi ikiendelea kupewa uzito mkubwa nchini. Miongoni mwa matukio yaliyoibua mjadala huo ni Tamasha la Kizimkazi 2026, lililofanyika…
Taasisi ya saratani ya Ocean Road yapeleka huduma Kanda ya Nyanda za Juu Kasini
Na Mwandishi Maalumu, Mbeya Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Saratani ya Ocean Road (ORCI)Dkt. Diwani Msemo amesema kukamilika kwa ujenzi wa Kituo cha Saratani ORCI Mbeya kutakuwa ni hatua muhimu katika kutimiza azma ya Serikali ya kusogeza huduma za kibingwa…
DCEA yateketeza ekari 603 za bangi Mvomero
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imeteketeza ekari 603 za mashamba ya bangi na kukamata magunia 49 ya bangi katika operesheni maalum iliyofanyika Wilaya ya Mvomero, mkoani Morogoro, huku watuhumiwa 13 wakikamatwa kuhusisiana na mashamba hayo….





