Author: Jamhuri
Wananchi Mtwara waishukuru Serikali kuboresha huduma za afya
Wananchi mkoani Mtwara wameishukuru Serikali kwa kuendelea kujenga na kuboresha miundombinu ya huduma za afya, hatua iliyowarahisishia upatikanaji wa huduma hizo bila kulazimika kusafiri umbali mrefu. Hayo yamejiri Agosti 12, 2026, katika siku ya tatu ya ziara ya kikazi ya…
Dk Biteko anogesha mashindano ya Ngalawa Tamasha la Kizimkazi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Naibu Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Bukombe, Mheshimiwa Dkt. Doto Mashaka Biteko amesema kuwa mashindano ya ngalawa race ni miongoni mwa matukio makubwa ya kiburudani yanayoipamba Kizimkazi Festival 2026. Mashindano hayo yamefanyika…
TRA Tanga yatoa mafunzo mabadiliko sheria za kodi kwa wafanyabiashara
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga Katika kuhakikisha wafanyabiashara wanakuwa na uelewa wa kutosha kuhusiana na mabadiliko ya sheria za kodi kwa mwaka 2026/2027, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoa wa Tanga, imetoa mafunzo kwa wafanyabiashara mkoani humo. Mafunzo hayo yametolewa…
Profesa Kabudi ahimiza matumizi sahihi ya alama za Taifa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi, amehimiza wananchi kuendelea kuzingatia matumizi sahihi ya alama za Taifa, hususan rangi na mwonekano wa Bendera ya Taifa,…
Rais Samia aogeza kasi matumizi ya nishati safi ya kupikia
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan inaendelea kuongeza kasi ya matumizi ya nishati safi ya kupikia nchini, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kulinda mazingira, kuhifadhi misitu,…
Rais Samia atambua mchango wa Wizara ya Nishati na taasisi zake kufanikisha mdahalo wa nishati safi ya kupikiau
Na Mwandishi Wetu, JamhiriMedia, Zanzibar Wizara ya Nishati pamoja na taasisi zake imetunukiwa tuzo ya kutambua mchango wake katika kufanikisha Mdahalo wa Nishati Safi ya Kupikia, uliofanyika Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar, Agosti 11, 2026. Tuzo hiyo imetolewa usiku…





