JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Kliniki ya biashara na viwanda kunufaisha zaidi ya wafanyabiashara 3,500 Arusha

Serikali imeendelea kuweka mazingira wezeshi kwa wajasiriamali na wafanyabiashara nchini, huku Kliniki ya Biashara na Viwanda inayoendelea jijiji Arusha ikitarajiwa kuwafikia zaidi ya wajasiriamali na wafanyabiashara 3,500 kutoka mikoa ya Kaskazini. Akizungumza jijini Arusha wakati wa kufungua rasmi kliniki hiyo,…

TMDA yatoa tahadhari uwepo chanjo bandia ya mifugo

Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) imeonya wananchi kuhusu uwepo wa chanjo bandia ya mifugo aina ya TMEVAC NDV Strain 1-2 inayosambazwa nchini. TMDA imesema chanjo hiyo haikuzalishwa na Tanzania Veterinary Laboratory Agency (TVLA), huku ikibainisha kuwa ina tofauti…

Tanzania yaimarisha ushirikiano na Mfumo wa Maendeleo wa OPEC

Mheshimiwa Balozi Dkt. Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, amemwakilisha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Deogratius John Ndejembi, katika mazungumzo na Rais wa Mfuko wa Maendeleo wa…

Rais Mstaafu Kikwete awataka wanaume kupima tezi dume mapema

Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, amewataka wanaume kujenga utamaduni wa kupima afya ya tezi dume mara kwa mara, akisema uchunguzi wa mapema huongeza uwezekano wa kupata matibabu kwa wakati kabla saratani haijasambaa. Dkt. Kikwete ametoa…

Serikali zaidi ya bil. 6/- kujenga daraja jipya la Luegu

Na Mwandishi Wetu ,Ruvuma, Serikali kupitia Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) imesaini mkataba wa ujenzi wa daraja la Luegu lenye urefu wa mita 40.8 na barabara za maungio kwa kiwango cha lami zenye urefu kilometa 2.125 katika barabara ya Naikesi-Kitanda…