Author: Jamhuri
Msigwa aeleza msimamo wa Serikali kuhusu mikutano ya hadhara
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma Suala la ulinzi ,amani na usalama wa taifa limeelezwa kuwa sababu kuu iliyosababisha Serikali kusitisha kwa muda mikutano ya hadhara nchini, huku ikisisitiza kuwa hatua hiyo ni ya muda na itafutwa mara tu vyombo vya dola…
Masauni: Muungano ni tunu ya taifa isiyopaswa kuchezewa
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Chalinze Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhandisi Hamad Masauni, amesisitiza umuhimu wa kuuenzi na kuuheshimu Muungano wa Tanzania, akieleza kuwa ni tunu ya taifa isiyopaswa kuchezewa. Masauni ameeleza, Muungano ndio…
TEA na UNICEF Watekeleza Mradi wa Zaidi ya Shilingi Bilioni 1 wa Ujenzi wa Vituo 10 vya Elimu ya Awali ya Ufundi
Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA), kwa kushirikiana na UNICEF, inaendelea kutekeleza mradi wa ujenzi wa vituo 10 vya Elimu ya Awali ya Ufundi (IPOSA) wenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni moja, kwa lengo la kuwapatia fursa ya mafunzo ya…
Waziri Mavunde aelekeza usimamizi thabiti wa sheria
-Ampongeza Rais Samia kwa kuwa kinara wa ushirikishwaji wa Watanzania migodini -Awataka Watanzania kuunganisha nguvu na kutoa huduma bora -Atoa angalizo kwa wawekezaji kutii sheria za nchi -Ununuzi wa bidhaa na huduma sasa wafikia Shilingi Trilioni 5.1 kwa mwaka MWANZA…
Polisi watakiwa kushirikiana na vikundi vya ulinzi
Polisi kata na watendaji wa kata zilizopo Wilayani Mpanda Mkoani Katavi wametakiwa kuratibu na kufanya doria za kutosha kwa kushirikiana na vikundi vya ulinzi shirikishi ili kudumisha amani, utulivu na usalama uliyopo Kwenye kata zao. Wito huo umetolewa Julai 22,…





