JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Serikali yaongeza kasi kuimarisha usalama barabarani

📌Yalenga kupunguza vifo kwa asilimia 50 ifikapo 2030 Wizara ya Ujenzi imesema inaendelea kutekeleza Mradi wa kuimarisha Usalama Barabarani kwa kushirikiana na Shirika la Ushirikiano wa Kimataifa la Japan (JICA), ukiwa na lengo la kuboresha miundombinu ya barabara, kuongeza usalama…

Balozi wa Tanzania UNESCO akutana na Waziri wa Japan kuimarisha ushirikiano wa urithi wa dunia

Busan, Korea Kusini – Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika UNESCO, Mhe. Saidi Yakubu, amekutana na Waziri wa Nchi wa Japan anayeshughulikia Mambo ya Nje, Mhe. Iwao Horii, pembezoni mwa Mkutano wa 48 wa…

Waziri Ndejembi :Vitongoji vyote Mtwara kufikishiwa umeme

📌Zaidi ya Bilioni 203 zatumika kufikisha Umeme kwenye Vijiji mkoani Mtwara Serikali kupitia Wizara ya Nishati imeahidi kutafuta fedha kuhakikisha Vitongoji vyote mkoani Mtwara vinafikishiwa umeme. Ahadi hiyo, imetolewa leo na Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi wakati wa hafla…

Vita vya Iran vimeigharimu Marekani dola bilioni 37.5 – Waziri wa ulinzi

Vita na Iran vimeigharimu Marekani takriban dola bilioni 37.5 (pauni bilioni 28) hadi sasa – ambalo ni ongezeko la karibu dola bilioni 8 tangu makadirio ya mwisho mwezi Mei, Waziri wa Ulinzi Pete Hegseth amesema. Hegseth aliiambia Kamati ya Matumizi…

Rais wa Ukraine amtimua Mkuu wa Jeshi, Oleksandr Syrskyi

Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, amemwondoa Mkuu wa Majeshi ya Ukraine, Oleksandr Syrskyi, kutoka wadhifa wake. Hatua hiyo imekuja siku chache tu baada ya kuondolewa kwa Waziri wa Ulinzi aliyekuwa maarufu, Mykhailo Fedorov, hatua iliyosababisha maandamano katika maeneo mbalimbali nchini…

Taasisi za umma zatakiwa kuachana na utendaji wa mazoea ili kufanikisha Dira 2050

Na Mwandishi wa OTR, Pwani Serikali imezitaka Taasisi, Mashirika ya Umma na Wakala za Serikali kuachana na utendaji wa mazoea na kujielekeza katika uongozi unaozingatia matokeo, ubunifu, uwajibikaji na ushirikiano wa karibu na sekta binafsi ili kuharakisha utekelezaji wa DIRA…