JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Mkurugejzi ORCI aridhishwa na kasi ya ujenzi wa kituo cha matibabu ya saratani BMH

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Saratani ya Ocean Road (ORCI) Dkt. Diwani Msemo, ametembelea Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) iliyopo jijini Dodoma kuangalia maendeleo ya ujenzi wa Kituo cha Umahiri cha Matibabu, Mafunzo na Tafiti…

Mfumo wa M+2 waimarisha uhakika wa mafuta nchini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mfumo wa kuagiza mafuta kwa ajili ya matumizi ya miezi miwili inayofuata umeiwezesha Tanzania kuendelea kuwa na bidhaa za mafuta za kutosha, licha ya vita na changamoto nyingine zinazoathiri soko la dunia. Hayo yameelezwa na…

Dk Simbeye: Tathmini ya mtaala ulioboreshwa ifungue ukurasa mpya wa ubora wa elimu

Na Mwandishi Wetu Serikali imesisitiza kuwa ubora wa walimu wanaoandaliwa katika vyuo vya ualimu ndio utakaoamua mustakabali wa elimu nchini katika miaka ijayo. Akifungua kikaokazi cha Wakuu wa Vyuo vya Ualimu vya Serikali na visivyo vya Serikali pamoja na Waratibu…

Pinda Apongeza TVLA kwa Kujenga Uwezo wa Ndani wa Kuzalisha Chanjo za Mifugo

Na Daudi Nyingo – Dodoma Waziri Mkuu mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mizengo Kayanza Peter Pinda ameipongeza Wakala ya Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA) kwa hatua ya kujenga uwezo wa ndani wa kuzalisha chanjo za mifugo, akisema…

Chande aihimiza FCC kuwafikia wananchi wengi zaidi kupitia Nanenane

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imewataka wakulima, wafugaji, wavuvi na wajasiriamali nchini kutumia elimu ya ushindani wa haki na ulinzi wa mlaji kama nyenzo ya kuongeza thamani ya bidhaa zao, kupanua masoko na kuchochea ukuaji wa uchumi wa taifa….

NMB yageuza Nanenane kuwa darasa la fursa, maarifa na uwezeshaji

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Benki ya NMB imeendelea kuifanya Nanenane 2026 kuwa zaidi ya maonesho ya kilimo kwa kuendesha kampeni ya utoaji wa elimu ya kifedha, ujasiriamali na usimamizi wa biashara kwa wananchi waliotembelea mabanda yake katika kanda mbalimbali…