Author: Jamhuri
Prof. Shemdoe : Chama cha Wazee Kisiwe cha harakati, ni hazina ya hekima na mshikamano katika jamii
Na OWM – TAMISEMI, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amekitaka Chama cha Wazee Wanaume Tanzania (CCWWT) kutokuwa chama cha harakati, bali kutumia nafasi yake katika…
Masauni atoa wito kusimamia agizo la usafi wa mazingira
Na; Mwandishi Wetu Dar es Salaam Serikali inatoa wito kwa Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri, Wenyeviti wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji kuhakikisha kuwa wanaweka utaratibu wa kusimamia utekelezaji wa maelekezo ya kila Jumamosi ya mwisho wa mwezi kuwa siku ya usafi wa…
Mageuzi ya elimu ni fursa kubwa kwa vijana
Serikali imeweka mkazo katika kutafuta suluhisho la changamoto ya wanafunzi kuacha shule, hususan wavulana, baada ya kubainika kuwa ongezeko la utoro linaweza kuwa kikwazo katika utekelezaji wa mageuzi ya elimu nchini. Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda,…
TANESCO yaboresha maisha ya wafanyakazi nyumba ya Mungu
📌 Nyumba za wafanyakazi zakarabatiwa, kuboresha utendaji wa kazi 📌 Mtambo wa kisasa wa kuchakata maji wazinduliwa 📍 MWANGA, KILIMANJARO | Septemba 2, 2026 Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limezindua na kukabidhi nyumba zilizokarabatiwa kwa wafanyakazi wa Kituo cha Kuzalisha…
Wakulima Babati wanufaika na programu ya kuendeleza kilimo na uvuvi (AFDP)
Na; Mwandishi wetu – Babati Wakulima wa vijiji vya Endakiso na Orng’adida vilivyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Babati Mkoani Manyara wameeleza kunufaika na Programu ya kuendeleza Kilimo na Uvuvi (AFDP) inayofadhiliwa na Shirika la Kimataifa la Maendeleo ya Kilimo…
Tanzania, Marekani kuiunganisha Afrika kwenye sekta ya afya
Na John Mapepele – WAF Washington, D.C. Serikali ya Tanzania imekubaliana na Chama cha Wafanyabiashara cha Marekani (U.S. Chamber of Commerce) mjini Washington, D.C na Serikali ya Marekani kufanya utekelezaji wa kimkakati wa mkataba wa sekta ya afya ulioingiwa hivi…





