JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Waziri Mkuu: Hatupaswi kupuuzia viashiria vya uvunjifu wa amani

WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka Watanzania waendelee kuhimizana kuhusu ulinzi wa Taifa na kamwe wasipuuze viashiria vya uvunjifu wa amani. “Tuendelee kuhimizana kuhusu suala la ulinzi wa Taifa letu. Ulinzi wa Taifa letu ni wa kila Mtanzania na amani…

Ushirikiano wa Tanzania, Urusi kufungua fursa mpya za biashara, elimu

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia Dodoma Ziara ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan nchini Urusi imeanza kuzaa matunda, huku Serikali ikieleza kuwa makubaliano yaliyofikiwa kati ya mataifa hayo mawili yatafungua ukurasa mpya wa ushirikiano katika sekta za nishati, kilimo, usafiri wa…

Msigwa awataka Watanzania kupuuza hofu ya kudaiwa deni la taifa

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imesisitiza kuwa mjadala kuhusu deni la Taifa unapaswa kuongozwa na uhalisia wa kiuchumi badala ya propaganda, ikieleza kuwa mikopo inayochukuliwa si mali ya mtu mmoja mmoja bali ni deni la Serikali linalowekezwa katika miradi…

Daraja la mawe la Kanyunye latoa suluhisho la kudumu

Newala, Mtwara ‎Kukamilika kwa mradi wa ujenzi wa daraja la mawe la Kanyunye na ufunguaji wa barabara yenye urefu wa kilomita 2.6 katika kijiji cha Kanyunye, wilayani Newala kumeleta suluhisho la kudumu la usafiri na usafirishaji wa mazao hususani zao…

Msajili Hazina aonya taasisi za umma zenye utendaji duni

SERIKALI imeonya taasisi za umma zinazofanya vibaya kujitathmini na kuchukua hatua za haraka za kuboresha utendaji wao, ikisisitiza kuwa haitavumilia taasisi zitakazoendelea kuonesha utendaji duni kwa muda mrefu. Onyo hilo lilitolewa na Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, jijini Dar…