JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Oryx Gas Yaunga Mkono Nishati Safi kwa Kugawa Mitungi 600 Bagamoyo

Na Mwandishi Wetu WAJASIRIAMALI 600 wakiwemo wafanyabiashara ya kukaanga samaki naMama lishe katika Jimbo la Bagamoyo mkoani Pwani wamepatiwa mitungi ya gesi ya kupikia ya Oryx lengo likiwa kuwawezesha kutumia nashati hiyo ili kuepukana na matumizi ya kuni na mkaa….

Wanafunzi Wahimizwa Kujikita katika Masomo ya Sayansi Kunufaika na Fursa za Scholarship za Serikali

Wanafunzi wa shule za sekondari nchini wamehimizwa kuwekeza zaidi katika masomo ya Sayansi, Teknolojia na Hisabati (STEM) ili waweze kunufaika na fursa mbalimbali za ufadhili wa masomo (scholarship) zinazotolewa na Serikali. Rai hiyo imetolewa Julai 23, 2026, na Naibu Katibu…

Kairuki aagiza TTCL kuongeza kasi ya kuunganisha wananchi kwenye uchumi wa kidijitali

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma Serikali imeliagiza Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) na taasisi zote zinazosimamia miundombinu ya mawasiliano kuongeza kasi ya kuwaunganisha wananchi, taasisi za Serikali na sekta binafsi kwenye Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano ili kuhakikisha Watanzania wengi zaidi…

TNCM yaidhinisha ombi la Tanzania ufadhili wa mzunguko wa nane mfuko wa dunia kwa kipindi cha 2027 -2029

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kamati ya Kitaifa ya Kuratibu na Kusimamia Fedha za Mfuko wa Dunia nchini Tanzania (Tanzania National Coordinating Mechanism – TNCM), imeidhinisha rasmi Ombi la Tanzania la Ufadhili wa Mzunguko wa Nane wa Mfuko…

Uhispania yatangaza hali ya dharura kufuatia moto wa nyika

Uhispania imetangaza hali ya dharura ya kitaifa mjini Madrid na mkoa wa Avila, karibu na mji mkuu, kufuatia milipuko kadhaa ya moto wa nyika inayoteketea bila kudhibitiwa. Uhispania imetangaza hali ya dharura ya kitaifa mjini Madrid na mkoa wa Avila,…

Iran na Marekani zazidi kutunishiana misuli

Marekani imeendelea kuishambulia Iran huku waasi wa Houthi nchini Yemen wakijiingiza katika vita hivyo kwa kuzishambulia meli za mafuta za Saudi Arabia katika Bahari ya Shamu, ambazo wanasema zilikiuka kizuizi cha majini Iran na Marekani zimetishiana hapo jana kuongeza mashambulizi…