Author: Jamhuri
Waziri Aweso aagiza milioni 508 zipelekwe mradi wa maji Gidas Babati
Na John Walter, Babati Waziri wa Maji, Jumaa Hamidu Aweso, ametembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa Mradi wa Maji wa Vijiji vya Endamagay na Gidaboshka, uliopo katika Jimbo la Babati Vijijini. Mradi huo wenye thamani ya Shilingi bilioni 1.099…
Dk Msonde: TBA ni kitovu cha fusa za uwekezaji kupitia miradi ya ubia ‘PPP’
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imewataka wawekezaji binafsi na taasisi mbalimbali nchini kutumia fursa zinazotolewa kupitia Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) kuwekeza katika ujenzi wa nyumba, majengo ya umma na makazi ya kisasa kupitia mfumo wa ubia kati ya…
Tanzania kunufaika na bilioni 10/- za biashara ya kaboni
Na Mwandishi Wetu, JmahuriMedia, Dar es Salaam Tanzania inatarajiwa kuingiza zaidi ya Sh bilioni 10 kutokana na mauzo ya biashara ya kaboni baada ya Serikali kuidhinisha miradi minne itakayouza tani milioni 4.2 za kaboni katika soko rasmi la kimataifa. Waziri…
Ridhiwani asisitiza umuhimu wa watumishi wa umma kupima afya mara kwa mara
Na Mwandishi Maalumu – Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete amewataka watumishi wa wizara hiyo kujenga utamaduni wa kupima afya zao mara kwa mara ili kujikinga na…
Waziri Kabudi: Kilosa iendelee kulinda amani, kuimarisha kilimo na ufugaji wa kisasa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kilosa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu,) Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi (Mb), amewataka wananchi wa Jimbo la Kilosa kuendelea kudumisha amani, utulivu na mshikamano, huku wakiepuka kujihusisha na vitendo…
Rais Museveni wa Uganda awasili nchini kwa ziara rasmi
Rais wa Jamhuri ya Uganda, Mheshimiwa Yoweri Kaguta Museveni, amewasili jijini Dar kwa ziara rasmi ya siku mbili kuanzia tarehe 5-6 Agosti 2026, kufuatia mwaliko wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan. Rais Museveni…





