JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Tanzania, Senegal zaimarisha ushirikiano wa sekta ya nishati

Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Nishati na Petroli wa Jamhuri ya Senegal, Mhe. Dkt. Elhadji Abdourahmane Diouf, kwa lengo la kuimarisha ushirikiano wa kimkakati kati ya Tanzania na Senegal katika maendeleo ya…

Tanzania, Uganda zatia saini makubaliano ya kuiendeleza Tanga kuwa kitovu cha nishati cha kikanda

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, na Rais wa Jamhuri ya Uganda, Mheshimiwa Yoweri Kaguta Museveni, wameshuhudia utiaji saini wa Hati ya Makubaliano ya kuiendeleza Tanga kuwa kitovu cha nishati cha kikanda. Hati hiyo…

Mkurugejzi ORCI aridhishwa na kasi ya ujenzi wa kituo cha matibabu ya saratani BMH

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Saratani ya Ocean Road (ORCI) Dkt. Diwani Msemo, ametembelea Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) iliyopo jijini Dodoma kuangalia maendeleo ya ujenzi wa Kituo cha Umahiri cha Matibabu, Mafunzo na Tafiti…

Mfumo wa M+2 waimarisha uhakika wa mafuta nchini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mfumo wa kuagiza mafuta kwa ajili ya matumizi ya miezi miwili inayofuata umeiwezesha Tanzania kuendelea kuwa na bidhaa za mafuta za kutosha, licha ya vita na changamoto nyingine zinazoathiri soko la dunia. Hayo yameelezwa na…

Dk Simbeye: Tathmini ya mtaala ulioboreshwa ifungue ukurasa mpya wa ubora wa elimu

Na Mwandishi Wetu Serikali imesisitiza kuwa ubora wa walimu wanaoandaliwa katika vyuo vya ualimu ndio utakaoamua mustakabali wa elimu nchini katika miaka ijayo. Akifungua kikaokazi cha Wakuu wa Vyuo vya Ualimu vya Serikali na visivyo vya Serikali pamoja na Waratibu…