Author: Jamhuri
MD Twange aeleza kutoridhishwa na kasi ya mkandarasi wa mradi wa Hale
📍Ni ule wa kuboresha kituo cha kufua umeme 📍Amuagiza kuongeza kasi ya utekelezaji wa Mradi huo Na Mwandishi Wetu, Korogwe, Tanga Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO Bw. Lazaro Twange ameeleza kutoridhishwa na kasi ya mkandarasi anayetekeleza mradi wa maboresho ya Kituo…
Serikali yaeleza mikakati ya kulinda watoto walio katika mazingira hatarishi
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Serikali imesema inaendelea kuweka na kutekeleza mikakati madhubuti ya kulinda watoto walio katika mazingira hatarishi nchini sambamba na kuwajengea uwezo wanawake wajasiriamali ili washiriki kikamilifu katika utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Akijibu maswali bungeni…
Tozo za bandarini maendeleo ni muhinu ili kuwa na bandari za kisasa – TASAA
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar 3s Salaam Umoja wa Mawakala wa Meli Tanzania (TASAA), umeeleza kuwa tozo ya Uendelezaji wa Miundombinu Mipya ya Bandari (PID) ni muhimu ili kujenga miundombinu itakayoifanya Tanzania kuwa miongoni mwa mataifa yenye bandari kubwa na…
Wizara ya viwanda na biashara yaomba bunge kuidhinisha bajeti ya shilingi bilioni 137.8 mwaka 2026/2027
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Wizara ya Viwanda na Biashara imeliomba Bunge kuidhinisha bajeti ya Shilingi bilioni 137.8 kwa mwaka wa fedha 2026/2027 kwa ajili ya kutekeleza majukumu mbalimbali ya maendeleo ya sekta ya viwanda na biashara nchini. Kati ya…
Kapinga: Operesheni zakamata mamia ya chupa za vifaa vya uzalishaji pombe bandia Dar
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma Wizara ya Viwanda na Biashara imeeleza kuendelea kwa mapambano dhidi ya bidhaa bandia nchini kupitia operesheni maalum zinazoendeshwa na Tume ya Ushindani (FCC), ambapo hadi Aprili 2026 jumla ya chupa 4,251 za pombe bandia zimekamatwa jijini…
TMA yatoa elimu ya hali ya hewa kwa wavuvi kupitia mradi wa ECOFISH
Mradi wa ECOFISH unaotekelezwa kwa ushirikiano kati ya Serikali ya Tanzania na Denmark kupitia Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) na Shirika la Denmark la Maendeleo ya Kimataifa (DANIDA), unaendelea kuboresha shughuli za uvuvi kwa jamii ya Pwani na…





