JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Wizara ya Afya yaelekeza mikakati mipya kuwafikia watoto

Na Mvuda Jaffer, WAF-Dar es Salaam Wizara ya Afya imezitaka Mikoa na Halmashauri nchini kuimarisha huduma za chanjo kwa kubuni mbinu mpya za kuwafikia watoto ambao hawajapata chanjo kabisa (zero-dose) au ambao hawajakamilisha ratiba za chanjo, ili kuongeza kinga dhidi…

CRDB Foundation yatoa zaidi ya milioni 400 kuibua vipaji Ndondo Cup 2026, bingwa kuvuna milioni 30 na safari ya AFCON

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar es Salaam CRDB Foundation imezindua rasmi msimu wa 13 wa mashindano ya mpira wa miguu ya iMbeju Ndondo Cup 2026 kwa kutenga zaidi ya shilingi milioni 400 kwa ajili ya uendeshaji wa mashindano hayo na zawadi…

JK aongoza GPE kupanua wigo wa elimu kwa watoto duniani

Rais Mstaafu Jakaya Dkt. Mrisho Kikwete, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Kimataifa inayoshughulikia Masuala ya Elimu Duniani (Global Partnership for Education – GPE), ameendelea kuwa kinara katika kuhamasisha jitihada za upatikanaji wa fedha za kugharamia elimu…

Kafulila aeleza namna ya ongezeko la watu linavyoathiri uchumi

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP-CENTRE), David Kafulila, amesema kasi kubwa ya ongezeko la watu nchini ni miongoni mwa changamoto zinazoathiri ukuaji wa uchumi na kiwango cha kipato cha mtu mmoja…

Maponga: Watanzania lindeni tunu ya amani yenu, epukeni vishawishi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMediaDar es Salaam Watanzania wameaswa kuwa makini na baadhi ya mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs), wanaharakati na wanasiasa wanaodaiwa kutumia fedha kutoka mataifa ya nje kuhamasisha vitendo vinavyoweza kuhatarisha amani, umoja na mshikamano wa taifa. Rai hiyo…