JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Tanzania kuwa na mkakati maalum wa mawasiliano wakati wa mlipuko wa magonjwa ya mifugo

Mkurugenzi Msaidizi wa Epidemiolojia na Magonjwa ya Mifugo Yanayovuka Mipaka (TADs) akitoa mchango wake katika majadiliano ya Warsha ya Uandaaji wa Rasimu ya Mkakati wa Kitaifa wa Mawasiliano Wakati wa Dharura kwa Huduma za Mifugo Tanzania, iliyofanyika leo Juni 1,…

EACOP na TotalEnergies wawajengea uwezo wanafunzi 200 kutambua fursa za sekta ya nishati

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Katika juhudi za kuhakikisha sekta ya nishati inachangia kikamilifu ukuaji wa uchumi wa taifa, Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) kwa kushirikiana na wanahisa wakuu wa mradi huo, TotalEnergies umeendelea kuwawezesha…

Wachambuzi wa kisiasa wawasihi vijana kuepuka makundi yanayodaiwa kuhujumu sekta ya utalii

Na Mwandishi Wetu,Jamhuri Media ,Dar es Salaam  Wachambuzi huru wa kisiasa wamewataka vijana kujiepusha na makundi yenye mienendo inayodaiwa kutokuwa na maslahi mema kwa taifa, wakisema kuwa baadhi ya vitendo vinavyofanywa kupitia mitandao ya kijamii vinaweza kuathiri sekta ya utalii na…

Marekani yaionya Iran

Marekani yaonya iko tayari kurejea vitani na Iran, huku Trump akisisitiza masharti makali ya makubaliano ya amani, wakati mazungumzo na mvutano Mashariki ya Kati ukiendelea kuongezeka. Marekani imesema iko tayari kurejea vitani na Iran ikiwa itahitajika, huku Rais wa Marekani,…

Skimu za umwagiliaji zinavyopeleka furaha kwa wakulima Mbarali

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbarali Wakulima wa zao la mpunga wilayani Mbarali Mkoa wa Mbeya wameiomba Serikali kuendelea na utekelezaji wa miradi 10 ya skimu za umwagiliaji inayotekelezwa wilayani humo, wakisema tayari imeanza kuleta matokeo chanya katika uzalishaji wa mazao….

Balozi wa Tanzania nchini Ufaransa ahimiza usawa wa kijinsia katika elimu ya juu

Paris, Ufaransa Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Ufaransa, Mheshimiwa Saidi Othman Yakubu, amekutana na ujumbe wa viongozi wanawake 18 kutoka Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) waliopo nchini Ufaransa kwa ziara ya kitaaluma ya kujenga uwezo na…