JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Ukraine: Diplomasia si kipaumbele kwa Urusi

Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelenskyy, amesema kuwa kama Urusi ingetaka kweli kumaliza vita, ingejikita katika diplomasia badala ya kujaribu kudhuru mitambo ya nyuklia ya Ukraine. “Iwapo Warusi wangekuwa na nia ya dhati ya kumaliza vita, wangejikita kwenye diplomasia, siyo mashambulizi…

Wafurahishwa na ufumbuzi wa kudumu mto Dehu Moshi Vijijini

Wananchi wa eneo la Kahe, Wilaya ya Moshi Vijijini, wameeleza furaha na shukrani zao baada ya changamoto ya muda mrefu ya mafuriko yaliyokuwa yakisababishwa na Mto Dehu kupatiwa ufumbuzi wa kudumu kupitia zoezi la kudabua mto huo. Kwa zaidi ya…

Watu 21 wafariki kwa ajali ya treni Uhispania

WATU 21 wamefariki dunia na wengine wapatao 30 wamejeruhiwa vibaya baada ya treni mbili kugongana kusini mwa Uhispania usiku wa Jumatatu (Januari 19). Waziri wa Usafirishaji wa Uhispania, Óscar Puente, amesema treni hizo za mwendokasi yaligongana majira ya saa moja…

Serikali itaendelea kushirikiana na viongozi wa dini – Mwigulu

*Asema lengo ni kujenga Taifa lenye hofu ya Mungu, upendo, haki na uwajibikaji WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 18, 2026 ameshiriki Ibada ya Jumapili katika Kanisa Kuu Anglikana la Roho Mtakatifu Dodoma na amesisitiza kwamba Serikali itaendelea kushirikiana na…

Mbarawa : Serikali yawekeza trilioni 10.08 katika miradi 22 ya ujenzi, maboresho ya bandari

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Ruvuma Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mnyaa Mbarawa, amesema Serikali ya Awamu ya Sita imewekeza zaidi ya shilingi trilioni 10.08 katika miradi 22 ya ujenzi, upanuzi na maboresho ya bandari kote nchini, ikiwa ni sehemu ya…