JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Serikali yaagiza DTC kuandaa mpango kazi wenye ushindani wa kimataifa

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Serikali imesema kuwa uanzishwaji wa Chuo cha Ufundi Dodoma (DTC) ni hatua madhubuti katika kujenga taifa lenye nguvu kazi bunifu, mahiri na yenye ushindani wa kimataifa, sambamba na utekelezaji wa Sera ya Elimu na Mafunzo ya 2014,…

Mama Kanumba ashauri iundwe Wizara ya Wanaume kunusuru ukatili dhidi yao

Na Theophilida Felician, JamhuriMedia, Dar es Salaam Balozi wa shirika la wanaume wanaopitia changamoto dhidi ya unyanyasaji katika ndoa nchini SHIWACHANDO, BI Frolence Mtagoa maarufu mama Kanumba ameiomba Serikali kuunda Wizara ya Wanaume ili kuwanusuru na changamoto mbalimbali za unyanyasaji…

Dkt. Homera afurahishwa RITA kuwajengea uwezo wadhamini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAZIRI wa Katiba na Sheria Dk Juma Honlmera amefurahishwa na mpango wa Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) kwa kuendelea kuwajengea uwezo wajumbe wa Bodi za Wadhamini kutoka taasisi mbalimbali ili kuepusha…

Madini yaanza kutekeleza maagizo ya Dk Samia

▪️Aelekeza Wizara kuweka mazingira ya Tanzania kuwa kitovu cha Biashara ya madini Afrika ‎▪️Watanzania kujengewa uwezo wa kimtaji kupitia mfuko wa dhamana ‎▪️Aelekeza Wataalam kukutana na Wazalishaji wa Makaa ya Mawe kutatua changamoto zao Na WM- Dodoma ‎Wizara ya Madini…

Tuongeze kasi na ukaribu zaidi na wananchi -Dk Gwajima

Na WMJJWM-Dodoma Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima ameelekeza watumishi wa Wizara hiyo kutekeleza na kuishi kauli mbiu ya “Kazi na Utu, Tunasonga Mbele” kupitia utoaji wa huduma kwa kasi zaidi, karibu…

Wakulima mwa korosho watakiwa kutumia fedha wanazopata vizuri

Na Mwandishi Wetu Wakulima wa zao la korosho Wilayani Tunduru,wametakiwa kutumia fedha wanazopata kwenye mauzo ya korosho kufanya maandalizi ya msimu ujao,kuboresha makazi yao na kufanya maandalizi ya watoto wao wanaotakiwa kwenda shule katika muhula wa masomo 2026. Mkuu wa…