JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Tanzania yashiriki Kongamano la Afya Duniani jijini Berlin

Ujumbe wa Tanzania ukiongozwa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Bw. Ismail Rumatila unashiriki Kongamano la Afya la Dunia linalofanyika kwa siku tatu jijini Berlin, Ujerumani kuanzia Oktoba 12 hadi 14, 2025. Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani. Mhe….

Shirima : Jamii ichukue tahadhari kabla ya majanga

Na Mwamvua Mwinyi, JakhuriMedia, Pwani Kwa lengo la kuielimisha jamii juu ya tahadhari dhidi ya majanga na namna ya kuyapunguza, Jeshi la Zimamoto na Uokoaji mkoa wa Pwani limeungana na Shirika la Msalaba Mwekundu kuadhimisha Siku ya Kupunguza Majanga Duniani,…

DC Temeke Sixtus Mapunda afungua kongamano la miaka 25 ya Pass Trust

Na Mwandishi Wetu,Jamhuri lMedia,Dar es Salaam Mkuu wa Wilaya ya Temeke Sixtus Mapunda ameipongeza Serikali kwa Miaka minne ameongeza bajeti ya kilimo kwa viwango kikubwa hadi kufikia Tsh 1.2 Trilion licha ya Kuwepo kwa Changamoto kubwaa ya uzalishaji pamoja na…

Othman Masoud aahidi kupitiwa upya fidia za wananchi ujenzi uwanja wa ndege Pemba

Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia chama cha ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman, ameahidi kuboresha na kuhakikisha haki za wananchi zinaheshimiwa katika utolewaji wa fidia kwa wale waliopoteza ardhi zao kwa ajili ya ujenzi wa uwanja wa ndege Pemba. Alizungumza hayo…

Wizara ya Nishati kivutio maonesho wiki ya chakula Tanga

*📌Ni kwenye kutoa elimu ya masuala ya Nishati Safi ya Kupikia 📌Wananchi wamejitokeza kwa wingi kujipatia majiko ya bei ya ruzuku ya shilingi 17,500/= Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga Ushiriki wa Wizara ya Nishati na taasisi zake (Wakala wa Nishati…