JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Tanzania, Comoro zaimarisha ushirikiano dhidi ya rushwa

MKURUGENZI Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Chrispin Chalamila amesema Tanzania na Comoro zitaendelea kushirikiana katika maeneo matano ikiwemo utawala bora. Chalamila amesema hayo Novemba 17, 2025 wakati alipotembelewa na ugeni kutoka nchini Comoro ulioongozwa na…

Tanzania yaibuka mshindi wa jumla maonesho ya wajasirimali wa Afrika Mashariki

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeibuka mshindi wa jumla kwenye maonesho ya 25 ya Wajasiliamali Wadogo na wa Kati wa Jumuiya ya Afrika Mashariki baada ya kampuni ya utengenezaji magari ya KAYPEE Motors kushinda kipengele cha mjasiliamali bora wa Afrika…

Amani ya kudumu haiwezi kupatikana bila maendeleo jumuishi na endelevu- Dkt. Nchimbi

Wito wa amani, usalama na maendeleo kama ilivyosadifu kaulimbiu ya Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Ukanda wa Maziwa Makuu (ICGLR), ulitawala kwenye hotuba za viongozi ikiwemo ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa…

Watanzania tuendelee kuliombea taifa lidumu katika amanin- Rais Samia

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan anaendelea kuwasisitiza Watanzania waendelee kuliombea Taifa ili amani, upendo, ustahimilivu na mshikamano viendelee kudumu nchini. Kauli hiyo imetolewa na Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo (Jumapili, Novemba 16,…