Author: Jamhuri
Miradi ya madini imeleta maendeleo Mara
🔸Zaidi ya Shilingi Bilioni 33.81 zatekeleza miradi ya maendeleo ya jamii MKOA wa Mara umeendelea kunufaika na uwekezaji wa Sekta ya Madini baada ya kutekeleza zaidi ya miradi 398 ya maendeleo yenye thamani ya Shilingi Bilioni 33.81 katika wilaya zote…
Serikali yalenga kuongeza mapato yasiyo ya kodi kutoka kwa Mashirika ya Umma
Na Mwandishi wa OMH, Dodoma Rais wa Tanzania Mhe. Dk. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali itafanya mageuzi ya mashirika ya umma ili kuboresha ufanisi, uwazi na tija. Akihutubia Bunge la Tanzania Ijumaa, Novemba 14,2025, Mhe. Rais alisema serikali inataka kuongeza…
Rais Samia : Tutaendelea kukuza sekta ya utalii tukilenga watalii milioni 8 ifikapo 2030
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali itaendelea kukuza Sekta ya Utalii ikilenga kufikia watalii wa ndani na wa nje milioni nane (8) ifikapo mwaka 2030. Ameyasema hayo…
Hotuba ya Rais Samia akifungua Bunge la 13 jijini Dodoma hii hapa
HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA SAMIA SULUHU HASSAN, WAKATI WA KUFUNGUA RASMI BUNGE LA 13 LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, DODOMA, TAREHE 14 NOVEMBA 2025 UTANGULIZI Mheshimiwa Spika; Naanza na wingi wa shukurani…





