Author: Jamhuri
Serikali yapongeza utekelezaji wa mradi wa EACOP
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Nishati, imeeleza kuridhishwa na hatua kubwa ya maendeleo zilizofikiwa katika ujenzi wa miundombinu ya mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP). Akizungumza wakati wa ziara ya…
Wizara yaahidi kutekeleza Mradi kwa Kukuza Usawa wa Kijinsi Tanzania- PAMOJA
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto imeahidi kutekeleza ushauri uliyotolewa na Benki ya Dunia (World Bank) katika utekelezaji wa Mradi wa Kukuza Usawa wa Kijinsia Tanzania- PAMOJA unaotekelezwa na Wizara hiyo kwa…
Masauni ataka kila Mtanzania awe mlinzi wa mazingira
*Kongamano la mazingira kushirikisha watu zaidi ya 1,000 Na Mwandishi Wetu RAIS Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye kilele cha siku ya mazingira duniani yatakayofanyika Juni 5 katika ukumbi wa Jakaya Kikwete mkoani Dodoma. Hayo yalisemwa jana jijini…
Marekani yatangaza vikwazo kwa wanaoisaidia Iran
Serikali ya Marekani imetangaza vikwazo dhidi ya watu watatu na makampuni tisa kwa kusaidia usafirishaji wa mafuta ya Iran kuelekea China. Kampuni nne zina makao yake Hong Kong na nne nyengine ziko katika Falme za Kiarabu kwa huku kampuni ya…
Tusiiache njia ya maridhiano
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Naandika makala hii nikiwa safarini kuelekea Kilimanjaro, kushiriki mazishi ya Baba Mzazi wa Ndugu yetu, kijana na rafiki yetu, Neville Meena, mzee Mwalimu Meena. Baba huyu ametutoka na Mungu amlaze mahala pema peponi….
Mfumo ufuatiliaji uchafuzi mazingira mbioni kukamilika
Na Mwandishi Wetu SERIKALI inakamilisha ufungaji wa mfumo wa kisasa wa ufuatiliaji wa uchafuzi wa mazingira utakaowezesha kufuatilia viwango vya uchafuzi kwa wakati na kuchukua hatua za haraka dhidi ya wanaokiuka Sheria. Hayo yalisemwa na Naibu Waziri Ofisi ya Makamu…





