Author: Jamhuri
Somo la hasira, siasa na hatima ya taifa
Na Bituro Kazeri, JamhuriMedia, Mwanza Hakuna tukio linaloibua maswali mengi kama kuukuta mtumbwi ufukweni ukiwa hauna wavuvi, huku samaki waliomo wakiwa wameoza. Watu hujiuliza; wenye mtumbwi wamezama? Wameukimbia? Au kuna jambo kubwa lililotokea nyuma yake? Ndivyo ilivyo kwa matukio ya…
DP World yatoa msaada ‘ambulance’ gari la wagonjwa kwa TPA Dar
DP World imetoa msaada wa gari la wagonjwa kwa Idara ya Zimamoto na Usalama ya Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania katika hafla ya makabidhiano iliyofanyika Bandari ya Dar es Salaam. Ambulance hiyo itasaidia kuimarisha huduma za dharura za matibabu…
Huduma za fistula zitolewe hadi ngazi ya jamii kufikia malengo ya 2030
Na Atley Kuni, WAF – Nkinga Tabora Wataalamu wa afya kutoka Wizara ya Afya pamoja na wadau wa mapambano dhidi ya fistula wamehimizwa kuimarisha huduma hadi ngazi ya jamii ili kuongeza kasi ya kutokomeza ugonjwa huo ifikapo mwaka 2030. Rai…
Makatibu Wakuu EAC wakamilisha maandalizi ya Mkutano Maalumu wa Baraza la Mawaziri
Makatibu Wakuu wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wanaosimamia masuala ya mtangamano wamekutana katika Makao Makuu ya Jumuiya hiyo jijini Arusha kwa ajili ya kukamilisha maandalizi ya Mkutano Maalumu wa 60 wa Baraza la Mawaziri la EAC…
Waziri Katambi aipa tano UNICEF kwa mchango wa ulinzi na ustawi wa watoto nchini
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Patrobas Katambi, amekutana na kufanya mazungumzo na mwakilishi wa Shirika la Kimataifa la Watoto Duniani (UNICEF), Bi. Elke Wisch, kuhusu kuimarisha ushirikiano katika masuala ya ulinzi na ustawi wa watoto nchini. Akizungumza…
Ridhiwani ashiriki ufunguzi mkutano wa Chama cha Waandishi Waendesha ofisi – TAPSEA Ngurdoto Arusha
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete amesema serikali itaendelea kuboresha maslahi ya watumishi wa umma nchini kadri bajeti itakavyoruhusu. Ridhiwani ameyasema hayo wakati akizungumza katika ufunguzi wa Mkutano wa 13…





