Author: Jamhuri
CCM, CPC na vyama vya ukombozi Afrika waimarisha ushirikiano wa maendeleo
CCM leo imekuwa mwenyeji wa mkutano kati ya Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) na Vyama Sita Rafiki vya Ukombozi Kusini mwa Afrika uliofanyika katika Shule ya Uongozi ya Mwalimu Julius Nyerere (MJNLS), Kibaha. Mkutano huo chini ya wenyeji wa…
Rais Samia akutana na Waziri wa Idara ya Kimataifa ya Chama cha Kikomunisti China
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Waziri wa Idara ya Kimataifa ya Chama cha Kikomunisti cha China Mhe. Liu Haixing pamoja na ujumbe wake, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 20 Mei,…
Tanzania yasisitiza ushirikiano kikanda kuongeza thamani ya almasi
Tanzania imesisitiza umuhimu wa ushirikiano wa Kikanda katika kuongeza thamani Madini ya Almasi, uwazi katika usimamizi wa rasilimali madini na kuimarisha mchango wa Sekta ya Madini katika maendeleo ya uchumi wa nchi wanachama Zinazozalisha Madini ya Almasi Afrika (ADPA). Hayo…
TANROADS yarejesha barabara zilizoathiriwa na mafuriko
Na Mwandishi Wetu, Dodoma WAKALA wa Barabara Tanzania (TANROADS) umeendelea kutekeleza kazi kubwa ya kurejesha miundombinu ya barabara na madaraja iliyoharibiwa na mvua za El-Nino pamoja na Kimbunga Hidaya, hatua iliyosaidia kurejesha mawasiliano na shughuli za kijamii na kiuchumi katika…
Chalamila awahidi Dar City milioni 50/- wakiitoa Petro de Luanda
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila ameahidi kutoa kitita cha shilingi milioni 50 kwa timu ya Basketball ya Dar City Club iwapo itaibuka na ushindi katika hatua ya robo fainali…
Waziri Mkuu aagiza mapitio ya mfumo wa mabaraza ya ardhi
▪️Asema migogoro ya ardhi inahitaji suluhisho la kudumu la kitaasisi ▪️Asisitiza mifumo ya utatuzi wa migogoro iimarishwe WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kuimarisha mifumo ya utatuzi wa migogoro ya ardhi nchini ili kuhakikisha wananchi wanapata haki kwa…





