Author: Jamhuri
Uwekezaji wa Serikali wafikia Sh92.3 trilioni
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Uwekezaji uliofanywa na serikali ndani na nje ya nchi umeongezeka kwa asilimia 7 hadi kufikia Sh92.29 trilioni Juni 30, 2025 kutoka Sh86.3 trilioni katika mwaka wa fedha 2023/24. Uwekezaji huu wa serikali unahusisha…
ACT Wazalendo kukomesha changamoto ya migogoro ya ardhi, yawaomba wananchi wakipe ridhaa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kigoma Chama cha ACT Wazalendo kimeahidi kukomesha changamoto ya migogoro ya ardhi endapo wananchi watakipa ridhaa ya kuongoza kwa kuchagua wabunge na madiwani wa chama hicho katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu. Akifafanua wakati wa…
ACT -Wazalendo Zanzibar yazindua ilani, yataja sera nne zitakazoinusuru Zanzibar
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha ACT Wazalendo ,Othman Masoud Othamn amezindua rasmi Ilani ya Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar kwa mwaka 2025 -2030 huku akihaidi kurejesha imani kwa Wazanzibar kwa kuweka mbele…
Kagera wahimizwa kujiepusha chokochoko zinazoweza kusababisha uvunjifu wa amani
Na Theophilida Felician, JamhuriMedia, Kagera Katika kuelekea kufanyika zoezi la uchaguzi mkuu mnamo Oktoba 29, 2025 wananchi mkoani Kagera na kwingineko nchini wameaswa kutokujihusisha na mambo yenye viashiria vya uvunjifu wa amani ili kuepukana na vurugu zinazoweza kuhatarisha usalama nchini….
Katibu Chadema Mwanza ajiunga CCM
Aliyekuwa Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Mkoa wa Mwanza, Boniphace Mkoaba ameamua kukihama chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM). Mkoba amepokelewa na Katibu Mkuu wa CCM, Dk Asha Rose Migiro mbele ya mgombea urais wa…