JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Taka tani 689, 144 huzalishwa kila mwezi, Serikali kuchukua hatua

Na Atley Kuni, WAF – Morogoro SERIKALI imezitaka mamlaka za miji, wataalamu, sekta binafsi na wananchi kuongeza juhudi katika usafi wa mazingira na udhibiti wa taka, baada ya kubainika kuwa Tanzania inazalisha jumla ya tani 689,144 za taka ngumu kila…

Mhe. Luswetula awasili Kenya kushiriki Mkutano wa Ufadhili Sekta ya Afya

Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Laurent Luswetula (Mb), akizungumza na wajumbe kutoka Tanzania watakaoshiriki Jukwaa la Mazungumzo ya Ngazi za Juu la Mawaziri wa Fedha kuhusu kuimarisha uwekezaji wa pamoja katika Sekta ya Afya, alipowasili jijini Nairobi, Kenya. ******************* Na….

Kliniki ya Viwango Yarahisisha Usajili wa Bidhaa kwa Wafanyabiashara Kariakoo na Mwenge

NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limeendelea kusogeza huduma na elimu kuhusu viwango, ubora na usalama wa bidhaa karibu na wananchi kupitia Kliniki ya Viwango, hatua inayolenga kurahisisha upatikanaji wa huduma hizo na kuwawezesha wafanyabiashara…

Aweso Cup, jukwa la kukuza vipaji na uwekezaji Pangani

Na Dk Reuben Lumbagala Michezo ni sekta muhimu inayotoa ajira kwa vijana wengi duniani. Kutokana na hilo, mipango madhubuti huwekwa ili kuhakikisha vijana wanapata ajira kupitia michezo na kuchangia maendeleo ya nchi. Tanzania si kisiwa. Kwa namna michezo ilivyobadili hali…

Daraja la Chigongwe laondoa kero ya usafiri kwa wananchi Dodoma

*Wananchi watakiwa kulinda daraja‎‎Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma‎‎Wananchi wa maeneo ya Chigongwe, Ngambala na Nguji kata ya Chigongwe wilayani Dodoma wameondokana na changamoto ya kukatika kwa mawasiliano wakati wa mvua baada ya kukamilika kwa ujenzi wa daraja la Chigongwe lenye…