Author: Jamhuri
Tanzania yakaribisha wawekezaji na taasisi za fedha za kimataifa kuwekeza sekta ya nishati
Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Ufaransa, Mhe. Saidi Othman Yakubu, amewakaribisha wawekezaji na taasisi za fedha za kimataifa kutumia fursa pana za uwekezaji zinazopatikana nchini Tanzania, hususan katika sekta za nishati, miundombinu na uzalishaji viwandani. Mhe. Balozi…
Kuuza au kununua umeme kutaongeza mapato ya taifa na kuimarisha usalama wa nishati nchini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Mikutano ya 67 ya Jumuiya ya Umeme ya Kusini mwa Afrika (SAPP) inayofanyika Zanzibar imefungua fursa mpya kwa Tanzania kuimarisha nafasi yake kama kitovu cha biashara ya umeme katika ukanda wa Kusini mwa Afrika, huku…
OTR kuongeza kasi ya mageuzi ili kukuza tija ya uwekezaji
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Ofisi ya Msajili wa Hazina (OTR) imejizatiti kuongeza kasi ya mageuzi ya kitaasisi na kifedha yanayolenga kukuza Mapato yasiyo ya kodi (NTR), kuimarisha uendelevu wa kifedha wa taasisi za umma na kuhakikisha uwekezaji…
Ulega: Pwani kituo cha vifaa vya dharura wakati wa mvua za El Nino
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, PwaniSeptemba 9, 2026 WAZIRI wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amesema Mkoa wa Pwani umewekwa kuwa kituo kikuu cha kuhifadhi vifaa vya dharura vitakavyotumika kukabiliana na athari za mvua za El Nino. Amebainisha vituo vingine vimewekwa katika Kanda…
Rashal yaharakisha ujenzi wa Bomba la Gesi Kisemvule – Mbagala
*Mradi wa kilomita 22 walenga kukamilika Januari 2027, *Kuunganisha viwanda na kuimarisha mtandao wa CNG Dar Na Mwandishi Wetu UJENZI wa bomba la gesi asilia lenye urefu wa kilomita 22 kutoka Kisemvule hadi Mbagala umeingia hatua muhimu, huku kampuni ya…





