JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

NMB yaibuka Superbrand Afrika Mashariki 2026–2028

Benki ya NMB imetunukiwa cheti cha hadhi ya Superbrand Afrika Mashariki kwa kipindi cha 2026–2028 baada ya kupata kura nyingi zaidi za watumiaji katika kundi la benki, kwa mujibu wa Baraza la Superbrands. Utambuzi huo umetokana na tathmini iliyohusisha Baraza…

Shirika la AAWORD latoa mafunzo ya ujasiriamali kwa wanafunzi sekondari Keko

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia Shirika la AAWORD limewapatia mafunzo zaidi ya wanafunzi 100 wa Shule ya Sekondari Keko, kuhusu namna ya kurejesha taka ngumu na kuzibadilisha kuwa bidhaa zenye thamani. Akizungumza kuhusu mafunzo hayo,Mratibu wa Vijana wa Shirika la Active…

Wadau wa mnyororo wa uchukuzi na usafirishaji wakutana

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amewataka wadau wa mnyororo wa uchukuzi na usafirishaji mizigo kushirikiana kutafuta suluhisho la muda mrefu la changamoto zinazoikabili sekta hiyo, ikiwamo foleni za malori,…

Milioni 263 kijijini Makunda kuzalisha ajira mpya 60 kwa vijana

Na Byarugaba Innocent OR-MV Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Maendeleo ya Vijana Mhe.Joel Arthur Nanauka Agosti,2026 ameendelea kuchanja mbuga kuwafikia Vijana wa Kitanzania safari hii akitia nanga katika Kijiji cha Makunda,Mkoani Singida ambapo amewakabidhi Mitambo mitatu yenye thamani ya…

Waziri Mavunde aingilia kati changamoto ya umeme Mirerani

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Mirerani WAZIRI wa Madini Anthony Peter Mavunde ameingilia kati changamoto ya bei kubwa ya ankara ya matumizi ya nishati ya umeme kwenye machimbo ya madini ya Tanzanite mji mdogo wa Mirerani Wilayani wilayani Simanjiro Mkoani Manyara….

Baba Revo awataka Watanzania kujiunga na mfuko ya uwekezaji wa Zan Securities

Na Francisco Peter, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mbunge wa Kigoma Mjini, Mhe. Clayton Revocatus Chipando maarufu ka Baba Revo ameingia makubaliano ya kutiliana saini na Mfuko wa Uwekezaji uitwao Zan Securities ambao umetajwa kuja kutoa fursa kwa Watanzania. Akizungumza Jijini…