Author: Jamhuri
‘Zanzibar haitafikia maendeleo ya kweli bila Baraza imara la Wawakilishi ‘
Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Taifa, Othman Masoud Othman, amesema Zanzibar haitofikia maendeleo ya kweli pasi na kuwepo Baraza makini la Wawakilishi, linalosimamia maslahi ya Umma na matakwa ya Wananchi. Amesema Zanzibar katu haitonyooka hadi kuwepo na Baraza madhubuti…
Watanzania 173 waliokuwa wakiishi Afrika Kusini warejea nyumbani
Watanzania 173 waliokuwa wakiishi katika Jimbo la KwaZulu-Natal, Afrika Kusini, wamewasili nchini baada ya kuamua kurejea nyumbani kwa hiari yao. Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetoa ndege maalum kwa ajili ya kuwawezesha raia hao kurejea nchini. Zoezi la…
Ndejembi arithi mikoba ya Makamu wa Rais, Dk Nchimbi afukuzwa uanachama
Deogratius Ndejembi amechaguliwa kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania katika kikao Maalum cha Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM . Ndejembi anachukua mikoba ya aliyekuwa Makamu wa Rais Dk Emmanuel Nchimbi ambaye amejiudhuru nafasi hiyo. Katika kikao…
Dk Samia aongoza Kamati Kuu Maalum na Halmashauri Kuu ya CCM Taifa leo jijini Dar es Salaam
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, aongoza Vikao Maalum vya Kamati Kuu ya CCM na Halmashauri Kuu ya CCM Vilivyoketi jijini Dar es Salaam leo, Jumatano tarehe 26…
Tunamhitaji Makamu wa Rais atakayeunganisha nchi
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Jana, Agosti 25, 2026, ilikuwa siku iliyozalisha mshituko mkubwa katika taifa letu. Mshituko huo ulitokana na taarifa ya kujiuzulu kwa Makamu wa Rais, Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi, ambaye amesema ataondoka rasmi madarakani Septemba…
Ofisi ya Msajili wa Hazina kuimarisha ushirikiano na taasisi za umma za China
Dar es Salaam Ofisi ya Msajili wa Hazina (OTR) iko katika hatua za mwisho za kukamilisha hati mbili za makubaliano ya Ushirikiano (MoU) na Tume ya Usimamizi wa Mali za Serikali za China (SASAC) pamoja na Jumuiya ya China ya…





