JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Bilioni kulipa fidia kwa waathirika 996 kupisha ujenzi wa barabara za lami Rungwa

Ruangwa, Lindi Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imetenga kiasi cha shilingi bilioni 1.8 kwa kwa ajili ya kuwalipa fidia wananchi 996 ambao maeneo yao yameathiriwa na mradi wa ujenzi…

VETA kuendelea kugharamia ada wanafunzi wenye ulemavu

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imesema itaendelea kugharamia ada kwa wanafunzi wenye ulemavu wanaojiunga na vyuo vyake nchini, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuhakikisha kundi hilo linapata fursa sawa ya…

Mfuko wa Taifa wa Maji watakiwa kutafuta vyanzo mbadala vya fedha

Mfuko wa Taifa wa Maji (NWF) umetakiwa kutumia ubunifu kupata vyanzo mbadala vya fedha kufanikisha utekelezaji wa miradi ya maji nchini. Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso (Mb) katika kikao kazi na watumishi wa NWF jijini Dodoma leo Septemba 4,…

Wananchi waiomba TARURA, TANROADS kuchukua hatua kwa kuboresha miundombinu korofi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Songea Wananchi mkoani Ruvuma wameiomba serikali kupitia Wakala wa Barabara vijijini na Mijini (TARURA) na Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) kuona umuhimu wa kuchukua hatua za kuboresha miundombinu ya barabara ikiwa ni pamoja na kusafisha mifereji…

Akamatwa akiiba umeme Mkuranga

Na Dickson Bilikwija , JamhuriMedia, Pwani TIMU ya ukaguzi ya Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) imemkamata mteja mmoja kwa tuhuma za kufanya uunganishaji haramu wa umeme katika eneo la Kilungule-Camp, Mtaa wa Kaikai, Wilaya ya Mkuranga, Mkoa wa Pwani. Tukio…

Mradi wa umeme Mpovu -GGM kuimarisha upatikanaji umeme, kuchochea shughuli za kiuchumi Geita – Salome

šŸ“Œ Kukamilika kwa njia mpya kutatoa fursa kwa njia ya awali kuendelea kunufaisha wananchi wa mkoa wa Geita na kuchochea shughuli za kiuchumi. šŸ“Œ Serikali yawekeza takribani Shilingi bilioni 63.19 kuutekeleza Serikali kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) inaendelea kuimarisha…