Author: Jamhuri
Nyongo asisitiza ushirikiano kutatua migogoro ya ardhi, kuinua uwekezaji Pwani
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani MKUU wa Mkoa wa Pwani, Stanslaus Nyongo, amesisitiza ushirikiano na viongozi na watendaji katika kutatua changamoto mbalimbali, ikiwemo migogoro ya ardhi, kwa kuzingatia haki, taratibu, kanuni na sheria ili kupata suluhu za kudumu. Nyongo amesema…
JKCI, King Salman wafanikisha upasuaji wa moyo kwa Watoto 16
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Watoto 16 wenye magonjwa ya moyo wamefanyiwa upasuaji wa moyo katika kambi maalumu inayoendeshwa na wataalamu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na wenzao kutoka Kituo cha King Salman Humanitarian…
Asasi za kiraia zajipanga kuongeza nguvu utekelezaji Mpango wa Taifa wa Wanawake, Amani na Usalama
Asasi za kiraia na wadau mbalimbali wanakutana kwa ajili ya Jukwaa la Ushirikishwaji wa Asasi za Kiraia Tanzania kuhusu Ajenda ya Wanawake, Amani na Usalama (WPS), lenye kaulimbiu “Kuimarisha Hatua Zilizoratibiwa za Asasi za Kiraia katika Kusaidia Utekelezaji wa Mpango wa Taifa…
PAWO yasisitiza ushiriki wa wanawake katika amani na usalama
DAR ES SALAAM KATIBU Mkuu wa Shirika la Wanawake la Kiafrika (PAWO), Dkt. Grace Kabayo, ameitaka jamii kuhakikisha wanawake wanashirikishwa kikamilifu katika maamuzi yanayohusu amani, usalama na maendeleo, akisisitiza kuwa wanawake si waathirika wa migogoro pekee bali ni viongozi na…





