Author: Jamhuri
Tanzania yaweka mkazo utabiri wa hali ya hewa unaolenga hatua
Na Stella Aron, JamhuriMedia Serikali imeanza kuimarisha matumizi ya taarifa za hali ya hewa kwa kuweka mkazo katika utabiri unaolenga hatua, unaolenga kuwasaidia wananchi na wadau kutafsiri taarifa za hali ya hewa na kuchukua hatua mapema kabla ya kutokea kwa…
TBS, Halmashauri za Njombe zaazimia Kuimarisha Udhibiti wa bidhaa
KATIBU Tawala Msaidizi Uchumi na Uzalishaji wa Mkoa wa Njombe, Gumbo Mvanda, amesisitiza kuimarishwa kwa ushirikiano kati ya Shirika la Viwango Tanzania (TBS) na Halmashauri za mkoa huo katika kudhibiti ubora na usalama wa chakula na vipodozi kwa ajili ya…
Sangu aitaka TALGWU kujenga umoja kupitia Uchaguzi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Clement Sangu, amekitaka Chama cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa Tanzania (TALGWU) kuendesha uchaguzi wake kwa kuzingatia Katiba, demokrasia, uwazi, haki,…
Madaktari bingwa wa Apollo, Muhimbili, Benjamin Mkapa na MOI wawasili Arusha
*Watatoa matibabu mbalimbali ya kibingwa *Itafanyika katika hospitali ya JKCI-ALMC kuanzia tarehe 21 Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Hospitali ya JKCI–ALMC Arusha (Selian ya Mjini) imeandaa Kambi Maalum ya Matibabu ya Kibingwa itakayofanyika kuanzia Septemba 21 hadi 24, 2026, ikiwakutanisha…





