Author: Jamhuri
Prof. Mwegoha: Sekta binafsi nguzo muhimu katika kukabiliana na changamoto ya ajira
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma CHUO Kikuu cha Mzumbe kimesema mafanikio ya utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 yatategemea kwa kiwango kikubwa ushiriki wa sekta binafsi, hususan katika kuzalisha ajira, kuvutia mitaji na kuharakisha ukuaji wa uchumi wa…
Madiwani Katavi wahidi kulinda miundombini ya umeme
Madiwani wa Halmashauri Madiwani Manispaa ya Mpanda na Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo Mkoani Katavi wamesema kwa kushirikiana na Wananchi, watahakikisha wanailinda miundombinu ya Shirika la Umeme Tanzania TANESCO iliyopo Mkoani Katavi kwa nguvu zote ili kuhakikisha wananchi wanapata huduma…
Ndejembi: Bei ya mafuta kuanza kushuka Julai
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi amesema Watanzania wataanza kushuhudia kushuka kwa bei za mafuta kuanzia mwezi Julai mwaka huu kufuatia kuanza kushuka kwa bei ya mafuta ghafi katika soko la dunia baada ya kusitishwa kwa mapigano ya Mashariki ya…
Kafulila: Elimu ijikite katika umahiri na uzalishaji
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPPC), David Kafulila amesema Tanzania haiwezi kufikia malengo ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 kwa kutegemea kodi na mikopo pekee,…
Baja : Hospitali Benjamin Mkapa yashika nafasi ya kwanza kwa ubora wa utoaji huduma
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Kaimu Mkugenzi wa Hospitali ya Benjamin Mkapa, Dkt. Abdallah Baja, amesema kuwa hospitali hiyo ni kituo muhimu cha mafunzo kwa wanafunzi wa fani mbalimbali za afya kutoka Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) na vyuo vingine…
DC Temeke awataka wadau kushirikiana na FCC mapambano bidhaa bandia
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Sixtus Mapunda, ameitaka jamii na wadaumbalimbali kushirikiana na Tume ya Ushindani Tanzania (FCC) katikamapambano dhidi ya bidhaa bandia ili kulinda afya za wananchi nauchumi wa taifa. Mapunda alitoa wito huo wakati…





