Author: Jamhuri
Tume yasisitiza elimu ya ushirikishwaji wa Watanzania sekta ya madini na utekelezaji wa CSR
*Ajira za Migodini Zafikia 19,874, Watanzania Wafanya Kazi kwa Asilimia 97.5 Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, Mhandisi Ramadhani Lwamo, ametoa wito kwa Waratibu wa Ushirikishwaji wa Watanzania katika Sekta ya Madini (Local…
DC Mpogolo: Viongozi S/Mitaa ni watu muhimu katika usimamizi wa huduma za umeme
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam VIONGOZI wa Serikali za Mitaa wametajwa kuwa watu muhimu katika kusimamia miundo mbinu ya umeme kutokana na ukaribu wao na wananchi na nafasi yao katika kuratibu taarifa za huduma katika maeneo yao. Akizungumza…
Ushirikiano wa Serikali na TPC umezaa matunda makubwa Katika miaka 20
Na Mwandishi wa OMH, Moshi Ushirikiano kati ya Serikali ya Tanzania na wawekezaji binafsi katika kiwanda cha Sukari—TPC Limited umepelekea mafanikio makubwa katika kipindi cha miaka 20 iliyopita, na kuifanya kampuni hiyo kuwa miongoni mwa wazalishaji wakuu katika sekta ya…
DC Maiga azindua mradi wa mahema unaotekelezwa na TCCIA kwa ushirikiano na AGRA
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMediaDar es Salaam Mkuu wa Wilaya ya Misenyi Hamisi Maiga, amezindua rasmi mahema maalumu ya kuboresha mazingira ya biashara kwa vijana na wanawake katika mpaka wa Mutukula, mkoani Kagera. Mradi huo unatekelezwa na TCCIA kwa ushirikiano na AGRA,…
Waziri Ndejembi akabidhiwa ofisi na aliyekuwa Waziri wa Nishati Dk Biteko
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi leo 20 Novemba, 2025 amekabidhiwa rasmi ofisi na aliyekuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mheshimiwa Dkt. Doto Mashaka Biteko kwenye ofisi za Wizara zilizoko mtumba mkoani Dodoma, na kumshukuru Mhe. Biteko kwa…





