JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

AviaDev Afrika 2025; Mafanikio makubwa usafiri wa anga, utalii

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Mkutano wa hivi karibuni wa AviaDev Africa 2025, umekuwa mkutano wenye mafanikio makubwa katika sekta ya usafiri wa anga. Mkutano huo uliosimamiwa na Kampuni ya Showtime ya Zanzibar, ulileta pamoja zaidi ya washiriki 500, ikiwa…

Maafisa elimu kata 346 Pwani na Morogoro wapatiwa mafunzo ya utawala Bora wa elimu

Na Mwamvua Mwinyi, Pwani Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Dkt. Wilson Mahera, amefunga awamu ya kwanza ya mafunzo ya Utawala Bora wa Elimu kwa Maafisa Elimu Kata 346 kutoka mikoa ya Pwani na Morogoro, yaliyofanyika…

Tanzania yaunga mkono azimio Juni 27 kuwa siku ya kimataifa ya viziwi na wasioona

Na WMJJWM-New York Tanzania imeunga mkono Azimio la Umoja wa Mataifa Namba A/79/L.92 la kutambua Juni 27 kuwa Siku ya Kimataifa ya Viziwi Wasioona. Akizungumza katika Mkutano wa pembeni uliofanyika tarehe 12 Juni, 2025 Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo…

Aliyekuwa DED Uvinza na wenzake watano wafikishwa mahakamani kwa rushwa

Katika Mahakama ya Wilaya Uvinza Juni 12, 2025 limefunguliwa shauri la jinai ECO.14247/2025 mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Wilaya ya Uvinza John Mtega (RM), Jamhuri dhidi ya aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza Zainabu Suleiman…

Mgalu akabidhi gari UWT Bagamoyo kuboresha usafiri wa kazi za chama

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Bagamoyo Mbunge wa viti maalum Mkoani Pwani, Subira Mgalu, amemkabidhi Mwenyekiti wa UWT Taifa,Mery Chatanda gari aina ya Noah kwa ajili ya Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT)Bagamoyo ikiwa ni jitihada za kuimarisha utendaji kazi…

DC Kanal Kolombo azindua mnada wa ufuta na kuonya utoroshaji wa mazao

Na Mwamvua Mwinyi, JakhuriMedia, Kibiti Mkuu wa Wilaya ya Kibiti, Kanali Joseph Kolombo, ametoa onyo kwa baadhi ya watu wanaojihusisha na utoroshaji wa mazao na kusema ni ukiukaji wa sheria unaodidimiza maendeleo ya Wilaya na Mkoa. Kolombo ameeleza hayo Juni…