Author: Jamhuri
Wasichana wa shule 11 Mafia wanufaika na taulo za kike kutoka TEEMO
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Mafia Jumla ya seti 2,408 za taulo mbadala za kike (Reusable Pads) zimetolewa kwa wanafunzi wa kike katika shule 11 za sekondari Wilaya ya Mafia kupitia awamu ya pili ya mradi wa “Wezesha Wasichana – Tabasamu…
Tusijipime ubavu na Wamarekani, tuzungumze
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kuna msemo wa Kiswahili unaosema, “Ukiona simba anakuangalia, usianze kupambana naye kwa hasira; kwanza jiulize kwa nini amesimama mbele yako.” Leo Tanzania imejikuta katika hali ambayo Seneti ya Marekani imewasilisha muswada unaopendekeza mapitio…
Serikali kushirikiana na taasisi za dini kuimarisha maadili
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Manyara Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano Mhe. Deus Sangu amesema Serikali itaendelea kushirikiana na Taasisi za Dini nchini kuimarisha maadili kwa jamii na kukuza maemdeleo. Mhe. Sangu amesema hayo…
Dk Jafo awapambania maafisa maendeleo ya jamii nchini
MBUNGE wa Kisarawe, Dkt. Selemani Jafo, ameitaka Serikali kuboresha mazingira ya kazi kwa Maafisa Maendeleo ya Jamii nchini ikiwemo kuwapatia magari ili waweze kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi zaidi. Akichangia hotuba ya Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na…
Tanzania kuwa na mkakati maalum wa mawasiliano wakati wa mlipuko wa magonjwa ya mifugo
Mkurugenzi Msaidizi wa Epidemiolojia na Magonjwa ya Mifugo Yanayovuka Mipaka (TADs) akitoa mchango wake katika majadiliano ya Warsha ya Uandaaji wa Rasimu ya Mkakati wa Kitaifa wa Mawasiliano Wakati wa Dharura kwa Huduma za Mifugo Tanzania, iliyofanyika leo Juni 1,…





