Author: Jamhuri
Wadau wavutiwa elimu ya vipimo maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Wadau mbalimbali waliotembelea Banda la Wakala wa Vipimo (WMA) katika siku ya kwanza ya Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma, Juni 16, 2026 wamekiri kuvutiwa na elimu inayotolewa na timu ya wataalamu kuhusu matumizi…
Vullu aitaka jamii kutenga muda kwa watoto badala ya kuendekeza ‘ubusy’
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Mwenyekiti wa UWT Mkoa wa Pwani, Zainab Vullu, amewasihi wazazi na walezi kuimarisha malezi ya watoto kwa kuwajenga katika misingi ya maadili, hususan watoto wa kiume ambao kwa sasa wanakabiliwa na hatari zinazotokana na mazingira…
Wadau: Afrika inapaswa kujitegemea katika chakula
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mabadiliko yanayoendelea kufanyika katika mpango wa Marekani wa Food for Peace yameibua mjadala muhimu ambao Afrika haiwezi tena kuupuuza: utegemezi wa muda mrefu wa misaada ya chakula kutoka nje ya bara. Kwa zaidi…
Waziri Nanauka kuja na Baraza la Taifa la Vijana shirikishi
Na Mwandishi Wetu Ofisi ya Rais Maendeleo ya Vijana imeendelea na uratibu wa kukusanya maoni kwa wadau ili kuunda Baraza la Vijana la Taifa ambalo ni Shirikishi ambapo awamu hii wawakikishi kutoka kwenye jumuiya za umoja wa Vijana za vyama…
Tanzania, Canada kushirikiana kwenye utafiti wa kina wa madini nchini
▪️Serikali ya Canada yavutiwa na MINING VISION 2030 ▪️Utafiti kugusa mikoa ya Kanda ya Ziwa na Kaskazini ya Tanzania ▪️Waziri Mavunde awaelekeza GST kuainisha maeneo ya kimkakati ▪️Tafiti za kina za madini kuondoa uchimbaji wa kubahatisha ▪️Tanzania yajipanga kufikisha eneo…
Waziri Kombo awasilisha ujumbe wa Rais Samia kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mahmoud Thabit Kombo (Mb), amewasilisha ujumbe maalum wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa…





