Author: Jamhuri
Maafisa 84 na askari 48 wa TAWA watunukiwa vyeo vya uhifadhi
Na Beatus Maganja, JamhuriMedia, Morogoro Kaimu Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA), Mlage Yussuf Kabange, Januari 07, 2026 aliwatunuku na kuwavisha vyeo vya uhifadhi Maafisa 84 na Askari 48 wa taasisi hiyo, katika hafla iliyofanyika…
Polisi kufanya uchunguzi wa matukio matatu ya vifo
Jeshi la Polisi linafanya uchunguzi wa matukio matatu ya vifo vilivyotokea kwa nyakati tofauti Tarime/Rorya, Jijini Arusha na Rufiji. Tukio la kwanza ni la kifo cha Dickson Tadeus Joseph, mkazi wa Rebu Senta Wilayani Tarime kilichotokea tarehe 1.1.2025 huko katika…
Kiteto wajiandaa kupokea mpango wa bima ya afya kwa wote
Na Mwandishi Wetu, Kiteto Kishindo kimeanza tayari kwa mapokeo na utayari wa Wilaya ya Kiteto katika mpango wa Bima ya Afya kwa Wote kufuatia Kikao Maalum cha Kamati ya Afya ya Msingi (PHC) ngazi ya Wilaya kilichoketi Mjini Kibaya (Kiteto)…
TANAPA yafanya makubwa Zanzibar, Makamu wa Pili apongeza juhudi zake
Na Jacob Kasiri, Zanzibar Makamu wa Pili wa Rais katika Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla amelipongeza na kusema kuwa Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) limepiga hatua makubwa kuja kushiriki maonesho hayo ya kimataifa ya biashara…
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar afungua Maonyesho ya 12 ya Kimataifa ya Biashara ya Zanzibar
Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Mheshimiwa Hemed Suleiman Abdulla,amefungua rasmi Maonyesho ya Biashara ya Kimataifa ya 62 ya Zanzibar yanayiendelea katika viunga vya maonyesho vya Nyamanzi, Fumba mjini Unguja. Akizungumza wakati wa ufunguzi wa…
Raia wa China mbaroni kwa tuhuma za kukutwa na fedha haramu zaidi ya bilioni 2/-
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar es Salaam Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Kinondoni imefanikiwa kukamata raia wa China wakiwa na fedha haramu zaidi ya Shilingi bilioni mbili, katika operesheni maalum iliyohusisha vyombo mbalimbali vya uchunguzi. Akizungumza…





