JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Makonda: Samia amefanya makubwa

Na Mwandishi Wetu, Jamhuri Media, Arusha Mgombea ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Paul Makonda (CCM),amesema kazi kubwa iliyofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan imeacha matokeo chanya. Makonda ametoa kauli hiyo alipopewa nafasi ya kusamilia wananchi wa mkoa wa Arusha…

Mgombea urais ACT-Wazalendo Othman Masoud aahidi neema kwa wavuvi Zanzibar

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Mgombea Urais wa ACT Wazalendo, Othman Masoud, ameahidi kuimarisha sekta ya uvuvi Zanzibar endapo atachaguliwa kuwa Rais katika uchaguzi mkuu ujao. Akizungumza na wavuvi wa Shumba, Micheweni Pemba, Othman alisema Zanzibar imezungukwa na bahari yenye…

Dk Nchibi aingia Mtwara Vijijini kusaka kura za Samia

Mgombea Mwenza wa nafasi ya Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi leo Oktoba 02, 2025 anaendelea kusaka kura za Ushindi wa Kishindo za Dkt Samia Suluhu Hassan, Wabunge kwa kufanya mikutano ya hadhara ya Kampeni…

Dk Samia awasili uwanja wa Sheikh Amri Abeid Arusha

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewasili katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Arusha mkoani Arusha leo Oktoba 2, 2025, ambapo amepokelewa na mapokezi makubwa…

Marekani kuisaidia Ukraine kwa taarifa za kijasusi

Gazeti la The Wall Street Journal limeripoti kuwa Marekani inapanga kuipa Ukraine taarifa za kijasusi zitakazotumika kuratibu mashambulizi ya makombora ya masafa marefu dhidi ya miundombinu ya nishati ya Urusi. Kwa mujibu wa gazeti la The Wall Street Journal, maafisa…