JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

CHAUMA yaahidi kupambanoa wananchi

Na Jovina Massano, JamhuriMedia, Musoma VIONGOZI wa Chama Cha Ukombozi wa Umma (CHAUMA) wamewaahidi kuwapambania wananchi katika kudai mabadiliko mbalimbali ya Sheria. Wamewaeleza hayo katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya shule ya msingi Mukendo Manispaa ya Musoma mkoani…

Balozi Nchimbi atoa wito kwa vyombo vya habari kuzingatia weledi kuelekea uchaguzi mkuu

Ahimiza mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Sita kutangazwa kwa wananchi Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amevitaka vyombo vya habari vinavyomilikiwa na chama hicho kuzingatia weledi, hasa kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka…

Sheikh Ponda ajiunga rasmi na ACT -Wazalendo, alilia Utawala Bora na Katiba Mpya

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam KATIBU wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda, amejiunga rasmi na Chama cha ACT Wazalendo ambapo amesema hatua yake ya kujiunga na chama cha siasa inalenga kupata jukwaa la…