JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

TEF kufanya Mkutano Mkuu Maalum wa kuchagua viongozi wapya

Na Mwandishi Wetu JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF) limeandaa Mkutano Mkuu Maalum wa wanachama wake wote, ambao umepangwa kufanyika Aprili 3 – 5, 2025, katika Manispaa ya Songea, mkoaniRuvuma. Mgeni rasmi katika mkutano huo wenye kauli ya ‘Uchaguzi Huru na…

Rais Ruto, Odinga watia saini mkataba wa kisiasa kwa ajili ya umoja wa taifa

Rais wa Kenya, William Ruto, na Kiongozi wa Upinzani, aliyewahi kuwa Waziri Mkuu, Raila Odinga, wametia saini rasmi mkataba wa kisiasa unaoashiria juhudi mpya za kushirikiana katika uongozi wa serikali moja. Mkataba huo, ambao umeunganisha chama tawala cha United Democratic…

DC Ndile awapongeza wabunge Mhagama, Msongozi

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea Mkuu wa Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma Kapenjama Ndile ametoa pongezi kwa Waziri wa Afya na Mbunge wa Jimbo la Peramiho Jenista Mhagama pamoja na Mbunge viti Maalum Mkoa wa Ruvuma Jacklin Ngonyani Msongozi kwa…

Ndumbaro apongeza jitihada za wanawake katika maendeleo

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea. Waziri wa Katiba na Sheria Dk . Damas Ndumbaro amesisitiza umuhimu wa kutambua, kukumbuka, na kuheshimu mchango wa mwanamke katika maendeleo ya dunia ya leo. Alisema kuwa kwa sababu wanawake wanachangia katika kukuza pato la…

Tutaendelea kutengeneza sera rafiki kuvutia uwekezaji sekta ya mafuta na gesi asilia – Kamishna Shirima

📌 Asema Sekta ya Mafuta nchini imeimarika 📌 Ataja miradi ya kimkakati ujenzi wa mabomba ya gesi na mafuta Kamishna wa Petroli, Goodluck Shirima amesema kuwa, Tanzania imejipanga vyema kutengeneza sera rafiki zitakazozidi kuvutia uwekezaji kwenye sekta ya Mafuta na…

‘Hakuna mwenye uwezo wa kusamehe madeni ya kodi – CG Mwenda

Kufuatia kukamatwa na Jeshi la Polisi kwa Watuhumiwa wawili wanaodaiwa kufanya udanganyifu kuwa wao ni maafisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na kuwa wanao uwezo wa kusamehe Madeni ya Kodi, Kamishna Mkuu wa TRA Bw.Yusuph Juma Mwenda amesema hakuna…