JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Serikali yadhamiria kuboresha mazingira ya uwekezaji na biashara sekta ya utalii

Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii imedhamiria kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji katika Sekta ya Utalii ili ichangie kikamilifu katika Uchumi na maendeleo ya Taifa kwa ujumla. Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana ameyasema…

Msajili Hazina: Ni wakati wa Tanzania kunadi fursa za uwekezaji kimataifa

Abidjan, Ivory Coast – Katika jukwaa kubwa la viongozi wa taasisi za kibiashara barani Afrika, maarufu kama Africa CEO Forum, Tanzania imeendelea kujidhihirisha kama taifa linalochomoza kwa kasi kiuchumi na kuvutia uwekezaji wa kimataifa. Mkutano huo wa siku mbili ulioanza…

CHADEMA mnaanza kulipa ghrama ya kutoambilika

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Leo naanza makala hii kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu, Muumba wa Mbingu na Dunia kwa kunipa uhai na fursa nyingine ya kuandika makala hii. Wiki iliyopita niliandika makala nikipinga juu ya kupotea kwa Mdude…

Machinga Dodoma wampongeza Rais Samia kwa ujenzi wa soko la kisasa

▪️Ni soko kubwa la kipekee la Machinga Complex ▪️Machinga Wanawake Dodoma wazindua Umoja wao ▪️RC Senyamule ataka Jiji kuongeza maeneo ya kufanyia biashara ▪️Mbunge Mavunde awataka Machinga Dodoma kuchangamkia Mkopo wa Bilioni 7 za Jiji Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma…

Bunge lapitisha kwa kishindo bajeti ya Wizara ya Elimu, Sayansi na teknolojia ya trilioni 2.4

Na Mwandishi Wetu, JammhuriMedia, Dodoma Kwa kauli moja leo tarehe 13 Mei 2025 Bunge la Tanzania limepitisha kwa kishindo bajeti ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia na Taasisi zake kwa mwaka 2025/2026 yenye jumla ya shilingi Trilioni 2.439 Bajeti…

CoRI yakutana na kujadili mpangokazi kuelekea uchaguzi mkuu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Umoja wa Haki ya Kupata Taarifa (CoRI) umekutana kujadili masuala muhimu matatu, likiwemo kusaini makubaliano ya kiutendaji (MoU) yanayolenga kuimarisha kazi za umoja huo kuelekea uchaguzi mkuu mwaka huu. Katika kikao hicho, CoRI…