JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Dk Dimwa awapiga msasa wenye ulemavu

Na Mwandishi Wetu Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Dkt. Mohamed Said Dimwa, ametoa wito kwa watu wenye ulemavu nchini kuacha kuwa watazamaji na badala yake kuwa wahusika wakuu katika mchakato wa uchaguzi mkuu wa dola mwaka…

TNBC kuanzisha kituo cha Kimataifa cha huduma za kifedha kuvutia wawekezaji

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Baraza la Taifa la Biashara (TNBC) chini ya kikundi kazi cha fedha kina mipango ya kuanzisha Kituo cha Kimataifa cha Huduma za Kifedha (International Financial Services Centre – IFSC) hapa nchini kitakachovutia mitaji na…

Ukatili wa watoto mtandaoni faini sh.50 milioni

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali kupitia wizara ya Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wanawake na Makundi Maalum imeendelea kuimarisha mifumo ya kisheria kwa kufanya marekebisho ya Sheria Tatu ambazo ni Sheria ya Mtoto, Sura ya 13, Sheria ya Makosa ya Kimtandao, Sura ya 443,…

Kuelekea Bajeti ya Wizara ya Elimu wananchi Mwanza, Dodoma waipa heko Sera Mpya ya Elimu 2024

NA Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mtaala mpya wa elimu umeanza kutumika rasmi kuanzia Januari 2024 ambao una lengo la kuimarisha ujuzi, stadi, ubunifu, na maarifa kwa wanafunzi, na kutilia mkazo zaidi mafunzo kwa vitendo (competency-based curriculum) badala ya kuzingatia kukariri….