Author: Jamhuri
Ufaransa yalaani shambulio la ubalozi wake Kinshasa
Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noel Barrot amelaani shambulizi dhidi ya Ubalozi wa Ufaransa mjini Kinshasa na waandamanaji Jumanne asubuhi. “Mashambulizi haya hayakubaliki,” alisema katika chapisho kwenye mtandao wa X (zamani Twitter), akiongeza kwamba waandamanaji “waliwasha moto ambao…
Ikulu ya Marekani imesitisha misaada na mikopo
Rais wa Marekani Donald Trump amesitisha misaada, mikopo na usaidizi mwingine kutoka Serikali Kuu ya shirikisho, kulingana na taarifa iliyovuja ya Serikali na kuthibitishwa na CBS News. Katika taarifa hiyo, kaimu mkuu wa Ofisi ya Usimamizi na Bajeti (OMB) anatoa…
Yaliyojiri leo Januari 28, 2025 wakati wa mkutano wa wakuu wa nchi za Afrika
Aliyosema Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko Mara nyingi husemwa kuwa mustakabali wa dunia ni wa Afrika. Kauli hii inahusishwa na idadi kubwa ya vijana Barani Afrika pamoja na utajiri wa rasilimali zake. Hata hivyo, naamini…
Hotuba ya Rais Samia katika Mkutano wa Nishati wa Afrika – Misheni ya 300
………………………… OPENING ADDRESS BY HER EXCELLENCY DR. SAMIA SULUHU HASSAN, PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA DURING THE AFRICA HEADS OF STATE ENERGY SUMMIT, DAR ES SALAAM, 28TH JANUARY, 2025 (ENGLISH AND KISWAHILI) On behalf of the peoples and…
Chuo cha Furahika champongeza Rais Dk Samia kuithamini elimu ya amali
Na Magrethy Katengu,JamhuriMedia, Dar es slSalaam KAIMU Mkuu wa Chuo Cha Ufundi Cha Veta Furahika , Dk David Msuya, amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kwa kuithamini elimi ya amali ambayo huendana na…