Author: Jamhuri
Mwana FA: Mungu akipenda fainali ya Kombe la Shirilisho Afrika itachezwa uwanja wa Mkapa
Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Sallaam Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma amewatoa hofu wanamichezo nchini mara baada ya uwanja wa Benjamin Mkapa kufungwa hivi karibuni kupisha ukarabati kuchukua nafasi. Uwanja wa Benjamin Mkapa umekuwa…
Serikali mtegoni
*Wadau wakiri si sahihi polisi kuzua watu kwenda mahakamani *Wadai ni kinyume na Ibara ya 18 ya Katiba na sheria nyingine kadhaa *Watoa wito Mahakama kulizuia Jeshi la Polisi kukukuza watu Kisutu *Wengi wanaamini bado fursa ya mazungumzo ipo Na…
Biashara Mtandao yaingiza Bilioni 192.8/-
Serikali imekusanya Shilingi bilioni 192.78 kutokana na biashara mtandaoni, ikiwemo michezo ya kubahatisha, kati ya Julai 2024 hadi Machi 2025, kutoka kwa kampuni 1,820 zilizosajiliwa rasmi. Taarifa hiyo imetolewa bungeni jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Exaud…
Marekani yatoa dola milioni moja kuimarisha mapambano dhidi ya Mpox Tanzania
Serikali ya Marekani yatoa takriban Dola Milioni Moja Kuimarisha Mapambano Dhidi ya Mpox TanzaniaTanzania – Serikali ya Marekani kupitia Kituo cha Kudhibiti Maradhi (CDC), imetangaza msaada wa karibu dola milioni moja kwa ajili ya kuimarisha ufuatiliaji na udhibiti wa kuenea…
Dk Dimwa : Oktoba 2025 ndio mwisho wa ACT-Wazalendo Pemba
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Pemba NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt.Mohamed Said Dimwa, amesema Chama hicho kimejipanga kuhakikisha kinashinda majimbo yote ya Pemba,kutokana na wananchi wa kisiwa hicho kukiri kuwa CCM imeisimamia vizuri Serikali yake katika kuwaletea…