Author: Jamhuri
DC Bunda awaasa wadau sekta ya afya kutoa ushirikiano kwa TAKUKURU
Akizungumza wakati wa ufunguzi wa warsha ya wadau wa Sekta ya Afya na TAKUKURU, Mhe. Aswege Enock Kaminyoge, Mkuu wa Wilaya ya Bunda ambaye pia alikuwa Mgeni Rasmi katika warsha hiyo, amewaasa wadau hao kuendelea kutoa ushirikiano kwa TAKUKURU wakati…
Mbunge wa Tunisia afungwa miezi nane jela kwa kumdhihaki rais
Mahakama ya Tunisia imemhukumu mbunge mmoja kifungo cha miezi minane jela kutokana na kuchapisha mitandao ya kijamii akimkejeli Rais Kais Saied kufuatia mafuriko yaliyosababisha vifo vya hivi karibuni. Ahmed Saidani alikamatwa mapema mwezi huu baada ya kuchapisha kwenye mitandao ya…
Mwadhamana Polycarp Kardinali Pengo 1994- 2026
Kardinali Polycarp Pengo, Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu la Dar-es-Salaam (Tanzania), alizaliwa tarehe 5 Agosti 1944 katika parokia ya Mwazye, Jimbo Katoliki Sumbawanga, Tanzania. Kuanzia mwaka 1959 hadi 1964 alipata elimu yake ya sekondari katika seminari ndogo ya Kaengesa….
TIRDO yapongezwa, yaagizwa kujitangaza zaidi
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam KATIBU Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Balozi Waziri Salum, amelipongeza Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Tanzania (TIRDO) kwa kazi kubwa linayofanya katika kukuza ubunifu na sekta ya viwanda nchini,…
Saba wafikishwa mahakamani kwa tuhuma za dawa za kulevya Same
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Same Washtakiwa saba wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Same jana Februari 19, 2026, wakikabiliwa na mashtaka ya kujihusisha na dawa za kulevya aina ya mirungi, huku mmoja wao akiamriwa kuwa chini ya uangalizi wa Jeshi…
Australia yatoa bil. 15/- kunufaisha kampuni na mashirika ya uzalishaji yanayochipukia Tanzania
Mkurugenzi wa Mikakati na Maendeleo wa Shirika la REEEP, lenye makao makuu Vienna, Austria, Bw. James Smith amesema Shirika lake limepokea msaada wa Euro milioni 5 sawa na Shilingi bilioni 15 kuzisadia kampuni za Kitanzania kuongeza uzalishaji wa bidhaa za…





