Author: Jamhuri
Waziri Mkuu azindua Sera ya Taifa ya Usimamizi wa Ugavi
*Awataka waliopewa dhamana ya usimamizi wazingatie misingi ya utawala bora WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba ameziagiza Mamlaka, Taasisi na Wadau wote waliopewa dhamana ya kusimamia utekelezaji wa Sera ya Taifa ya Usimamizi wa Mnyororo wa Ugavi ya Mwaka 2025 wabadilike na…
Rais Samia achukua hatua kupunguza matumizi ya mafuta
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameelekeza kuwa maafisa na watumishi wa ofisi yake atakaoambatana nao katika safari zake za kikazi watatumia usafiri wa pamoja ili kubana matumizi ya nishati ya mafuta. “Nimeanza kwa…
Jela miezi sita kwa kuzusha kuibiwa ‘nyeti’ Rukwa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Rukwa Siku za hivi karibuni kumekuwa na taharuki zilizosababisha vurugu na kukosekana kwa amani na utulivu wa jamii katika maeneo mbalimbali nchini ikiwemo Mkoa wa Rukwa. Hali hii ilisababishwa na watu kuzusha kuibiwa nyeti zao. Kufuatia…
Serikali yasisitiza viwango vya ubora wa kimataifa katika uvuvi
Na Mwandishi Wetu Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi anayeshughulikia Uvuvi Prof. Mohammed Sheikh amewataka wakaguzi wa mazao ya uvuvi kufanya kazi zao kwa ubora ili kulisaidia Taifa kuongeza kiwango cha mazao ya uvuvi yanayosafirishwa nje ya…





