Author: Jamhuri
Komolo yapata shule mpya ya Ole Mbole, Eclat Foundation waikabidhi Serikali
Na Mary Margwe, JamhuriMedia, Simanjiro Shirika lisilo la Kiserikali la ECLAT Foundation Kwa kushirikiana na Upendo Association ya Ujerumani wamejenga Shule Mpya ya Msingi ya Ole Mbole iliyojengwa Kwa gharama ya sh.mil.169.2 katika Kijiji na Kata ya Komolo, Wilaya ya…
Tanzania kuwa kinara utoaji wa huduma za kimaabara Afrika Mashariki na Kati
▪️Waziri Mavunde aweka jiwe la Msingi wa Ujenzi wa Maabara ya kisasa ▪️Ni maabara kubwa ya uchunguzi wa sampuli za madini Afrika Mashariki ▪️Kugharimu Tsh Bilioni 14.3 ▪️Rais Samia atajwa kinara wa mageuzi sekta ya madini Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,…
DED Nyasa akagua miradi yenye thamani ya mil.582,017,569/-
Na Byarugaba Innocent, JamhuriMedia, Nyasa DC Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa Khalid Khalif ameendelea na utaratibu wake wa kawaida wa kuwatembelea wakandarasi kwenye Kandarasi za Miradi ya Maendeleo inayoendelea kutekelezwa ikiwa ni sehemu ya kuhimiza ukamilishwaji kwa…
Queen Lugembe aingia mbio za kuwania Jimbo la Ubungo kwa tiketi ya ACT-Wazalendo
Dar es Salaam, Agosti 24, 2025 – Mwanaharakati na kada wa ACT-Wazalendo, Queen Julieth William Lugembe, leo amechukua fomu ya kugombea ubunge wa Jimbo la Ubungo kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025. Akizungumza mara baada ya kuchukua fomu hiyo katika…
Tudumishe amani, umoja na mshikamano kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 – Rais Sami
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameeleza umuhimu wa kuhakikisha Taifa linaendelea kudumu katika misingi imara iliyowekwa na waasisi wake, ambayo ni haki, amani, umoja na mshikamano wa kitaifa, akisisitiza kuwa mshikamano na ushirikiano…
Latra yang’ara tuzo Mashirika ya Umma
Dkt. Phillip Isdor Mpango, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, amekabidhi tuzo kwa Wizara ya Uchukuzi na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) kwa kutambua kazi nzuri iliyofanywa katika huduma za udhibiti usafiri ardhini kwa kuzingatia vigezo…