JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Serikali kuendelea Kuboresha Huduma za Afya ya Mama na Mtoto

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Katika kuboresha afya ya mama na mtoto, Serikali kupitia Bohari ya dawa (MSD) imesema itaendelea kuboresha huduma za dharura za uzazi pingamizi na huduma za awali kwa watoto wachanga ambapo kwa kipindi cha miaka minne imenunua na…

Tanzania yajipanga na maamuzi ya Trump kuhusu ARV

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Bohari ya Dawa (MSD), imesema kuwa Serikali imejipanga kukabiliana na changamoto zozote zitakazojitokeza kutokana na uamuzi wa Rais wa sasa wa Marekani, Donald Trump kusitisha misaada ya kwa nchi za Afrika. Mapema mwaka huu, mara…

MSD: Miaka minne ya Rais Dk Samia, amefanya mapinduzi makubwa ya uwekezaji sekta ya afya

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mkurungenzi wa Bohari ya Dawa nchini (MSD), Mavere Tukai amesema katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu amefanya mapinduzi makubwa ya uwekezaji katika sekta ya afya na kuiweka nchi katika…

Dk Biteko azitaka mamlaka za maji kupunguza upotevu wa maji

📌 Azindua taarifa ya Utendaji wa Mamlaka za maji mwaka 2023/24 📌 Upotevu wa maji wasababisha hasara ya shilingi bilioni 114.12 📌 Maganzo yaibuka kidedea, Rombo yavuta mkia utoaji wa huduma Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa…

…Wadau wachambua miaka 4 ya Rais Dk. Samia madarakani

*Butiku asema amepambana na rushwa, afurahi 4R kurejesha mshikamano *Dk. Chegeni: Licha ya uhaba wa fedha za kutosha, amekamilisha miradi aliyoirithi * LHRC wadai bado kuna changamoto kubwa katika mifumo ya sera, sheria *TAMWA yasifia ujasiri, uthubutu alioonyesha tofauti na…