JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

EACOP yachangia milioni 100 kwa watoto wa magonjwa ya moyo JKCI

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Mradi wa bomba la mafuta ghafi la Afrika Mashariki EACOP Umetoa mchango wa shilingi milioni 100 kwa ajili ya matibu ya watoto 25 wenye matatizo mbalimbali ya moyo katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya…

Tulia:Rejesheni mikopo na wengine wakopeshwe

Na Ruja Masewa, JamhuriMedia, Mbeya Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Tulia Ackson ameyataka Makundi Maalam yanayokopeshwa Mikopo ya fedha za asilimia 10% za kuwasaidia, Kurejesha marejesho…

Nyasi bahari ni dawa ya mabadiliko ya tabianchi

Na Stella Aron, JamhuriMedia, Tanga Mabadiliko ya tabianchi huathiri nyasi bahari kwa njia mbalimbali lakini pia nyasi bahari huaribiwa na shughuli za kibinadumu. Muonekano wa bustani za nyasi baharini unaweza usiwe wa kupendeza kama miamba ya matumbawe au kama misitu…

Wizara ya Nishati endeleeni kusimamia ufanisi wa miradi ya nishati – DED Mkalama

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Singida Mkurugenzi wa Wilaya ya Mkalama, Mkoani Singida, Asia Juma Messos ametoa wito kwa Wizara ya Nishati kuendelea kusimamia vyema Taasisi zake ili ziendelee kutekeleza miradi ya Sekta ya Nishati kwa ufanisi na hivyo kuleta maendeleo…

Umoja na mshikamano ni silaha ya mtangamano imara wa SADC

Umoja na mshikamano imeelezwa kuwa ni silaha pekee ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), ya kuimarisha mtangamano imara na wenye nguvu, utakaowezesha kufikia malengo yaliyowekwa na jumuiya hiyo. Hayo yameelezwa na Mwenyekiti wa Kikao cha…

World Vegetable Centre, Chuo Kikuu Taiwan kushirikiana kukuza kilimo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Tanzania inategemewa kuzalisha wataalamu wengi zaidi katika uzalishaji wa mbegu bora chotara za mazao mbalimbali baada ya Chuo Kikuu cha Taiwan kuonesha utayari wa kuanzisha program mbalimbali za mafunzo katika taasisi ya Kimataifa ya Utafiti…