Author: Jamhuri
Maafisa Maendeleo ya Jamii Wanawake Songwe wakabidhiwa pikipiki kama vitendeakazi
Na Mwandishi Wetu WMJJWM- Songwe Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum imekabidhi pikipiki nane kwa Maafisa Maendeleo ya Jamii wa Mkoa wa Songwe ili kuboresha mazingira ya kazi na kuongeza ufanisi katika utoaji wa huduma za…
Shamrashamra za kampeni za mgombea urais CCM Buza
Matukio mbalimbali kwenye mkutano wa hadhara wa Kampeni wa Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan uliofanyika katika uwanja wa TANESCO, Buza Jijini…
Muunganiko wa asasi za kiraia zawashauri wanawake kupiga lura Oktoba 29,2025
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMediaDar es Salaam Muunganiko wa asasi za kiraia zinazotetea makundi maalum ikiwamo wanawake, watoto na wenye ulemavu umeungana kuhimiza umma kuhusu ajenda muhimu ya ushiriki wa wanawake katika siasa na uongozi, sambamba na kuhimiza wanawake kujitokeza kupiga kura…
TCCIA kuendelea kutambua fursa za masoko kimataifa
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMediaDar es Salaam Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo, amesema Wizara itaendelea kushirikiana kwa karibu na TCCIA kupitia jukwaa la diplomasia ya uchumi ili kuiunganisha na majukwaa ya kimataifa ya…
Samia: NHC imejipanga kujenga makazi bora ya wananchi
Na Kulwa Karedia, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan amesema imejipanga vizuri kuboresha makazi ya wananchi. Rais Samia ametoa kauli hiyo wakati akihutubia maelfu ya wananchi wa majimbo ya Kivule, Segerea,…





