JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Wapigakura mchague maendeleo, si rushwa

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Mwanza Jana Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeanzisha rasmi mchakato wa uchaguzi katika ngazi ya wabunge na madiwani kwa kuteua majina ya wanachama wake watakaopiga goti mbele ya wajumbe kuomba kura. Mchujo utakaofanyika wiki ijayo unalenga kupata…

TANESCO kulipa milioni 1/- kwa watakaofichua wanaohujunu miundombinu – Msaki

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Wananchi wanasisitizwa kufichua wahalifu wanaohujumu miundombinu ya umeme (TANESCO),ikiwa ni pamoja na wanaoiba transfoma, nyaya na kuchezea mita, na yeyote atakayefichua watu hao atapatiwa donge nono kuanzia sh. 100,000 hadi sh. 1,000,000. Ofisa Uhusiano na…

TPA yasaini makubaliano na wadau uendeshaji bandari Kavu Kwala

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) kwa kushirikiana na taasisi mbalimbali za serikali pamoja na sekta binafsi zinazotoa huduma katika Bandari ya Dar es Salaam wametia saini makubaliano ya taratibu za uendeshaji,…

Majina ya wagombea CCM yabaki kitendawili, mkutano wasogezwa tena

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma Mchakato wa kutangaza rasmi majina ya wagombea wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa Uchaguzi Mkuu wa 2025 unaoongozwa na Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, CPA Amos Makalla, umeendelea kusogezwa mara kadhaa huku waandishi wa…

Ofisi ya Msajili wa Hazina yalenga kukusanya Sh2 trilioni

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Pwani Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH) imejiwekea lengo la kukusanya kiasi cha Sh 2 trilioni kama mapato yasiyo yakikodi katika mwaka wa fedha 2025/26, imebainishwa. Hayo yalisemwa Jumatatu, Julai 28, 2025, na Msajili wa Hazina…